Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMIA WAHUDHURIA MKUTANO WA ACT-WAZALENDO MKOANI MWANZA

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mwanza kwenye viwanja vya Furahisha jijini humo. (Picha na Said Powa)
 Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa ACT-Wazalendo.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KINANA ATINGA NKASI, MAMIA WAHUDHURIA MKUTANO WAKE MJI MDOGO WA NAMANYERE

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na kina mama wa hamasa, baada ya kuwasili kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika, Jumapili, Machi 30, 2014, katika mji mdogo wa Namanyere, wilayani Nkasi akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia za kizitatua, katika mkoa wa Rukwa.… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa ACT Wazalendo watua mkoani Singida

DSC05179

Kiongozi Mkuu wa ACT wazalendo, Zitto Kabwe, akihutubia mamia ya wanachi wa mji wa Singida na vitongoji vyake jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Ukombozi mjini Singida. Pamoja na mambo mengine, Zitto ameitaka serikali kubana matajiri ili waweze kuwapa madereva mikataba ya kazi kama njia ya kuwapunguzia msongo wa mawazo unaochangia kusababisha ajali za barabarani.

DSC05193

Mwenyekiti wa ACT wazalendo, Anna Mughwira, akitoa nasaha zake kwenye mkutano wa...

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA ACT WAZALENDO JIMBO LA MOROGORO MJINI LEO

Wanachama  ACT  wazalendo la  wananchi  wa   jimbo la  Morogoro  mjini wakiwa katika mkutano  wa ACT wazalendo leo



viongozi  wa  kitaifa  wa ACT  wazalendo  wakiimba  wimbo wa  Taifa  kabla ya  kuanza  mkutano  wa  hadhara  jimbo la  Morogoro  mjini  leoWanachama  wa  ACT  wazalendo  wakiimba  wimbo wa  Taifa  leo.
Picha zaidi BOFYA HAPA

 

9 years ago

Mwananchi

Keissy wa CCM atoa ‘salary slip’ mkutano wa ACT-Wazalendo

Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), aliyemaliza muda wake, Ally Keissy jana aliibuka kwenye mkutano wa kampeni wa chama cha ACT-Wazalendo na kupinga maelezo kwamba mshahara wake wa ubunge ni zaidi ya Sh10 milioni.

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Katiba ya ACT-Wazalendo Kama Ilivyopitishwa Na Mkutano Mkuu 29Machi15

Alliance for Change and Transparency

(ACT-Wazalendo)

Chama cha Wazalendo

KATIBA

TOLEO LA 2015

View this document on Scribd

 

9 years ago

Vijimambo

ACT WAZALENDO YAZINDUA KAMPENI ZAKE WILAYANI BAHI MKOANI DODOMA

 Mgombea Mwenza wa chama cha ACT wazalendo Hamad Yusufu akizungumza na wakazi wa Mayamaya kata ya Zanka wilayani Bahi mkoa wa Dodoma kwenye mkutano wa kuomba kura alipokuwa akimnadi Mgombea Urais wa chama hicho Anna Mghwila, mgombea ubunge wa jimbo hilo Eva Kaka na madiwani wa kata mbalimbali.  Mgombea ubunge wa jimbo la Bahi Eva Kaka akimkabidhi fedha Mwalimu Joseph John mkazi wa Mayamaya kama kifuta machozi kutokana na mwalimu huyo kuunguliwa na majani kwa ajili ya malisho ya mifugo yake...

 

9 years ago

Dewji Blog

“Vitendo vya utoro na mimba kwa wanafunzi Mkoani Singida havivumiliki”- Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo Anna Mughwira

IMG_1743

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Anna Mughwira, akichangia ajenda zilizokuwa zinatolewa kwenye kikao cha kamati ya maendeleo (RCC) mkoa wa Singida kilichofanyika mjini hapa. Pamoja na mambo mengine, ameviomba vyombo vya habari mkoani, kusaidia kutoa elimu juu ya madhara yanayowapata wanafunzi watoro.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

Mwenyekiti wa chama cha ACT- Wazalendo ,Anna Mughwira amewahimiza waandishi wa habari mkoani hapa, kutumia taaluma yao kuwaelimisha...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA ACT CHAFANYA MKUTANO MKOANI SHINYANGA


Mwenyekiti wa chama cha ACT-Wazalendo Anna Mngwhira, akiwahutubia wakazi wa mji wa Kahama Mkoani Shinyanga jana kwenye viwanja vya CDT,wakati wa mkutano wa chama hicho wakutafuta uungwaji mkono kwa wananchi. (Picha na Said Powa)Wananchi wa mji wa Kahama wakiwashangilia viongozi wa Chama cha ACT -Wazalendo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya CDT Mjini hapa.
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo,Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Kahama Mkoani Shinyanga kwenye mkutano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani