Viongozi wa ACT Wazalendo watua mkoani Singida
Kiongozi Mkuu wa ACT wazalendo, Zitto Kabwe, akihutubia mamia ya wanachi wa mji wa Singida na vitongoji vyake jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Ukombozi mjini Singida. Pamoja na mambo mengine, Zitto ameitaka serikali kubana matajiri ili waweze kuwapa madereva mikataba ya kazi kama njia ya kuwapunguzia msongo wa mawazo unaochangia kusababisha ajali za barabarani.
Mwenyekiti wa ACT wazalendo, Anna Mughwira, akitoa nasaha zake kwenye mkutano wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
“Vitendo vya utoro na mimba kwa wanafunzi Mkoani Singida havivumilikiâ€- Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo Anna Mughwira
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Anna Mughwira, akichangia ajenda zilizokuwa zinatolewa kwenye kikao cha kamati ya maendeleo (RCC) mkoa wa Singida kilichofanyika mjini hapa. Pamoja na mambo mengine, ameviomba vyombo vya habari mkoani, kusaidia kutoa elimu juu ya madhara yanayowapata wanafunzi watoro.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Mwenyekiti wa chama cha ACT- Wazalendo ,Anna Mughwira amewahimiza waandishi wa habari mkoani hapa, kutumia taaluma yao kuwaelimisha...
10 years ago
Mtanzania28 May
Zitto awaonya viongozi ACT-Wazalendo
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameionya sekretarieti ya uongozi wa chama hicho na kuitaka kuishi kwa maadili kwa kuzingatia katiba ya chama na kuitekeleza kwa vitendo.
Amesema uadilifu umekuwa ni changamoto kubwa katika nchi hali inayowafanya watanzania washindwe kuaminiana katika masuala mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam juzi alipofungua mkutano wa kwanza wa sekretarieti ya uongozi wa chama hicho.
Alisema iwapo watashindwa kuishi...
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, apiga kura Singida mjini
Mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Anna Mughwira,akihakiki jina lake kwenye ubao wa matangazo muda mfupi kabla hajapiga kura kwenye kituo cha shule ya msingi Kibaoni mjini Singida leo.
Mgombea urais kupitia ACT- Wazalendo, Anna Mughwira, akipiga kura kuchagua Rais, Mbunge na Diwani katika kituo cha shule ya msingi Kibaoni mjini Singida. Pamoja na mambo mengine, Mughwira ameseme endapo wapiga kura wataamua kuchagua chama ambacho kimenadi sera zake kwenye kampeni, anauhakika...
10 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-mcREKnGvEoQ/VaX5YiUAUYI/AAAAAAAB-2M/Iw96CF1Vcv8/s72-c/blogger-image--1180140963.jpg)
VIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO WAALIKWA UJERUMANI
![](http://lh3.googleusercontent.com/-mcREKnGvEoQ/VaX5YiUAUYI/AAAAAAAB-2M/Iw96CF1Vcv8/s640/blogger-image--1180140963.jpg)
Katika ziara hiyo pamoja na kutembelea die linke party, watapata fursa ya kutembelea ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani na pia watafanya mkutano na watanzania wanaoishi nchini...
10 years ago
VijimamboVIONGOZI WA ACT-WAZALENDO WATINGA NYUMBANI KWA BABA WA TAIFA
10 years ago
VijimamboMAMIA WAHUDHURIA MKUTANO WA ACT-WAZALENDO MKOANI MWANZA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iSxGOQMxuIk/XoICPvdJVXI/AAAAAAALlmo/s8oW70pDx9s9v6J106TdVX7FYxv_8bNGACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-30%2Bat%2B17.27.32.jpeg)
NGOME YA WANAWAKE YA ACT WAZALENDO SASA KAMILI, YATANGAZA SAFU YA VIONGOZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-iSxGOQMxuIk/XoICPvdJVXI/AAAAAAALlmo/s8oW70pDx9s9v6J106TdVX7FYxv_8bNGACLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-30%2Bat%2B17.27.32.jpeg)
NGOME ya Wanawake ya Chama cha ACT Walendo imetangaza safu ya viongozi wake wa idara mbalimbali ndani ya ngome hiyo huku mkakati mkubwa ukiwa ni kuweka mkakati na mipango ambayo itasaidia kufanikisha Chama hicho kushika Dola katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Akizungumza leo Machi 30 mwaka 2020 jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Ngome hiyo ya Wanawake wa ACT Wazalendo Mkiwa Kimwanga mwenyekiti kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama hicho uliofanyika...
9 years ago
VijimamboACT WAZALENDO YAZINDUA KAMPENI ZAKE WILAYANI BAHI MKOANI DODOMA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MTsNnmnVYps/Vi0x9c5zeqI/AAAAAAAICyY/wPku1XSy2Pk/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Mgombea Urais Mwanamke pekee kupitia tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Anna MGhwira apiga kura Singida
![](http://4.bp.blogspot.com/-MTsNnmnVYps/Vi0x9c5zeqI/AAAAAAAICyY/wPku1XSy2Pk/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ANrd8nMjfwA/Vi0x9oCluMI/AAAAAAAICyc/tqlnuLhnAQo/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)