Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto awaonya viongozi ACT-Wazalendo

Zitto Kabwe-ACT Leader3Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameionya sekretarieti ya uongozi wa chama hicho na kuitaka kuishi kwa maadili kwa kuzingatia katiba ya chama na kuitekeleza kwa vitendo.
Amesema uadilifu umekuwa ni changamoto kubwa katika nchi hali inayowafanya watanzania washindwe kuaminiana katika masuala mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam juzi alipofungua mkutano wa kwanza wa sekretarieti ya uongozi wa chama hicho.
Alisema iwapo watashindwa kuishi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Act-Wazalendo to go it alone in polls, Zitto says

Dar es Salaam. Opposition ACT-Wazalendo yesterday declared it will go into the October General Election alone, thus ending any chance that the party will join the coalition Ukawa that brings together other main opposition parties.

 

9 years ago

Habarileo

Zitto aongoza wagombea ubunge ACT-Wazalendo

CHAMA cha ACT Maendeleo kimetoa rasmi majina ya wagombea wake watakaokiwakilisha chama hicho, katika nafasi za ubunge na uwakilishi kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, huku Kiongozi Mkuu wa chama hicho, Kabwe Zitto akiwania ubunge jimbo la Kigoma mjini.

 

9 years ago

Habarileo

Zitto:ACT Wazalendo ina majibu kero ya maji

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema serikali itakayotokana na Chama hicho baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu itaanzisha mfuko wa wakala wa maji vijijini kwa ajili ya kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji safi na salama kwa uhakika.

 

5 years ago

Michuzi

ZITTO ACHUKUA FOMU KUWANIA NAFASI YA UONGOZI ACT WAZALENDO

Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMBUNGE wa Kigoma mjini na kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amechukua fomu ya kugombea nafasi ya kutetea kiti cha uongozi wa  Chama cha ACT Wazalendo kwa mhula wa pili na wa mwisho katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwezi Machi mwaka huu.
 
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam mara baada ya  kuchukua fomu hiyo muda mfupi  baada ya kutoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi inayomkabili ambapo katika shauri hilo la uchochezi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zitto Kabwe na ACT Wazalendo kupeleka Uzalendo Songea Mjini Aprili 10

11035326_1059029794111858_8123265426011297926_o

Na Andrew Chale wa Modewji  Blog

Chama cha Wazalendo ACT-Tanzania kinatarajia kufanya  mkutano wake Mkoani Ruvuma, Ijumaa ya Aprili 10, katika eneo la Songea Mjini.

Kwa mujibu wa taarifa kupitia kurasa ya twitter ya chama hicho kilieleza kuwa,  viongozi wakuu wa chamaa hicho wanatarajiwa kuwa wazungumzaji wakuu huku Mwanachama  mwenye mvuto kwa vijana ambaye pia ni msanii Afande Sele kutoka Morogoro naye akitarajiwa kuwapo kwenye mkutano huo na  viongozi wa Kitaifa.

5 (25)

Aidha, chama hicho...

 

5 years ago

BBCSwahili

Zitto Kabwe: Mahakama yamkuta na kesi ya kujibu kiongozi wa ACT-Wazalendo

Zitto anakabiliwa na mashtaka matatu ya uchochezi anayodaiwa kuyatenda Oktoba 2018.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amesema anastahili kupata pongezi

Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amesema anastahili kupata pongezi kutetea haki ya wasichana.

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE CHIKU ABWAO WA CHADEMA AMFUATA ZITTO KABWE ACT-WAZALENDO

 Katibu wa Mipango na Mikakati wa Chama cha ACT-Wazalendo, Habibu Mchange (kushoto), akimkabidhi kadi ya chama hicho, aliyekuwa mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Iringa mjini, Chiku Abwao baada ya kuhamia rasmi ACT-Wazalendo Dar es Salaam leo mchana. Mbunge Chiku Abwao (kulia), akionesha kadi ya chama cha ACT-Wazalendo baada ya kukabidhiwa.
  Mbunge Chiku Abwao (kulia), akizungumza na wanahabari baada ya kukabidhiwa kadi ya chama cha ACT-Wazalendo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa ACT Wazalendo watua mkoani Singida

DSC05179

Kiongozi Mkuu wa ACT wazalendo, Zitto Kabwe, akihutubia mamia ya wanachi wa mji wa Singida na vitongoji vyake jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Ukombozi mjini Singida. Pamoja na mambo mengine, Zitto ameitaka serikali kubana matajiri ili waweze kuwapa madereva mikataba ya kazi kama njia ya kuwapunguzia msongo wa mawazo unaochangia kusababisha ajali za barabarani.

DSC05193

Mwenyekiti wa ACT wazalendo, Anna Mughwira, akitoa nasaha zake kwenye mkutano wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani