Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUYA KUZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA PPRA

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Salum Mkuya anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 10 ya Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) yatakayofanyika Mei, 19 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Bodi ya PPRA, Balozi Dk. Matern Lumbanga, amesema lengo la maadhimisho ni kukutanisha wadau wa manunuzi ya umma nchini kujadili mafanikio katika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA MIAKA KUMI YA PPRA YAZINDULIWA JIJINI DAR LEO

  Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha (fedha za nje na madeni).Bi Dorothy Mwanyika akizindua maadhimisho ya miaka kumi ya  Mamlaka ya Udhibiti na Manunuzi ya Umma (PPRA) ilioanzishwa mwaka 2015  katika siku moja ya semina ya Wadau wa Habari na PPRA kuhusiana na wajibu wa vyombo vya habari katika kutoa mchango wake kwenye manunuzi ya umma,ambayo inafanyika leo ndani ya ukumbi wa Diamond VIP jijini Dar. Balozi,Mwenyekiti wa bodi ya  Mamlaka ya Udhibiti na Manunuzi wa Umma...

 

10 years ago

Habarileo

Anglikana Dar kesho kuzindua maadhimisho ya miaka 50

KANISA la Anglikana Tanzania, Dayosisi ya Dar es Salaam, kesho linatarajia kuzindua maadhimisho ya miaka 50 ya Dayosisi hiyo ya utoaji huduma za kiroho, kiuchumi na kijamii yatakayokwenda sambamba na shughuli mbalimbali yakiwemo makongamano yatakayohusisha makundi mbalimbali.

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda kuzindua maadhimisho wa Wiki ya Elimu mjini Dodoma

IMG_5332

Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maadhimisho ya Wiki ya Elimu yatakayofanyika kitaifa mkoani Dodoma. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Magreth Kinabo.

HASSAN SILAYO- MAELEZO

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda kesho atazindua maadhimisho wa Wiki ya Elimu Mjini Dodoma.

Akizungumza na waandishi wa Habari Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene alisema kuwa Maadhimisho hayo yatakwenda sambamba na...

 

9 years ago

GPL

MAADHIMISHO YA MIAKA KUMI YA MICHUZIBLOG!

Ndugu zangu,   KILA jambo la nafsiri yake. Maadhimisho ya Miaka Kumi ya uwepo wa Michuziblog hayawezi kupita bila kutafutiwa tafsiri yake.   Kwanza kabisa, kwa niaba ya wajumbe wangu wote, nichukue fursa hii kumpa pongezi za dhati ndugu yangu Kaka Muhidin Issa Michuzi kwa mafanikio makubwa aliyoyapata na pia mchango wake mkubwa alioutoa kwa Wanablogu wengine, nikiwamo mimi.   Muhidin Michuzi ataingia kwenye vitabu...

 

10 years ago

Habarileo

ALAT wazindua maadhimisho ya miaka 30

JUMUIYA ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ALAT) imezindua rasmi maadhimisho ya m iaka 30 ya jumuiya hiyo, yanayolenga kuweka wazi mafanikio yaliyotokana na Serikali za Mitaa.

 

5 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO MIAKA 43 YA CCM MKOA WA PWANI


Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi  wa CCM Mkoa wa Dar es salaam na Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akionesha Fedha Taslim Shilingi Milioni Tano alizochangia kwenye ujenzi wa JENGO LA ccm Mkoa wa Pwani wakati wa Harambee iliyofanyika leo Febuari 15,2020 kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

Maadhimisho ya Miaka 21 ya kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari

Mgeni rasmi Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dr. Harrison Mwakyembe na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Eugene Kayihura pamoja na meza kuu wakiwa wamesimama kimya kuwakumbuka raia waliouwawa katika mauaji ya Kimbari. Mgeni rasmi Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dr. Harrison Mwakyembe na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Eugene Kayihura pamoja na meza kuu wakiwa wamesimama kimya kuwakumbuka raia waliouwawa katika mauaji ya Kimbari.
Mgeni rasmi Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dr. Harrison Mwakyembe na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Eugene Kayihura wakiwasha mishumaa maalumu kuwakumbuka raia waliouwawa katika mauaji ya Kimbari.Mgeni rasmi Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dr. Harrison Mwakyembe na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Eugene Kayihura wakiwasha mishumaa maalumu kuwakumbuka raia waliouwawa katika mauaji ya Kimbari.
Mratibu Mkazi wa UN, Alvaro Rodriguez akizungumza katika Maazimisho ya Miaka 21 ya kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari. Maadhimisho hayo yaliyoandaliwa na Umoja wa Mataifa kwa kushirikiana na Ubalozi wa Rwanda nchini Tanzania yamefanyika leo ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.Mratibu Mkazi wa UN, Alvaro Rodriguez akizungumza katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

ALAT yazindua mchakato wa maadhimisho ya miaka 30

11

Mwenyeki wa ALAT Taifa na Meya Wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi.

Miaka-30-Ya-ALAT2.doc by moblog

 

10 years ago

Vijimambo

MAADHIMISHO YA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA BARA



Rais Kikwete akiwa kwenye sherehe hizo.
Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara CCM, Philip Mangula.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, Dk Mohamed Shein.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadick, akisalimiana na waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye.Baadhi ya viongozi wa nchi wakiwa jukwaa kuu.
Askari wa majeshi ya ulinzi na usalama wakitoa heshima kwa Rais Kikwete.
Haya ni maonyesho ya halaiki.
Baadhi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani