Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miaka kumi na moja ya jarida la BANG!

A

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Relim Entertainment ,Emelda Mwamanga akionyesha  Jarida la Bang! toleo la 55 ambalo limeadhimisha miaka 11 tokea kuanzishwa kwa jarida hilo.

B

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Relim Entertainment ,Emelda Mwamanga akipozi kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni hiyo mara baada ya kuongea na wanahabari kwenye sherehe ya kuadhimisha miaka 11 tokea kuanzishwa kwa Jarida la Bang!.

C

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Relim Entertainment,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JARIDA LA ‘BANG MAGAZINE’ LAADHIMISHA MIAKA 11

Mkurugenzi Mkuu wa Relim Entertaiment Ltd, Emelda Mwamanga (katikati) akizungumza jambo katika hafla  ya kutimiza miaka 11 ya jarida la Bang.  Kushoto ni Mkurugenzi wa Ubunifu na Masoko wa Relim, Mpegwa Mwarang'  na  Ofisa masoko, Darlina Mbedule. Mwamanga na Mbedule wakionyesha baadhi ya kurasa zinazomzungumzia mwanamke kwenye jarida hilo.…
...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mahakama yazuia kufanyika kwa ‘Bang Bang Bear Fest’ jumamosi hii, limekiuka sheria za haki miliki

By_3U8ACIAEXBw7.jpg large

Mahakama ya hakimu mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam imezuia kufanyika kwa tamasha lililopewa jina ‘Bang Bang Bear Fest’ lililokuwa linatarajiwa kufanyika Jumamosi hii.

Uamuzi wa mahakama hiyo umetokana na malalamiko yaliyotolewa na Bongo5 Media Group ambao wanamiliki wazo halisi la tamasha la aina hiyo liitwalo Dar es Salaam Bear Fest.

Kwa hali hiyo mahakama hiyo imetoa amri ya kusitishwa mara moja kwa ‘Bang Bang Bear Fest’ lililokuwa lifanyike October 4 kwenye viwanja vya Posta...

 

11 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MIAKA 10 YA BANG MAGAZINE ZAFANA NDANI YA UKUMBI WA ESCAPE ONE

Keki nzuriii ya Miaka 10 ya Bang Magazine Mkurugenzi mkuu wa Bang Magazine akikata Keki kwa Furaha Kusheherekea miaka 10.
Cheeeeers Kwa miaka 10 Ya Bang Magazine.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MAHAKAMA YAZUIA KUFANYIKA KWA ‘BANG BANG BEAR FEST’ JUMAMOSI HII, LIMEKIUKA SHERIA ZA HAKI MILIKI

Mahakama ya hakimu mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam imezuia kufanyika kwa tamasha lililopewa jina ‘Bang Bang Bear Fest’ lililokuwa linatarajiwa kufanyika Jumamosi hii.
Uamuzi wa mahakama hiyo umetokana na malalamiko yaliyotolewa na Bongo5 Media Group ambao wanamiliki wazo halisi la tamasha la aina hiyo liitwalo Dar es Salaam Bear Fest.
Kwa hali hiyo mahakama hiyo imetoa amri ya kusitishwa mara moja kwa ‘Bang Bang Bear Fest’ lililokuwa lifanyike October 4 kwenye viwanja vya Posta...

 

10 years ago

Michuzi

BANG YAADHIMISHA MIAKA 11 KATIKA KUINUA VIPAJI VYA WANAWAKE,VIJANA

 Mkurugenzi  Mkuu wa  Relim Entertainment Ltd,Emelda Mwamanga akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa kuadhimisha miaka 11 ya jarida la Bang! katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Habari Maelezo jijini Dar es Salaam leo, kushoto ni Mkurugenzi wa Ubunifu na Masoko wa Relim Entertainment Ltd ,Mpegwa Mwarang’ata na Ofisa Masoko Relim Entertainment Ltd Darliana Mbedule. Mkurugenzi  Mkuu wa  Relim Entertainment Ltd Emelda Mwamanga wakionyesha waandishi wa habari baadhi...

 

11 years ago

GPL

SHEREHE YA MIAKA 10 YA BANG MAGAZINE YAFANA NDANI YA UKUMBI WA ESCAPE ONE‏

Meneja wa Bang Magazine Emelda Mwamanga akikata Keki kwa Furaha Kusheherekea miaka 10…

 

11 years ago

Dewji Blog

Waliong’ara kwenye red carpet sherehe za miaka 10 ya Bang Magazine ndani ya Escape One

unnamed (4)

Meneja wa Bang Magazine Emelda Mwamanga akipata Picha kwenye Red Carpet.

unnamed (5)

Meneja wa Bang Magazine Emelda Mwamanga akipata picha na mama Wa Msanii Toka Marekani Yvonne Sangudi Kwenye Red Carpet.

unnamed (11)

Miss Tanzania 2013/14 Happiness Watimanywa akipata Picha ya Red Carpet Miaka 10 ya Bang Magazine.

unnamed (10)

Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba akipata picha kwenye Red Carpet ya Bang Magazine.

unnamed (2)

Wageni wakiendelea kufurahia kupata picha kwenye Red Carpet ya Miaka 10 ya Bang Magazine.

unnamed (3)

Mwanadada akifurahia...

 

10 years ago

Bongo5

Jarida la ‘Ventures Africa’ lamtaja Dewji bilionea namba moja Tanzania

Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji (39), ametajwa kuwa ndiyo bilionea namba moja nchini kwa sasa, akifuatiwa na Rostam Aziz (49). Kwa mujibu wa ripoti ya Jarida la Ventures Africa lililotolewa jana, wafanyabiashara hao ndiyo Watanzania pekee waliongia kwenye orodha ya mabilionea 55 barani Afrika. Dewji, ambaye pia ni mbunge wa Singida Mjini kwa tiketi ya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani