MAADHIMISHO YA MIAKA KUMI YA MICHUZIBLOG!
![](http://api.ning.com:80/files/-*rf1dO92wyOiccrawy53D9rietnO2T0fH-GgYln1lBQWZBQPFW6GOavj6mV*4avsHWuOvcU8u5vs0qGsbm23iwdgPlVE0Vv/4.jpg)
Ndugu zangu, Â KILA jambo la nafsiri yake. Maadhimisho ya Miaka Kumi ya uwepo wa Michuziblog hayawezi kupita bila kutafutiwa tafsiri yake. Â Kwanza kabisa, kwa niaba ya wajumbe wangu wote, nichukue fursa hii kumpa pongezi za dhati ndugu yangu Kaka Muhidin Issa Michuzi kwa mafanikio makubwa aliyoyapata na pia mchango wake mkubwa alioutoa kwa Wanablogu wengine, nikiwamo mimi. Â Muhidin Michuzi ataingia kwenye vitabu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FWSUCdw43AI/VMpDoEH-e-I/AAAAAAACy4I/tuTGcTAyr3o/s72-c/images.jpgd.jpg)
Maadhimisho ya miaka kumi ya THT Jumamosi hii Escape 1, Mikocheni
![](http://2.bp.blogspot.com/-FWSUCdw43AI/VMpDoEH-e-I/AAAAAAACy4I/tuTGcTAyr3o/s1600/images.jpgd.jpg)
· Viingilio shilingi elfu 15 kwenye vituo na elfu 20 mlangoni
Tamasha la miaka kumi ya THT litakalofanyika jumamosi hii katika viwanja vya Escape 1 Mikocheni, limekamilisha maandalizi yake na hivyo kuwataka wadau na wapenzi wake wajitokeze kwa wingi kushuhudia burudani kubwa ya mziki hapa nchini.
THT, ambayo inasifika kwa kuzalisha wasanii mahiri nchini kama Linah, Barnaba, Mwasiti, Ditto,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a4RWjjOEm8E/VVm1OSRW79I/AAAAAAAHYCQ/bWZN203Wmsc/s72-c/6.jpg)
MAADHIMISHO YA MIAKA KUMI YA PPRA YAZINDULIWA JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-a4RWjjOEm8E/VVm1OSRW79I/AAAAAAAHYCQ/bWZN203Wmsc/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5nMBrFQ_8XQ/VVm1MIV6rrI/AAAAAAAHYB0/4-RqJi6AM_0/s640/2.jpg)
10 years ago
CloudsFM29 Jan
ADAM MCHOMVU KUWAVALISHA WEUSI KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA KUMI YA THT JUMAMOSI HII,ESCAPE ONE
Nyumba ya Vipaji Tanzania(THT)kuadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake siku ya Jumamosi wiki hii pande za Escape One,Mikocheni jijini Dar.Siku hiyo ya maadhimisho kutakuwa na burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii waliopitia THT pamoja na wasanii wengine wakiwemo Linah Sanga,Amin,Recho,Mwasiti,Barnaba,n.k.
Nyumba hiyo ya vipaji imeamua kuachana na kuwatoa wasanii wachanga kwa hiyo hao wanaomaliza ndiyo watakua wa mwisho,badala yake wameanzisha chuo cha ubunifu wa mavazi ambapo wabunifu...
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Tanzania ndani ya miaka kumi
10 years ago
Dewji Blog25 May
Miaka kumi na moja ya jarida la BANG!
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Relim Entertainment ,Emelda Mwamanga akipozi kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni hiyo mara baada ya kuongea na wanahabari kwenye sherehe ya kuadhimisha miaka 11 tokea kuanzishwa kwa Jarida la Bang!.
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Relim Entertainment,...
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Elimu ya msingi sasa ni miaka kumi
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Msichana wa miaka kumi ajilipua Nigeria
9 years ago
MichuziMICHUZI BLOG YAADHIMISHA MIAKA KUMI YA KUANZISHWA KWAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ktsylelmf0nMfYfkUNC2JXfveXaQNpemxePX8bMraLnP2gPJPRyjk7TxrY6b0vp5wPKFpBTse8SgBpsfYZ6yt5PH8Dj4HE0x/saramvungi.jpg)
SARA MVUNGI: NINA MIAKA KUMI SIJAFANYA ZINAA