Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHEREHE YA MIAKA 10 YA BANG MAGAZINE YAFANA NDANI YA UKUMBI WA ESCAPE ONE‏

Meneja wa Bang Magazine Emelda Mwamanga akikata Keki kwa Furaha Kusheherekea miaka 10…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MIAKA 10 YA BANG MAGAZINE ZAFANA NDANI YA UKUMBI WA ESCAPE ONE

Keki nzuriii ya Miaka 10 ya Bang Magazine Mkurugenzi mkuu wa Bang Magazine akikata Keki kwa Furaha Kusheherekea miaka 10.
Cheeeeers Kwa miaka 10 Ya Bang Magazine.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Dewji Blog

Waliong’ara kwenye red carpet sherehe za miaka 10 ya Bang Magazine ndani ya Escape One

unnamed (4)

Meneja wa Bang Magazine Emelda Mwamanga akipata Picha kwenye Red Carpet.

unnamed (5)

Meneja wa Bang Magazine Emelda Mwamanga akipata picha na mama Wa Msanii Toka Marekani Yvonne Sangudi Kwenye Red Carpet.

unnamed (11)

Miss Tanzania 2013/14 Happiness Watimanywa akipata Picha ya Red Carpet Miaka 10 ya Bang Magazine.

unnamed (10)

Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba akipata picha kwenye Red Carpet ya Bang Magazine.

unnamed (2)

Wageni wakiendelea kufurahia kupata picha kwenye Red Carpet ya Miaka 10 ya Bang Magazine.

unnamed (3)

Mwanadada akifurahia...

 

10 years ago

GPL

JARIDA LA ‘BANG MAGAZINE’ LAADHIMISHA MIAKA 11

Mkurugenzi Mkuu wa Relim Entertaiment Ltd, Emelda Mwamanga (katikati) akizungumza jambo katika hafla  ya kutimiza miaka 11 ya jarida la Bang.  Kushoto ni Mkurugenzi wa Ubunifu na Masoko wa Relim, Mpegwa Mwarang'  na  Ofisa masoko, Darlina Mbedule. Mwamanga na Mbedule wakionyesha baadhi ya kurasa zinazomzungumzia mwanamke kwenye jarida hilo.…
...

 

10 years ago

GPL

SHEREHE YA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA BARA YAFANA DMV‏

 Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiingia ukumbini kulia ni Afisa Suleiman Saleh wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.  Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Mbunge viti maalum CHADEMA, Mhe. Leticia Nyerere.…

 

11 years ago

Michuzi

WINDHOEK BEER YADHAMINI SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 3 YA KLABU YA BONGO MOVIE ITAKAYOFANYIKA KESHO NDANI YA UKUMBI WA EAST 24

 Mwenyekiti wa Bongo Movie, Bw Steve Nyerere akiongea na waandishi wa habari wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa East 24 uliopo Arcade house Mikocheni.  Steve Nyerere akinadi kinywaji cha Windhoek ambao ndio wadhamini wakuu wa sherehe ya Kutimiza Miaka 3 ya kuzaliwa kwa Bongo Movies, Sherehe itakayofanyika katika Ukumbi wa East 24 uliopo Arcade House Mikocheni jijini Dar Es Salaam Ijumaa ya tarehe 28. Rais wa FM Academia Nyoshi Ali Sadat akiongea na...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA KUMUAGA (SEND OFF) TUMPALE JOHN MWAISANGO, YAFANA KATIKA UKUMBI WA MKAPA JIJINI MBEYA

Tumpale John Mwaisango(kulia) Bi. Harusi mtarajiwa akiwa pamoja na Mume wake Mtarajiwa Jeofrey Daniel Shipela (kushoto) katika nyuso za Furaha wakati wa sherehe za kumuaga .Hivi ndivyo ukumbi ulivyo ulivyokuwaBibi Harusi Mtarajiwa Tumpale John Mwaisango akiwa anaingia ukumbini Bi Harusi mtarajiwa Tumpale John Mwaisango akimpa zawadi Mume wake Mtarajiwa Jeofrey Shipela wa kwanza kulia ni mpambe wa Bwana harusi mtarajiwa Venance Matinya Bi. Harusi Mtarajiwa Tumpale John Mwaisango (kushoto)...

 

10 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA BARA YAFANA DMV

Sherehe ya kusherehekea miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 6, 2014 ndani ya Hotel ya Sheraton iliyopo katikati ya jiji la Silver Spring, Maryland, na kuhudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali na wengine wakitokea Tanzania.
Katika sherehe hiyo iliyoratibiwa na maporomota wakubwa nchini Marekani Phanuel Ligate, Innocent Batamilwa na Dickson Mkama wakishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani huku mgeni rasmi akiwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sherehe ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara yafana DMV

Sherehe ya kusherehekea miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 6, 2014 ndani ya Hotel ya Sheraton iliyopo katikati ya jiji la Silver Spring, Maryland na kuhudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali na wengine wakitokea Tanzania.   Katika sherehe hiyo iliyoratibiwa na maporomota wakubwa nchini Marekani Phanuel Ligate, Innocent Batamilwa na Dickson Mkama wakishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani huku mgeni rasmi akiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani