CHAMA CHA ACT CHAFANYA MKUTANO MKOANI SHINYANGA
Mwenyekiti wa chama cha ACT-Wazalendo Anna Mngwhira, akiwahutubia wakazi wa mji wa Kahama Mkoani Shinyanga jana kwenye viwanja vya CDT,wakati wa mkutano wa chama hicho wakutafuta uungwaji mkono kwa wananchi. (Picha na Said Powa)Wananchi wa mji wa Kahama wakiwashangilia viongozi wa Chama cha ACT -Wazalendo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya CDT Mjini hapa.
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo,Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Kahama Mkoani Shinyanga kwenye mkutano...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHAMA CHA ACT-TANZANIA CHAFANYA TATHMINI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziCHAMA CHA ACT-TANZANIA CHAFANYA TATHMINI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA JIJINI DAR LEO.
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
10 years ago
MichuziMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Lz_Tjquh0xo/VSoLArexyiI/AAAAAAAHQck/XJ8ZEp2YgcQ/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
CHAMA CHA ACT CHAFAYA MKUTANO WA HADHARA NJOMBE NA MAKAMBAKO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lz_Tjquh0xo/VSoLArexyiI/AAAAAAAHQck/XJ8ZEp2YgcQ/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QghFIKVDV6A/VSoLBDxFHXI/AAAAAAAHQcw/_uP8Gx7FVh8/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UC2K7dpPqIw/VSoLBDgLryI/AAAAAAAHQco/7CxOsSrQB2Q/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
10 years ago
Michuzi02 Oct
Taarifa Kwa Umma Kutoka Cham Cha ACT-TANZANIA Kuhusu Zitto Kabwe na Chama Cha ACT- Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-PQ3cCBhtNUE/VCwNv30XPoI/AAAAAAADEsg/fLSGWFewAGQ/s1600/01.aa4.jpg)
Katika gazeti la mwanahabari toleo na 117 la tarehe 29/09/2014 katika ukurasa wake wa mbele iliandikwa "MKAKATI WA KUKIPA NGUVU CHAMA CHA KIPYA CHA ZITTO KABWE WAVUJA".
Act-Tanzania tunaeleza kuwa ni chama cha watanzania wote kisichokuwa na mmilki wake na tunaunganishwa na misingi kumi ya chama pamoja na Itikadi yetu ya Demokrasia...
10 years ago
Vijimambo9 years ago
MichuziCHAMA CHA ACT WAZALENDO WAFUNGUA KAMPENI ZA CHAMA HICHO IRINGA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
Na MatukiodaimaBLogCHAMA cha ACT wazalendo kimezindua kampeni zake za ubunge katika jimbo la Iringa huku mgombea wake ubunge katika jimbo hilo Bi Chiku Abwao akivilalamikia baadhi ya vyombo vya habari nchini kwa kukalia habari zake zinazohusiana na uchafu wa mgombea Urais wa chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) anayewakilisha vyama vinavyounda umoja wa...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Sep
Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015.
Katika kampeni za uchaguzi mkuu wa October 2015, Mh. Seif Sharif Hamad aliombea wagombea zake kura za ndio wakiwemo wabunge, madiwani na wawakilishi wa Jibo la Ole, Pia Muheshimiwa alimuombea kura ndugu Edward Lowasa. Katika Sera […]
The post Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015. appeared first on Mzalendo.net.