Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIONGOZI WA ACT-WAZALENDO WATINGA NYUMBANI KWA BABA WA TAIFA

 Mtoto wa Hayati baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Andrew Nyerere, akiteta jambo na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na kuvaa kofia ya Chama cha ACT-Wazalendo wakati viongozi wa chama hicho walipofanya ziara kijijini Mwitongo Wilayani Butiama. (Picha na Said Powa)Mtoto wa Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Andrew Nyerere, akimkabidhi kofia ya CCM, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na kuvaa kofia ya Chama cha ACT-Wazalendo wakati viongozi wa chama hicho...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Zitto awaonya viongozi ACT-Wazalendo

Zitto Kabwe-ACT Leader3Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameionya sekretarieti ya uongozi wa chama hicho na kuitaka kuishi kwa maadili kwa kuzingatia katiba ya chama na kuitekeleza kwa vitendo.
Amesema uadilifu umekuwa ni changamoto kubwa katika nchi hali inayowafanya watanzania washindwe kuaminiana katika masuala mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam juzi alipofungua mkutano wa kwanza wa sekretarieti ya uongozi wa chama hicho.
Alisema iwapo watashindwa kuishi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa ACT Wazalendo watua mkoani Singida

DSC05179

Kiongozi Mkuu wa ACT wazalendo, Zitto Kabwe, akihutubia mamia ya wanachi wa mji wa Singida na vitongoji vyake jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Ukombozi mjini Singida. Pamoja na mambo mengine, Zitto ameitaka serikali kubana matajiri ili waweze kuwapa madereva mikataba ya kazi kama njia ya kuwapunguzia msongo wa mawazo unaochangia kusababisha ajali za barabarani.

DSC05193

Mwenyekiti wa ACT wazalendo, Anna Mughwira, akitoa nasaha zake kwenye mkutano wa...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO WAALIKWA UJERUMANI

MWENYEKITI wa Chama cha ACT Wazalendo mama Anna Mghwira (kulia) akiongozana na katibu mkuu  Ndugu samson mwigamba na katibu wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ndugu Venance Msebo leo tarehe 15 julai 2015 wameanza ziara ya siku saba nchini ujerumani kwa mwaliko wa chama rafiki cha kijamaa (Die Linke Party).
Katika ziara hiyo pamoja na kutembelea die linke party, watapata fursa ya kutembelea ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani na pia watafanya mkutano na watanzania wanaoishi nchini...

 

10 years ago

Dewji Blog

ACT Wazalendo wachangia damu hospitali ya Taifa Muhimbili

9

Muuguzi Mwandamizi Judith Kayombo akichanganya  Damu wakati alipokuwa akimtoa Katibu Mkuu Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Samsoni Mwigamba.

Katibu Mkuu Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Samsoni Mwigamba akisalimiana na Katibu wa Vijana Jimbo la Ukonga wakati wa uchangiaji Damu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na ikiwa  Chama hicho kikitimiza  Mwaka Mmoja toka kuanzishwa kwa chama hicho (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA).

 Katibu Mkuu Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Samsoni Mwigamba...

 

5 years ago

Michuzi

NGOME YA WANAWAKE YA ACT WAZALENDO SASA KAMILI, YATANGAZA SAFU YA VIONGOZI

Na  Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii
NGOME ya Wanawake ya Chama cha ACT Walendo imetangaza safu ya viongozi wake wa idara mbalimbali ndani ya ngome hiyo huku mkakati mkubwa ukiwa ni kuweka mkakati na mipango ambayo itasaidia kufanikisha Chama hicho kushika Dola katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Akizungumza leo Machi 30 mwaka 2020 jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Ngome hiyo ya Wanawake wa ACT Wazalendo Mkiwa Kimwanga mwenyekiti kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama hicho uliofanyika...

 

5 years ago

Michuzi

MJUMBE WA NEC TAIFA NA RAIS APOKEA MWANACHAMA MPYA KUTOKA ACT WAZALENDO



Aliyekuwa mjumbe wa Ngome ya Vijana wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Samora Julius Mwanyonga, akirudisha kadi yake kwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, baada ya kukihama chama hicho na kujiunga na Chama cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgogoro ACT watinga kwa msajili

Wakati Halmashauri Kuu ya Chama cha ACT-Tanzania ikikutana kujadili agenda tatu, ikiwamo ya kuazimia kumvua uongozi Mwenyekiti, Kadawi Limbu, Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa leo inawakutanisha viongozi waandamizi wa chama hicho kusaka suluhu ya mgogoro wao.

 

10 years ago

GPL

WA BABA WA TAIFA VIONGOZI TUNAOWATAKA-2

WIKI iliyopita tulianza kuwaletea hotuba ya Baba wa Taifa ambaye ni Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambaye aliitoa Mbeya kwenye kilele cha Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika kitaifa katika Uwanja wa Sokoine Mei, 1995. Endelea kumsoma: “Unaweza ukawa na almasi mfukoni, akaja tapeli na kijiwe kimetengenezwa kama almasi akakuambia, ‘hebu tuone almasi yako. Bwana aa! Hii ya kwako siyo...

 

10 years ago

GPL

WOSIA WA BABA WA TAIFA VIONGOZI TUNAOWATAKA-5

TUNAENDELEA kuwaletea hotuba ya Baba wa Taifa ambaye ni Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambaye aliitoa Mbeya kwenye kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika kitaifa katika Uwanja wa Sokoine Mei, 1995. Endelea kumsoma: Tukasema, ni nchi ambako kila mtu anafanya kazi. Kama ni mkulima, anafanya kazi; kama ni mfanyakazi, anafanya kazi. Lililokuwa la msingi na linalotawala ni mfanyakazi: Maslahi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani