Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sauti Sol waibuka ‘Best African Act’ wa MTV EMA, sasa kuwania ‘Worldwide Act’

Kundi la Sauti Sol la Kenya limewabwaga Diamond, Davido na wasanii wengine wawili wa Afrika katika kipengele cha ‘Best African Act’ cha tuzo za MTV EMA. Hata hivyo huo sio mwisho kwakuwa Sauti Sol sasa watahitaji kura za bara zima la Afrika kuwania kipengele cha ‘Worldwide Act’ Kuanzia leo, October 23, hadi 29 October wasanii […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Diamond ashinda tuzo ya ‘Worldwide Act Africa/India’ kwenye MTV EMA

Diamond Platnumz ameiletea sifa na heshima kubwa Tanzania kwa mara nyingine, kwa kushinda tuzo kubwa ya ‘Best Worldwide Act Africa/India’ kwenye tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 zilizotolewa Milan, Italy usiku wa Jumapili Oct.25. Hii ni kwa mara ya kwanza kwenye historia ya tuzo za MTV EMA toka vipengele vya Worldwide Act vilipoongezwa kwenye […]

 

9 years ago

Michuzi

Diamond Platnumz wina the 2015 MTV EMA Best African Act.

MTV (130) has revealed that Diamond Platnumz is the winner of the 2015 MTV EMA Best African Act.Scores of music fans visited mtvema.com to vote for Diamond Platnumz, who beat incredible competition from AKA, Yemi Alade, Davido, and DJ Arafat.Diamond Platnumz will now go up against the winning act from India to be named Best Africa/India Act – and you can help him win. Voting is now open on mtvema.com until 24 October at 23:59 CAT.Diamond Platnumz follows in the footsteps of previous Best...

 

9 years ago

Africanjam.Com

DIAMOND PLATNUMZ WINS 2015 MTV EMA AWARD AS BEST AFRICAN/INDIAN ACT, HERE IS THE FULL WINNERS LIST !!


Tanzanian music star Diamond Platnumz won the Best African/Indian Act award at the 2015 MTV EMA which took place in Milan last night. He beat African musicians including Nigeria’s Davido and Yemi Alade, SA’s AKA and Ivorian DJ Arafat as well as leading Indian musicians to win the MTV prize.
BEST SONG
Winner *** Taylor Swift ft. Kendrick Lamar – “Bad Blood”
Ellie Goulding – “Love Me Like You Do”
Major Lazer & DJ Snake ft. MØ – “Lean On”
Mark Ronson ft. Bruno Mars – “Uptown Funk!”
Wiz Khalifa ft....

 

9 years ago

Bongo5

Sauti Sol wafurahia kumpa kijiti Diamond kwenye MTV EMA 2015

Kwa miaka miwili mfululizo, kipengele cha Best African Act cha tuzo za MTV EMA kimeendelea kubaki Afrika Mashariki. Baada ya mwaka jana Sauti Sol kushinda, wamempa kijiti Diamond Platnumz ambaye sasa anashindana na muigizaji wa India, Priyanka Chopra kwenye kipengele kinachohusisha Afrika na India. Sauti Sol wameonesha kufurahia kumpa Diamond kijiti cha tuzo hiyo na […]

 

9 years ago

Bongo5

Diamond kuchuana na Priyanka Chopra kwenye MTV Europe Music Awards, kipengele ni ‘Best Worldwide Act: Africa/India’

Diamond Platnumz amekuwa mshindi wa kipengele cha ‘Best African Act’ kwenye tuzo za MTV Europe Music [Awards] baada ya kuwabwaga, Davido, Yemi Alade, AKA na DJ Arafat. Na sasa muimbaji huyo aliyewasili Alhamis hii kutoka Dallas, Texas alikoshinda tuzo tatu za Afrimma, ana mtihani mkubwa zaidi mbele yake. Atashindana kipengele kimoja cha ‘Best Worldwide Act: […]

 

9 years ago

TheCitizen

Diamond wins MTV EMAs Best African Act

After his treble win at the Afrimma Bongo Flava sensation Diamond Platnumz was on Thursday afternoon announced as the winner the 2015 MTV EMAs Best African Act.

 

9 years ago

Bongo5

Cassper Nyovest ajiondoa kuwania nafasi ya kuingia kwenye tuzo za MTV EMA ambazo Diamond ni Nominee!

Rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest amesusia tuzo za 2015 MTV Europe Music Awards (MTV EMA) kutokana na kuhisi kuwa hajatendewa haki. Jumanne Sept 8, MTV walitangaza majina ya nominees 4 wa kipengele cha ‘Best African Act’ akiwemo Diamond Platnumz, na ikabaki nafasi ya msanii mmoja ambayo waliweka majina ya wasanii watano wapigiwe kura kupata […]

 

10 years ago

Bongo5

Although Sauti Sol loses the BET Award, there is still a chance to win MTV MAMA

Sauti Sol were not only representing their country Kenya on BET Awards, but East Africa as well. After losing the “Best International Act Africa” BET Award to Ghana’s dancehall hit maker Stonebwoy, the four member Boy-band still have another chance of winning 2015 MTV MAMA next month. “Join us in congratulating Ghana!! @stonebwoyb winner BET […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani