Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NGOME YA WANAWAKE YA ACT WAZALENDO SASA KAMILI, YATANGAZA SAFU YA VIONGOZI

Na  Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii
NGOME ya Wanawake ya Chama cha ACT Walendo imetangaza safu ya viongozi wake wa idara mbalimbali ndani ya ngome hiyo huku mkakati mkubwa ukiwa ni kuweka mkakati na mipango ambayo itasaidia kufanikisha Chama hicho kushika Dola katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Akizungumza leo Machi 30 mwaka 2020 jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Ngome hiyo ya Wanawake wa ACT Wazalendo Mkiwa Kimwanga mwenyekiti kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama hicho uliofanyika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MWENYEKITI NGOME YA WANAWAKE ACT WAZALENDO AWAKUMBUSHA AKINA MAMA UMUHIMU WA KUWALINDA WATOTO WASIPATE VIRUSI VYA CORONA

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
MWENYEKITI wa Ngome ya Wanawake wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa Mkiwa Kimwanga ameikumbusha jamii na hasa ya wanawake wote nchini kuhakikisha wanawalinda watoto na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya Corona.
Pia amesema wanaunga mkono tamko ambalo limetolewa na Kiongozi wa Chama hicho Zitto Kabwe kwa hatua ya kumuandikia barua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Magufuli kwa kushauri Watanzania kuwa wamoja na kuchukua tahadhari...

 

10 years ago

Mtanzania

Zitto awaonya viongozi ACT-Wazalendo

Zitto Kabwe-ACT Leader3Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameionya sekretarieti ya uongozi wa chama hicho na kuitaka kuishi kwa maadili kwa kuzingatia katiba ya chama na kuitekeleza kwa vitendo.
Amesema uadilifu umekuwa ni changamoto kubwa katika nchi hali inayowafanya watanzania washindwe kuaminiana katika masuala mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam juzi alipofungua mkutano wa kwanza wa sekretarieti ya uongozi wa chama hicho.
Alisema iwapo watashindwa kuishi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa ACT Wazalendo watua mkoani Singida

DSC05179

Kiongozi Mkuu wa ACT wazalendo, Zitto Kabwe, akihutubia mamia ya wanachi wa mji wa Singida na vitongoji vyake jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Ukombozi mjini Singida. Pamoja na mambo mengine, Zitto ameitaka serikali kubana matajiri ili waweze kuwapa madereva mikataba ya kazi kama njia ya kuwapunguzia msongo wa mawazo unaochangia kusababisha ajali za barabarani.

DSC05193

Mwenyekiti wa ACT wazalendo, Anna Mughwira, akitoa nasaha zake kwenye mkutano wa...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO WAALIKWA UJERUMANI

MWENYEKITI wa Chama cha ACT Wazalendo mama Anna Mghwira (kulia) akiongozana na katibu mkuu  Ndugu samson mwigamba na katibu wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ndugu Venance Msebo leo tarehe 15 julai 2015 wameanza ziara ya siku saba nchini ujerumani kwa mwaliko wa chama rafiki cha kijamaa (Die Linke Party).
Katika ziara hiyo pamoja na kutembelea die linke party, watapata fursa ya kutembelea ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani na pia watafanya mkutano na watanzania wanaoishi nchini...

 

10 years ago

Vijimambo

VIONGOZI WA ACT-WAZALENDO WATINGA NYUMBANI KWA BABA WA TAIFA

 Mtoto wa Hayati baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Andrew Nyerere, akiteta jambo na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na kuvaa kofia ya Chama cha ACT-Wazalendo wakati viongozi wa chama hicho walipofanya ziara kijijini Mwitongo Wilayani Butiama. (Picha na Said Powa)Mtoto wa Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Andrew Nyerere, akimkabidhi kofia ya CCM, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na kuvaa kofia ya Chama cha ACT-Wazalendo wakati viongozi wa chama hicho...

 

10 years ago

Vijimambo

Viongozi ACT sasa kutangaza mali zao.

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe (pichani) na Katibu Mkuu, Samson Mwigamba, wameweka hadharani mali, maslahi na madeni, ambazo zitawekwa wazi kwenye vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na tovuti ya chama ili wananchi wasome.

Akihutubia mamia ya wananchi wakati wa uzinduzi wa chama hicho, Zitto alianza kwa kuweka hadharani mali zake mbele ya mwanasheria wa chama na kudai kwa undani zitawekwa kwenye mtandao ili kila mwananchi ajisomee.

Kabla ya kusaini fomu hiyo, Zitto...

 

10 years ago

Mtanzania

ACT yatikisa ngome ya Sitta, Ukawa

Na Bakari Kimwanga, Tabora
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeviliza vyama vinavyoundwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya mamia ya wananchi wa Wilaya ya Urambo kutangaza kujiunga na chama hicho.
Wilaya ya Urambo ina jimbo moja la uchaguzi la Urambo Mashariki ambalo linaongozwa na Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta (CCM).
Nia hiyo ya wana-Urambo ilimfanya Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe kujikuta akibubujikwa na machozi ya furaha, huku kila mara...

 

10 years ago

Bongo5

Sauti Sol waibuka ‘Best African Act’ wa MTV EMA, sasa kuwania ‘Worldwide Act’

Kundi la Sauti Sol la Kenya limewabwaga Diamond, Davido na wasanii wengine wawili wa Afrika katika kipengele cha ‘Best African Act’ cha tuzo za MTV EMA. Hata hivyo huo sio mwisho kwakuwa Sauti Sol sasa watahitaji kura za bara zima la Afrika kuwania kipengele cha ‘Worldwide Act’ Kuanzia leo, October 23, hadi 29 October wasanii […]

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO‏

 Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu.   Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, ambapo alipinga Msajili wa Vyama Siasa Nchini, Jaji Francis Mtungi kubadilisha jina la chama cha ACT-Tanzania na kuwa ACT-Wazalendo bila ya kufuata utaratibu. Kulia ni Katibu Muenezi wa chama hicho, Fredy Kisena na Katibu Mkuu wa chama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani