Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgogoro wa zabuni Arusha watinga PPRA

SUALA la nani anastahili kupewa zabuni ya kukusanya mapato ya Halmashauri ya Jiji la Arusha limepelekwa kwenye Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi wa Umma (PPRA) ili itoe uamuzi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mgogoro ACT watinga kwa msajili

Wakati Halmashauri Kuu ya Chama cha ACT-Tanzania ikikutana kujadili agenda tatu, ikiwamo ya kuazimia kumvua uongozi Mwenyekiti, Kadawi Limbu, Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa leo inawakutanisha viongozi waandamizi wa chama hicho kusaka suluhu ya mgogoro wao.

 

11 years ago

Michuzi

MAASKOFU MORAVIAN WATINGA OFISINI KWA CHIKAWE,WAMUOMBA AINGILIE KATI MGOGORO NDANI YA KANISA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akizungumza na Maaskofu wa Kanisa la Moravian nchini baada ya kuwasikiliza malalamiko yao kuhusiana na migogoro ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea kwa muda mrefu katika Kanisa hilo. Maaskofu hao ambao walikuwa wanaongozwa na Askofu Mkuu wa Kanisa hilo, Alinikisa Cheyo walimuomba Waziri Chikawe aingilie kati kwa kudhibiti vurugu hizo ambazo zinazisambaratisha kanisa lao. Hata hivyo, Waziri Chikawe aliahidi kulifanyia kazi...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS AKAGUA MABANDA KWENYE MKUTANO WA MAMLAKA YA MANUNUZI(PPRA)JIJINI ARUSHA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk Mohamed Gharib Bilal akisaini kitabu cha wageni kwenye banda la maonesho la Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii nchini(SSRA)  baada ya kufungua kongamano la Mamlaka ya Ununuzi ya Umma(PPRA)jijini Arusha leo,kulia ni Afisa Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma, Bi. Sarah Kibonde.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk Mohamed Gharib Bilal (kushoto)akimsikiliza Afisa Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa Mamlaka...

 

11 years ago

Habarileo

Mgogoro wa uongozi wafukuta Arusha

MGOGORO wa uongozi mkoani Arusha umefikia hatua mbaya ambapo sasa ni wazi Mkurugenzi wa Jiji, Sipora Liana, hawezi kuiva chungu kimoja na Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Meya na Baraza la Madiwani. Mkuu wa Mkoa, Magesa Mulongo amegonga mwamba baada ya Liana kupuuza agizo lake alilotaka litekelezwe ndani ya siku sita.

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Bashungwa ahaidi kutatua mgogoro wa kiwanda cha Happy Sausages Arusha

Na Woinde Shizza, ArushaWAZIRI wa viwanda,biashara na masoko, Innocent Bashungwa ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) mkoani Arusha  kufanya maamuzi ya haki na usawa katika uchunguzi wa mgogoro wa kiwanda cha kuchakata,kusindika na kufungasha nyama cha Happy Sausages kilichopo jijini Arusha.
Bashungwa, ametoa kauli hiyo leo alipofanya ziara ya kutembelea kiwanda hicho huku akiongoza na mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.
Akizungumza kiwandani hapo Bashungwa amesema...

 

11 years ago

TheCitizen

Kikwete names new ppra boss

President Jakaya Kikwete has appointed Dr Laurent Shirima the new Managing Director of the Public Procurement Regulatory Authority (PPRA).

 

11 years ago

Daily News

Shirima appointed PPRA boss


Shirima appointed PPRA boss
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Dr Laurent Shirima as the new Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) Chief Executive Officer (CEO). A statement issued by the Directorate of Presidential Communications noted that the appointment is ...

 

9 years ago

StarTV

Mamlaka ya PPRA yabaini ukiukwaji wa sheria

Mamlaka ya kudhibiti Manunuzi ya Umma (PPRA) imezifungia kampuni 7 pamoja na wakurugenzi wake kutoshiriki zabuni za umma kutokana na ukiukwaji wa sheria ya manunuzi.

Adhabu hiyo imekuja baada ya uchunguzi wa PPRA iliyobaini viashiria vya rushwa kwenye manunuzi ya umma kwa kampuni na taasisi mbalimbali za Serikali tatizo ambalo limedaiwa kuonekana kuwa sugu hali inayoathiri uchumi wa Taifa.

Mwenyekiti wa Bodi ya PPRA, Balozi Matern Lumbanga amesisitiza juu ya kufungiwa kwa kampuni SABA...

 

10 years ago

Michuzi

MKUYA KUZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA PPRA

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Salum Mkuya anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 10 ya Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) yatakayofanyika Mei, 19 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Bodi ya PPRA, Balozi Dk. Matern Lumbanga, amesema lengo la maadhimisho ni kukutanisha wadau wa manunuzi ya umma nchini kujadili mafanikio katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani