SHEREHE ZA MIAKA 50 YA BENDI YA MSONDO NGOMA ZAFANA SANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-cTTy3jB8nC4/VFYMCXRwthI/AAAAAAAGvDk/Hsw_ah9u5Hw/s72-c/7.jpg)
Bendi Kongwe ya Muziki wa Dansi hapa nchini iliyodumu kwa miaka 50 toka kuanzishwa kwake mwaka 1964,Msondo Ngoma Music Band imesherehekea jubilei yake hiyo iliyofanyika Novemba 1,2014 katika viwanja vya TCC Club,Chang'ombe jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha mashabiki wake lukuki kutoka sehemu mbali mbali.
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo za kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Sherehe za Miaka 50 ya uhai wa Bendi Msondo Ngoma zafana Jijini DarMsondo Ngoma zafana Jijini Dar
Bendi Kongwe ya Muziki wa Dansi hapa nchini iliyodumu kwa miaka 50 toka kuanzishwa kwake mwaka 1964,Msondo Ngoma Music Band imesherehekea Jubilei yake hiyo iliyofanyika Novemba 1,2014 katika viwanja vya TCC Club,Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha mashabiki wake lukuki kutoka sehemu mbali mbali.
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo ya kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
10 years ago
Michuzi19 Oct
MSONDO NGOMA YAENDELEA NA MAKAMUZI YA MIAKA 50 YA BENDI YAO
11 years ago
MichuziSHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA,ZAFANA SANA NCHINI OMAN
Mgeni rasmi katika sherehe hii alikuwa Mheshimiwa Ahmed bin Nassor bin Hamad Al Mahrazi, Waziri wa Utalii wa Oman aliyeongoza ujumbe mzito wa Serikali ya Oman ambao pia ulijumuisha , Mheshimiwa Said bin Saleh...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xsHSeePCor0/VM5N6RwA_-I/AAAAAAADW_0/hjfrSW1WNSA/s72-c/so2.jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUZALIWA CCM ZAFANA SANA MJINI SONGEA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-xsHSeePCor0/VM5N6RwA_-I/AAAAAAADW_0/hjfrSW1WNSA/s1600/so2.jpg)
Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya MrishoKikwete akilakiwa na maelfu ya wananchi wakati akiingia katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo kuongoza kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-HGAc64MB_yI/VM5N8YqB5hI/AAAAAAADXAU/lWvoZVoD5Os/s1600/so5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KGp-sO0ry8c/VM5N8yyyxCI/AAAAAAADXAc/Rm5oFjDfJ9A/s1600/so6.jpg)
10 years ago
Michuzi11 Oct
Juma Katundu wa Bendi ya Msondo Ngoma na Amina Said Nguriche 'Queen Emmy' wameremeta
![](https://1.bp.blogspot.com/-fENkzm51ZPE/VDgtNghs3QI/AAAAAAAAOv4/Nj6ag4XQtsk/s1600/10557240_755556637823815_3585250221913000210_n.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-uKzTjfBFLpo/VDgtMsGODKI/AAAAAAAAOv0/nzPwPZyHb2U/s1600/10177288_755557251157087_1142012701905671379_n.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Vs8wDvuVEGo/VDwbOC2aElI/AAAAAAAGp6Y/bHi51b_Lveo/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
SHEREHE ZA NYERERE DAY ZAFANA SANA JIJINI LUSAKA, ZAMBIA
10 years ago
Michuzi16 Nov
10 years ago
MichuziNGOMA AFRICA BAND YAITAKIA MSONDO NGOMA BAND HERI YA MIAKA 50 !
![](http://4.bp.blogspot.com/-ORf9Gn6TFdU/VBIA8eWjFyI/AAAAAAAGjAQ/QMKp6Yj33Lc/s1600/download.jpg)
Kiongozi wa Ngoma Africa band Kamanda Ras Makunja, anaitaja bendi ya Msondo Ngoma ndiyo...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cTTy3jB8nC4/VFYMCXRwthI/AAAAAAAGvDk/Hsw_ah9u5Hw/s72-c/7.jpg)
JUBILEE YA MIAKA 50 YA MSONDO NGOMA , TCC CHANG’OMBE
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo ya kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...