SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA,ZAFANA SANA NCHINI OMAN
Ubalozi wa Tanzania mjini Muscat, Oman chini ya Uongozi wa Mheshimiwa Balozi Ali Ahmed Saleh, hivi karibuni , uliandaa sherehe iliyofana sana ya kuadhimisha miaka 50 ya Muungano.
Sherehe hii ilifanyika katika ukumbi wa Jibrin kwenye hotel ya kitalii ya Intercontinental Muscat.
Mgeni rasmi katika sherehe hii alikuwa Mheshimiwa Ahmed bin Nassor bin Hamad Al Mahrazi, Waziri wa Utalii wa Oman aliyeongoza ujumbe mzito wa Serikali ya Oman ambao pia ulijumuisha , Mheshimiwa Said bin Saleh...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cTTy3jB8nC4/VFYMCXRwthI/AAAAAAAGvDk/Hsw_ah9u5Hw/s72-c/7.jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA BENDI YA MSONDO NGOMA ZAFANA SANA
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo za kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xsHSeePCor0/VM5N6RwA_-I/AAAAAAADW_0/hjfrSW1WNSA/s72-c/so2.jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUZALIWA CCM ZAFANA SANA MJINI SONGEA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-xsHSeePCor0/VM5N6RwA_-I/AAAAAAADW_0/hjfrSW1WNSA/s1600/so2.jpg)
Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya MrishoKikwete akilakiwa na maelfu ya wananchi wakati akiingia katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo kuongoza kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-HGAc64MB_yI/VM5N8YqB5hI/AAAAAAADXAU/lWvoZVoD5Os/s1600/so5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KGp-sO0ry8c/VM5N8yyyxCI/AAAAAAADXAc/Rm5oFjDfJ9A/s1600/so6.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GNojRQF30V8/U10kihrEcvI/AAAAAAAFdfI/ES9OikeANeA/s72-c/unnamed+(22).jpg)
sherehe za miaka 50 ya Muungano zafana jijini Beijing, China
![](http://1.bp.blogspot.com/-GNojRQF30V8/U10kihrEcvI/AAAAAAAFdfI/ES9OikeANeA/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SqNS9WD7WDw/U10kjdZHGoI/AAAAAAAFdfM/5r9diyd6t78/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ijz3Wx41alQ/U10kj6Z_QsI/AAAAAAAFdfQ/YrNeEdWlwUw/s1600/unnamed+(24).jpg)
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-aFLXxtBusfU/U1uVq_ACAMI/AAAAAAAANYg/KN5NHHIBoVk/s1600/7.jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0WOyVAr7Uno/VTzVcedFLgI/AAAAAAAHTZc/Y1v8QLKh-5A/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
sherehe za miaka 51 ya Muungano zafana jijini Dar es salaam leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-0WOyVAr7Uno/VTzVcedFLgI/AAAAAAAHTZc/Y1v8QLKh-5A/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AZrnXR-zoKU/VTzVc43GFuI/AAAAAAAHTZk/hhSxQXWdoJg/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gyj8o4Bqh1E/VTzVb9SOqII/AAAAAAAHTZY/LBlBbkKRDJo/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eRHOmNEnxEk/U1wpBFn_ROI/AAAAAAAFdNY/KPpSzQGGGTM/s72-c/unnamed+(19).jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANA UJERUMANI, PROFESA MUHONGO MGENI RASMI
![](http://3.bp.blogspot.com/-eRHOmNEnxEk/U1wpBFn_ROI/AAAAAAAFdNY/KPpSzQGGGTM/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O0DMTGxay18/U1wpBAJ6VqI/AAAAAAAFdNg/0GCOzNN6YxE/s1600/unnamed+(20).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q58iCw9Vf58/U1wpBPtzSwI/AAAAAAAFdNc/uSoWgqjTlv4/s1600/unnamed+(21).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Vs8wDvuVEGo/VDwbOC2aElI/AAAAAAAGp6Y/bHi51b_Lveo/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
SHEREHE ZA NYERERE DAY ZAFANA SANA JIJINI LUSAKA, ZAMBIA
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Sherehe za Muungano zafana, majeshi yawa kivutio
Patricia Kimelemeta na Jonas Mushi, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete jana aliongoza maelfu ya Watanzania kuadhimisha sherehe za miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, huku vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama vikiwa kivutio kikubwa.
Tofauti na ilivyozoelekea miaka yote ambako vikosi vya ulinzi na usalama huwa vinakuwa kundi moja tu vikiwa vimevalia sare maalumu za sherehe, jana kulikuwa na makundi mawili tofauti yakiwa na zana nyingi na za kisasa zinazotumika katika utendaji wa...