Mgogoro ACT watinga kwa msajili
Wakati Halmashauri Kuu ya Chama cha ACT-Tanzania ikikutana kujadili agenda tatu, ikiwamo ya kuazimia kumvua uongozi Mwenyekiti, Kadawi Limbu, Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa leo inawakutanisha viongozi waandamizi wa chama hicho kusaka suluhu ya mgogoro wao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Mgogoro Kanisa Moravian watua kwa msajili
KANISA la Moravian kupitia Kamati yake ya Mpito ya Jimbo la Misheni Mashariki imemwandikia barua Msajili wa Vyama na Taasisi za Dini aliyepo Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oS_q4fuqMoE/U9_tYk4L6aI/AAAAAAAF9JE/MkV57osoLfQ/s72-c/unnamed+(2).jpg)
MAASKOFU MORAVIAN WATINGA OFISINI KWA CHIKAWE,WAMUOMBA AINGILIE KATI MGOGORO NDANI YA KANISA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oS_q4fuqMoE/U9_tYk4L6aI/AAAAAAAF9JE/MkV57osoLfQ/s1600/unnamed+(2).jpg)
10 years ago
VijimamboVIONGOZI WA ACT-WAZALENDO WATINGA NYUMBANI KWA BABA WA TAIFA
10 years ago
Habarileo27 Sep
Mgogoro wa zabuni Arusha watinga PPRA
SUALA la nani anastahili kupewa zabuni ya kukusanya mapato ya Halmashauri ya Jiji la Arusha limepelekwa kwenye Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi wa Umma (PPRA) ili itoe uamuzi.
10 years ago
Mtanzania13 Feb
Msajili awapa kina Zitto ACT yao
![Zitto Kabwe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Zitto-Kabwe-300x204.jpg)
Zitto Kabwe
NA MICHAEL SARUNGI, DAR ES SALAAM
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imebariki mabadiliko ya uongozi yaliyowasilishwa na Katibu Mkuu wa muda wa chama cha ACT-Tanzania, Samson Mwigamba na Kaimu Mwenyekiti wake, Shaaban Mambo.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya viongozi wa chama hicho kutuhumiana hadharani kuwa kila mmoja anakivuruga chama na kusababisha Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, kuingilia kati.
Chama hicho kwa muda mrefu kimekuwa...
9 years ago
Mwananchi21 Dec
ACT wataja mbinu kumaliza mgogoro Z’bar
9 years ago
StarTV12 Nov
ACT Wazalendo wamwomba Dk. Magufuli kuingilia kati mgogoro wa Zanzibari
Chama cha ACT Wazalendo kimemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Magufuli kuingilia kati suala la mgogoro wa Zanzibar na hatimaye matokeo ya uchaguzi yafahamike na mshindi atangazwe.
Kiongozi wa Chama hicho ambaye pia ni Mbunge mteule wa Kigoma Ujiji Zitto Kabwe amesema Rais asiposhughulikia suala hilo linaweza kusababisha mpasuko mkubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kazi anazozifanya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s72-c/Jaji%2B01.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA NA MSAJILI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s640/Jaji%2B01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hp5y7Ax4H2M/VijBsx0Uw9I/AAAAAAAIBqs/quvXx-_wz_k/s640/Jaji%2B02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8UuQ1zi50rQ/VijBuAVR5LI/AAAAAAAIBq8/wGIIg9LOEC0/s640/Jaji%2B05.jpg)
11 years ago
Michuzi29 Jul
KAGASHEKI CUP 2014 - KAGONDO FC WATINGA NUSU FAINALI KWA KUIFUNGA IJUGANYONDO KWA MIKWAJU YA PENATI 4-3
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/OfUYNOeZLKuz0KpXiQDaiu-9Ig6IX61s7PS4S8c2WoW4RFcRxzzT_2GwTGfPEqKSRgDJ6_4FIdK5-fIaoVvP2GV-fuQ3mALmLJhsvRIQcyL8Y6MtzJVcqtMpgACvyA671yAuLxjggIIe4V-2lC2fcPeEi-wJY9DlihWIpM9EP4zBWj8NV8M=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/t31.0-8/1239145_722243301157155_8115637116940878526_o.jpg)