ACT Wazalendo kuanzisha benki kwa watu wa Kigoma
Chama cha ACT Wazalendo kimesema kitashawishi uanzishaji wa Benki ya Kijamii ya Watu wa Kigoma (Kigoma Community Bank) ili kuwawezesha wafanyabiashara, wakulima na vikundi vya ujasiriamali kupata mikopo kwa urahisi na riba nafuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Serikali ya ACT-Wazalendo kuanzisha wakala wa maji vijijini
9 years ago
Mwananchi06 Sep
ACT-Wazalendo waanza kushambulia Kigoma
9 years ago
Habarileo18 Dec
ACT Wazalendo yatoa Meya Kigoma Ujiji
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji limemchagua Diwani wa Kata ya Bangwe, Hussien Ruhavi kuwa Meya wa manispaa hiyo. Sambamba na hilo, Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe (ACT Wazalendo) akiahidi kumshughulikia diwani yeyote atakayekwamisha mipango yao ya kuleta maendeleo katika manispaa hiyo.
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
ACT Wazalendo wang’ara jimbo la Kigoma/Ujiji
Hii ni kwa mujibu wa Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa Facebook ambapo anajivunia Kigoma/Ujiji kuwa Manispaa ya kwanza kuwa chini ya chama cha ACT Wazalendo.
Na haya ndio matokeo yenye kama alivyoorodhesha kwenye ukurasa wake wa Facebook.
Bangwe: ACT:1939, CCM:1243, CDM: 830
BUHANDA: ACT:1163, CCM: 581, CDM: 1147
BUSINDE: ACT: 376, CCM: 447, CDM: 139
BUZEBAZEBA: ACT: 2758, CCM: 1515, CDM: 1003
GUNGU: ACT: 3528, CCM: 1551, CDM: 1561
KAGERA: ACT: 939,...
9 years ago
Vijimambo25 Oct
ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-3.jpg?resize=501%2C370)
ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-1.jpg?resize=582%2C427)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-2.jpg?resize=584%2C429)
Zitto Kabwe ndio anaonekana kwenye picha kwenye ufungaji wa kampeni za ACT Kigoma, vilevile Zitto anagombea ubunge wa jimbo la Kigoma mjini na...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cnpC_2YmAek/VnUUP5e4JqI/AAAAAAADD4A/0W9Ek9K-qEo/s72-c/x.jpg)
KIGOMA UJIJI YAPATA MEYA TOKA ACT Wazalendo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-cnpC_2YmAek/VnUUP5e4JqI/AAAAAAADD4A/0W9Ek9K-qEo/s640/x.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qwU0-3A8Fk8/VnUTUKMHN0I/AAAAAAADD3g/6Gp0HYnnQss/s640/a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3oFQ3B60FMc/VnUUPSC9oJI/AAAAAAADD3w/zWgV326HkVs/s640/e.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tcypMUE14Hk/VnUUO2zmCPI/AAAAAAADD3s/7IFy3A_XzZM/s640/w.jpg)
Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii,Kigoma
BARAZA ...
5 years ago
CCM BlogCHAMA CHA ACT-WAZALENDO CHAPATA MAAFA KIGOMA, MADIWANI WAKE WATANO WANG'OKA NA KUHAMIA CCM, LEO
10 years ago
VijimamboVIONGOZI WA ACT-WAZALENDO WATINGA NYUMBANI KWA BABA WA TAIFA
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
Hongera Serikali kwa kuanzisha benki ya kilimo
SERIKALI hivi karibuni imetangaza kuanzisha benki maalumu ya maendeleo ya kilimo.
Benki hiyo inajulikana kwa jina la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB).
Benki hiyo bado haijaanza kazi ikisubiri kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Hata hivyo, imekwisha kuanza mchakato wa kutafuta wafanyakazi watakaotoa huduma.
Kwa mujibu wa serikali, pamoja na mambo mengine madhumuni makuu ya kuanzishwa kwa benki hii ni kurahisisha upatikanaji wa mikopo katika sekta ya kilimo ili...