Sherehe za Muungano zafana, majeshi yawa kivutio
Patricia Kimelemeta na Jonas Mushi, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete jana aliongoza maelfu ya Watanzania kuadhimisha sherehe za miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, huku vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama vikiwa kivutio kikubwa.
Tofauti na ilivyozoelekea miaka yote ambako vikosi vya ulinzi na usalama huwa vinakuwa kundi moja tu vikiwa vimevalia sare maalumu za sherehe, jana kulikuwa na makundi mawili tofauti yakiwa na zana nyingi na za kisasa zinazotumika katika utendaji wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
sherehe za miaka 50 ya Muungano zafana jijini Beijing, China
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi
SHEREHE ZA MUUNGANO KITUO CHA GENEVA, SWITZERLAND ZAFANA

11 years ago
GPL
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi.jpg)
sherehe za miaka 51 ya Muungano zafana jijini Dar es salaam leo
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
MichuziSHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA,ZAFANA SANA NCHINI OMAN
Mgeni rasmi katika sherehe hii alikuwa Mheshimiwa Ahmed bin Nassor bin Hamad Al Mahrazi, Waziri wa Utalii wa Oman aliyeongoza ujumbe mzito wa Serikali ya Oman ambao pia ulijumuisha , Mheshimiwa Said bin Saleh...
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
Michuzi.jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANA UJERUMANI, PROFESA MUHONGO MGENI RASMI
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Ngoma ya asili ya Zanzibar yawa kivutio Oman
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar Bi Hindi Hamadi Khamis katikati akiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Zanzibar wa Abeid Karume akisubiri kuwasili kwa Wajasiriamali, Wasanii na Waandishi wa Habari waliokuwa nchini Oman kwa ajili ya maonyesho ya Tamasha la Utamaduni yaliyofanyika nchini humo. (Picha na Miza Othman Maelezo, Zanzibar).
Na Ali Issa Maelezo-Zanzibar
Wasanii na Wajasiriamali kutoka Zanzibar...
11 years ago
MichuziBAGAMOYO HISTORICAL MARATHON 2014 YAWA KIVUTIO
