Mgogoro wa zabuni Arusha watinga PPRA
SUALA la nani anastahili kupewa zabuni ya kukusanya mapato ya Halmashauri ya Jiji la Arusha limepelekwa kwenye Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi wa Umma (PPRA) ili itoe uamuzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Mgogoro ACT watinga kwa msajili
11 years ago
MichuziMAASKOFU MORAVIAN WATINGA OFISINI KWA CHIKAWE,WAMUOMBA AINGILIE KATI MGOGORO NDANI YA KANISA
9 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AKAGUA MABANDA KWENYE MKUTANO WA MAMLAKA YA MANUNUZI(PPRA)JIJINI ARUSHA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk Mohamed Gharib Bilal (kushoto)akimsikiliza Afisa Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa Mamlaka...
11 years ago
Habarileo17 Jan
Mgogoro wa uongozi wafukuta Arusha
MGOGORO wa uongozi mkoani Arusha umefikia hatua mbaya ambapo sasa ni wazi Mkurugenzi wa Jiji, Sipora Liana, hawezi kuiva chungu kimoja na Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Meya na Baraza la Madiwani. Mkuu wa Mkoa, Magesa Mulongo amegonga mwamba baada ya Liana kupuuza agizo lake alilotaka litekelezwe ndani ya siku sita.
5 years ago
MichuziWaziri Bashungwa ahaidi kutatua mgogoro wa kiwanda cha Happy Sausages Arusha
Bashungwa, ametoa kauli hiyo leo alipofanya ziara ya kutembelea kiwanda hicho huku akiongoza na mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.
Akizungumza kiwandani hapo Bashungwa amesema...
11 years ago
TheCitizen07 May
Kikwete names new ppra boss
11 years ago
Daily News07 May
Shirima appointed PPRA boss
Shirima appointed PPRA boss
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Dr Laurent Shirima as the new Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) Chief Executive Officer (CEO). A statement issued by the Directorate of Presidential Communications noted that the appointment is ...
9 years ago
StarTV07 Oct
Mamlaka ya PPRA yabaini ukiukwaji wa sheria
Mamlaka ya kudhibiti Manunuzi ya Umma (PPRA) imezifungia kampuni 7 pamoja na wakurugenzi wake kutoshiriki zabuni za umma kutokana na ukiukwaji wa sheria ya manunuzi.
Adhabu hiyo imekuja baada ya uchunguzi wa PPRA iliyobaini viashiria vya rushwa kwenye manunuzi ya umma kwa kampuni na taasisi mbalimbali za Serikali tatizo ambalo limedaiwa kuonekana kuwa sugu hali inayoathiri uchumi wa Taifa.
Mwenyekiti wa Bodi ya PPRA, Balozi Matern Lumbanga amesisitiza juu ya kufungiwa kwa kampuni SABA...
10 years ago
MichuziMKUYA KUZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA PPRA
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Salum Mkuya anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 10 ya Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) yatakayofanyika Mei, 19 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Bodi ya PPRA, Balozi Dk. Matern Lumbanga, amesema lengo la maadhimisho ni kukutanisha wadau wa manunuzi ya umma nchini kujadili mafanikio katika...