VIONGOZI WA ACT-WAZALENDO WATINGA NYUMBANI KWA BABA WA TAIFA
Mtoto wa Hayati baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Andrew Nyerere, akiteta jambo na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na kuvaa kofia ya Chama cha ACT-Wazalendo wakati viongozi wa chama hicho walipofanya ziara kijijini Mwitongo Wilayani Butiama. (Picha na Said Powa)
Mtoto wa Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Andrew Nyerere, akimkabidhi kofia ya CCM, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na kuvaa kofia ya Chama cha ACT-Wazalendo wakati viongozi wa chama hicho...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania28 May
Zitto awaonya viongozi ACT-Wazalendo
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameionya sekretarieti ya uongozi wa chama hicho na kuitaka kuishi kwa maadili kwa kuzingatia katiba ya chama na kuitekeleza kwa vitendo.
Amesema uadilifu umekuwa ni changamoto kubwa katika nchi hali inayowafanya watanzania washindwe kuaminiana katika masuala mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam juzi alipofungua mkutano wa kwanza wa sekretarieti ya uongozi wa chama hicho.
Alisema iwapo watashindwa kuishi...
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Viongozi wa ACT Wazalendo watua mkoani Singida
Kiongozi Mkuu wa ACT wazalendo, Zitto Kabwe, akihutubia mamia ya wanachi wa mji wa Singida na vitongoji vyake jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Ukombozi mjini Singida. Pamoja na mambo mengine, Zitto ameitaka serikali kubana matajiri ili waweze kuwapa madereva mikataba ya kazi kama njia ya kuwapunguzia msongo wa mawazo unaochangia kusababisha ajali za barabarani.
Mwenyekiti wa ACT wazalendo, Anna Mughwira, akitoa nasaha zake kwenye mkutano wa...
10 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-mcREKnGvEoQ/VaX5YiUAUYI/AAAAAAAB-2M/Iw96CF1Vcv8/s72-c/blogger-image--1180140963.jpg)
VIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO WAALIKWA UJERUMANI
![](http://lh3.googleusercontent.com/-mcREKnGvEoQ/VaX5YiUAUYI/AAAAAAAB-2M/Iw96CF1Vcv8/s640/blogger-image--1180140963.jpg)
Katika ziara hiyo pamoja na kutembelea die linke party, watapata fursa ya kutembelea ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani na pia watafanya mkutano na watanzania wanaoishi nchini...
10 years ago
Dewji Blog06 May
ACT Wazalendo wachangia damu hospitali ya Taifa Muhimbili
Muuguzi Mwandamizi Judith Kayombo akichanganya Damu wakati alipokuwa akimtoa Katibu Mkuu Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Samsoni Mwigamba.
Katibu Mkuu Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Samsoni Mwigamba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iSxGOQMxuIk/XoICPvdJVXI/AAAAAAALlmo/s8oW70pDx9s9v6J106TdVX7FYxv_8bNGACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-30%2Bat%2B17.27.32.jpeg)
NGOME YA WANAWAKE YA ACT WAZALENDO SASA KAMILI, YATANGAZA SAFU YA VIONGOZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-iSxGOQMxuIk/XoICPvdJVXI/AAAAAAALlmo/s8oW70pDx9s9v6J106TdVX7FYxv_8bNGACLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-30%2Bat%2B17.27.32.jpeg)
NGOME ya Wanawake ya Chama cha ACT Walendo imetangaza safu ya viongozi wake wa idara mbalimbali ndani ya ngome hiyo huku mkakati mkubwa ukiwa ni kuweka mkakati na mipango ambayo itasaidia kufanikisha Chama hicho kushika Dola katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Akizungumza leo Machi 30 mwaka 2020 jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Ngome hiyo ya Wanawake wa ACT Wazalendo Mkiwa Kimwanga mwenyekiti kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama hicho uliofanyika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3lvkpMeytek/XveQcvPrrAI/AAAAAAALvsY/iteJnvQpk50OvS45ZeccR8ixxdkSzAUlwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A5119-2-768x518.jpg)
MJUMBE WA NEC TAIFA NA RAIS APOKEA MWANACHAMA MPYA KUTOKA ACT WAZALENDO
![](https://1.bp.blogspot.com/-3lvkpMeytek/XveQcvPrrAI/AAAAAAALvsY/iteJnvQpk50OvS45ZeccR8ixxdkSzAUlwCLcBGAsYHQ/s640/F87A5119-2-768x518.jpg)
Aliyekuwa mjumbe wa Ngome ya Vijana wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Samora Julius Mwanyonga, akirudisha kadi yake kwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, baada ya kukihama chama hicho na kujiunga na Chama cha...
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Mgogoro ACT watinga kwa msajili
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT2Hknb7uhNkiRsLffYlldCoRV1G-iVCdB8H10uFJJqpHNw*GkPJkArqHu8rQkiqOZPYRl0P0GzJzigaUtxndU4M/juliusnyerere.jpg?width=650)
WA BABA WA TAIFA VIONGOZI TUNAOWATAKA-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OyDgsXHkaUKiXPvbxOvYxXty9S2qlXvHfS9fpmEyzScwE8PWKt7q5LlF*lOMHTFcCUppoACk3y6RpFToRqWMAdTV8EAPWFEf/president_julius_nyerere.jpg?width=650)
WOSIA WA BABA WA TAIFA VIONGOZI TUNAOWATAKA-5