Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cassper Nyovest ajiondoa kuwania nafasi ya kuingia kwenye tuzo za MTV EMA ambazo Diamond ni Nominee!

Rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest amesusia tuzo za 2015 MTV Europe Music Awards (MTV EMA) kutokana na kuhisi kuwa hajatendewa haki. Jumanne Sept 8, MTV walitangaza majina ya nominees 4 wa kipengele cha ‘Best African Act’ akiwemo Diamond Platnumz, na ikabaki nafasi ya msanii mmoja ambayo waliweka majina ya wasanii watano wapigiwe kura kupata […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Nicki Minaj kuhost tuzo za 2014 MTV EMA ambazo Diamond wa TZ anawania

MTV wamemtangaza rapper Nicki Minaj kuwa ndiye atakuwa host wa tuzo za 2014 MTV Eurrope, MTV EMA ambazo Mtanzania Diamond Platnumz pia ni miongoni mwa nominees kutoka Afrika. Nicki Minaj licha ya kuhot lakini pia atatumbuiza kwenye tuzo hizo zinazotarajiwa kutolewa November 9 na kuoneshwa live kutoka jijini Glasgow, Scotland. Kupitia Instagram Nicki aliandika: “So […]

 

9 years ago

Bongo5

Billboard na Dailymail zaripoti ushindi wa Diamond Platnumz kwenye tuzo za MTV EMA

Ushindi wa Diamond Platnumz kwenye tuzo za MTV EMA kwenye kipengele cha ‘Worldwide Act Africa/India’ umemuweka mwimbaji huyo wa ‘Nana’ katika level nyingine kabisa kimataifa. Picha za Diamond kwenye Red Carpet pamoja na jina lake kama mshindi wa kipengele hicho zimepewa nafasi kwenye mitandao mbalimbali mikubwa duniani ikiwemo Billboard.com ya Marekani pamoja na Dailymail.co.uk ya […]

 

9 years ago

Bongo5

Diamond ashinda tuzo ya ‘Worldwide Act Africa/India’ kwenye MTV EMA

Diamond Platnumz ameiletea sifa na heshima kubwa Tanzania kwa mara nyingine, kwa kushinda tuzo kubwa ya ‘Best Worldwide Act Africa/India’ kwenye tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 zilizotolewa Milan, Italy usiku wa Jumapili Oct.25. Hii ni kwa mara ya kwanza kwenye historia ya tuzo za MTV EMA toka vipengele vya Worldwide Act vilipoongezwa kwenye […]

 

10 years ago

Bongo5

Mambo mawili ambayo Cassper Nyovest na Diamond walifanana siku ya tuzo za Channel O

Rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest na Diamond Platnumz ndio walioibuka na ushindi mkubwa kwenye tuzo za Channel O zilizofanyika Jumamosi nchini Afrika Kusini. Wote waliondoka na tuzo tatu. Lakini hilo ni jambo moja tu ambalo wasanii hao walifanana siku hiyo. La pili, wote walitumia tuzo hizo kuwatambulisha wapenzi wao wapya ambao kabla ya hapo […]

 

9 years ago

GPL

DIAMOND ATWAA TUZO YA MTV EMA NCHINI ITALIA

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na tuzo yake kutoka MTV EMA. STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ jana ametwaa tuzo ya MTV EMA katika kipengele cha ‘Best Worldwide Act: Africa/India’ akimgalagaza Miss World 2000, Priyanka Chopra. Diamond alikuwa akichuana na muigizaji wa filamu na aliyekuwa Mrembo wa Dunia (Miss World 2000), Priyanka Chopra katika tuzo za MTV Europe Music Awards (MTV EMA) kwenye...

 

9 years ago

Mtanzania

Diamond amshinda Miss Dunia tuzo za MTV-EMA

hhjNA MWANDISHI WETU

MKALI WA muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul, maarufu kama Diamond Platnumz, amempiku mwigizaji na mwanamuziki aliyewahi kuwa mrembo wa dunia mwaka 2000, Priyanka Chopra, kwenye tuzo za MTV Europe Music Awards (MTV-EMA).

Tuzo hizo zilizofanyika nchini Italia usiku wa kuamkia jana, wawili hao walikuwa wanachuana kwenye kipengele cha ‘Best Worldwide Act’, tuzo ambayo ilikuwa na ushindani mkubwa kutoka kwa nyota wengine wa muziki kutoka mataifa ya Australia, New Zealand,...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Diamond akabidhiwa tuzo zake za MTV EMA 2015

diamond ema

Baada ya kushinda tuzo ya ‘Best African Act’ na ‘Best World Wide Act’ kwenye MTV EMA 2015, hatimaye Diamond Platnumz amekabidhiwa rasmi tuzo zake Ijumaa hii Dec 11.

dai ema

Kupitia Instagram yake Diamond alipost picha akikabidhiwa tuzo hizo na kuandika:

“What a nice day.. have jus Received my Trophies from @MtvEma as the #BestAfricanAct #BestWorldWideAct only God knows How much i was waiting for them….@melaniecarmen @babutale … thaks alot @MtvEma”

Tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 zilitolewa...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Cassper Nyovest, Boity, Bonang wanga’ra kwenye tuzo za mitandao ya kijamii za Channel24

Channel 24

Shirika la habari la Channel 24 la Afrika Kusini limetangaza washindi wa tuzo zake za online (Channel24 Online Awards).

Tuzo hizo zilikuwa na vipengele 10.

Baadhi ya washindi ni pamoja na Bonang Matheba aliyeshinda tuzo ya jumla ya uwepo kwenye mitandao ya kijamii.

Cassper Nyovest ameshinda Best YouTube video na Best Couple akiwa na Boity huku Roxy Burger amechukua tuzo ya Best Selfie.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata...

 

9 years ago

Michuzi

Diamond Platnumz atwaa Tuzo nyingine toka Italy MTV EMA 2015

Katikati ya mwezi September 2015 tuliipata good news kwenye kiwanda cha Muziki Tanzania, East Africa na Africa kwa ujumla ambapo list ya wakali wa muziki wanaowania Tuzo za MTV EMA 2015 ilitangazwa, kilichoongeza furaha ilikuwa kushuhudia majina ya mastaa kama AKA toka South Africa, Yemi Alade na Davido toka Nigeria na pia mkali toka Bongo +255, Diamond Platnumz nae alikuwemo pia kwenye list hiyo.Good news nyingine ni kwamba Diamond Platnumz amefanikiwa kuibuka na ushindi wa Tuzo moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani