Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHEREHE ZA MIAKA 10 YA BANG MAGAZINE ZAFANA NDANI YA UKUMBI WA ESCAPE ONE

Keki nzuriii ya Miaka 10 ya Bang Magazine Mkurugenzi mkuu wa Bang Magazine akikata Keki kwa Furaha Kusheherekea miaka 10.
Cheeeeers Kwa miaka 10 Ya Bang Magazine.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SHEREHE YA MIAKA 10 YA BANG MAGAZINE YAFANA NDANI YA UKUMBI WA ESCAPE ONE‏

Meneja wa Bang Magazine Emelda Mwamanga akikata Keki kwa Furaha Kusheherekea miaka 10…

 

11 years ago

Dewji Blog

Waliong’ara kwenye red carpet sherehe za miaka 10 ya Bang Magazine ndani ya Escape One

unnamed (4)

Meneja wa Bang Magazine Emelda Mwamanga akipata Picha kwenye Red Carpet.

unnamed (5)

Meneja wa Bang Magazine Emelda Mwamanga akipata picha na mama Wa Msanii Toka Marekani Yvonne Sangudi Kwenye Red Carpet.

unnamed (11)

Miss Tanzania 2013/14 Happiness Watimanywa akipata Picha ya Red Carpet Miaka 10 ya Bang Magazine.

unnamed (10)

Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba akipata picha kwenye Red Carpet ya Bang Magazine.

unnamed (2)

Wageni wakiendelea kufurahia kupata picha kwenye Red Carpet ya Miaka 10 ya Bang Magazine.

unnamed (3)

Mwanadada akifurahia...

 

10 years ago

GPL

JARIDA LA ‘BANG MAGAZINE’ LAADHIMISHA MIAKA 11

Mkurugenzi Mkuu wa Relim Entertaiment Ltd, Emelda Mwamanga (katikati) akizungumza jambo katika hafla  ya kutimiza miaka 11 ya jarida la Bang.  Kushoto ni Mkurugenzi wa Ubunifu na Masoko wa Relim, Mpegwa Mwarang'  na  Ofisa masoko, Darlina Mbedule. Mwamanga na Mbedule wakionyesha baadhi ya kurasa zinazomzungumzia mwanamke kwenye jarida hilo.…
...

 

11 years ago

Michuzi

WINDHOEK BEER YADHAMINI SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 3 YA KLABU YA BONGO MOVIE ITAKAYOFANYIKA KESHO NDANI YA UKUMBI WA EAST 24

 Mwenyekiti wa Bongo Movie, Bw Steve Nyerere akiongea na waandishi wa habari wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa East 24 uliopo Arcade house Mikocheni.  Steve Nyerere akinadi kinywaji cha Windhoek ambao ndio wadhamini wakuu wa sherehe ya Kutimiza Miaka 3 ya kuzaliwa kwa Bongo Movies, Sherehe itakayofanyika katika Ukumbi wa East 24 uliopo Arcade House Mikocheni jijini Dar Es Salaam Ijumaa ya tarehe 28. Rais wa FM Academia Nyoshi Ali Sadat akiongea na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sherehe za Miaka 50 ya uhai wa Bendi Msondo Ngoma zafana Jijini DarMsondo Ngoma zafana Jijini Dar

Bendi Kongwe ya Muziki wa Dansi hapa nchini iliyodumu kwa miaka 50 toka kuanzishwa kwake mwaka 1964,Msondo Ngoma Music Band imesherehekea Jubilei yake hiyo iliyofanyika Novemba 1,2014 katika viwanja vya TCC Club,Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha mashabiki wake lukuki kutoka sehemu mbali mbali.

Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo ya kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...

 

11 years ago

Dewji Blog

Sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi zafana Uwanja wa Taifa

D92A1902

Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia wananchi wakati alipokuwa anaingi uwanja wa Uhuru leo katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Pembeni ni Mkuu wa majeshi Jenerali Davis Mwamunyange.

D92A2008

Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua vikosi vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.

D92A2053

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete...

 

10 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MIAKA 50 YA BENDI YA MSONDO NGOMA ZAFANA SANA

 Bendi Kongwe ya Muziki wa Dansi hapa nchini iliyodumu kwa miaka 50 toka kuanzishwa kwake mwaka 1964,Msondo Ngoma Music Band imesherehekea jubilei yake hiyo iliyofanyika Novemba 1,2014 katika viwanja vya TCC Club,Chang'ombe jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha mashabiki wake lukuki kutoka sehemu mbali mbali.
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo za kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...

 

11 years ago

Michuzi

sherehe za miaka 50 ya Muungano zafana jijini Beijing, China

 Keki Maalumu kwa ajili ya sherehe hio  Balozi wa Tanzania nchini China, Luteni jenerali mstaafu Abdulrahman Shimbo akiwa na mgeni rasmi wa sherehe za miaka 50 ya Muungano jijini Beijing, China,  makamu mwenyekiti wa kamati kuu ya baraza la ushauri wa kisiasa ya watu China Mhe. Chen Yuan, wakizungumzia mahusiano yaliyopo kati ya CHina Na Tanzania kwa miaka 50 sasa.  Balozi wa Tanzania nchini China, Luteni jenerali mstaafu Abdulrahman Shimbo akihutubia wakati wa sherehe za miaka 50 ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani