SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANA UJERUMANI, PROFESA MUHONGO MGENI RASMI
![](http://3.bp.blogspot.com/-eRHOmNEnxEk/U1wpBFn_ROI/AAAAAAAFdNY/KPpSzQGGGTM/s72-c/unnamed+(19).jpg)
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mb.) (kushoto) akiingia katika ukumbi wa Deustche Bank uliopo Berlin, Ujerumani kabla ya kuzindua rasmi sherehe za jubilee ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kulia ni balozi wa Tanzania Ujerumani Mhe. Philip Marmo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-O0DMTGxay18/U1wpBAJ6VqI/AAAAAAAFdNg/0GCOzNN6YxE/s1600/unnamed+(20).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q58iCw9Vf58/U1wpBPtzSwI/AAAAAAAFdNc/uSoWgqjTlv4/s1600/unnamed+(21).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-aFLXxtBusfU/U1uVq_ACAMI/AAAAAAAANYg/KN5NHHIBoVk/s1600/7.jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANA JIJINI DAR ES SALAAM
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono wananchi waliohudhuria sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la Jeshi la wananchi… ...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GNojRQF30V8/U10kihrEcvI/AAAAAAAFdfI/ES9OikeANeA/s72-c/unnamed+(22).jpg)
sherehe za miaka 50 ya Muungano zafana jijini Beijing, China
![](http://1.bp.blogspot.com/-GNojRQF30V8/U10kihrEcvI/AAAAAAAFdfI/ES9OikeANeA/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SqNS9WD7WDw/U10kjdZHGoI/AAAAAAAFdfM/5r9diyd6t78/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ijz3Wx41alQ/U10kj6Z_QsI/AAAAAAAFdfQ/YrNeEdWlwUw/s1600/unnamed+(24).jpg)
11 years ago
MichuziSHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA,ZAFANA SANA NCHINI OMAN
Ubalozi wa Tanzania mjini Muscat, Oman chini ya Uongozi wa Mheshimiwa Balozi Ali Ahmed Saleh, hivi karibuni , uliandaa sherehe iliyofana sana ya kuadhimisha miaka 50 ya Muungano.
Sherehe hii ilifanyika katika ukumbi wa Jibrin kwenye hotel ya kitalii ya Intercontinental Muscat.
Mgeni rasmi katika sherehe hii alikuwa Mheshimiwa Ahmed bin Nassor bin Hamad Al Mahrazi, Waziri wa Utalii wa Oman aliyeongoza ujumbe mzito wa Serikali ya Oman ambao pia ulijumuisha , Mheshimiwa Said bin Saleh...
Mgeni rasmi katika sherehe hii alikuwa Mheshimiwa Ahmed bin Nassor bin Hamad Al Mahrazi, Waziri wa Utalii wa Oman aliyeongoza ujumbe mzito wa Serikali ya Oman ambao pia ulijumuisha , Mheshimiwa Said bin Saleh...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0WOyVAr7Uno/VTzVcedFLgI/AAAAAAAHTZc/Y1v8QLKh-5A/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
sherehe za miaka 51 ya Muungano zafana jijini Dar es salaam leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-0WOyVAr7Uno/VTzVcedFLgI/AAAAAAAHTZc/Y1v8QLKh-5A/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AZrnXR-zoKU/VTzVc43GFuI/AAAAAAAHTZk/hhSxQXWdoJg/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gyj8o4Bqh1E/VTzVb9SOqII/AAAAAAAHTZY/LBlBbkKRDJo/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
11 years ago
GPLMAMA SHUJAA WA CHAKULA WAINGIA RASMI KIJIJI CHA MAISHA PLUS, PROFESA ANNA TIBAIJUKA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE HIZO
Profesa Anna Tibaijuka Waziri wa Nyumba Ardhi na maendeleo ya Makazi wa pili kutoka kulia pamoja na Babu wa Kijiji cha Maisha Plus akiwasalimia akina mama Shujaa wa Chakula ambao wameingia Rasmi Kijiji cha Maisha Plus Jana usiku. Akina Mama Shujaa wa Chakula Wakiwa wanamuimbia wimbo maalum Profesa Anna Tibaijuka Waziri wa Nyumba Ardhi na maendeleo ya Makazi mara baada ya kuwasili Kijijini… ...
10 years ago
VijimamboNYAMA CHOMA YA SHEREHE YA MUUNGANO, RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AWA MGENI RASMI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ezUrP0cqrn8/U8LZVK4CFfI/AAAAAAAF154/M8PXMpr_AH0/s72-c/mby1.jpg)
RAIS KIKWETE MGENI RASMI SHEREHE ZA MIAKA 75 YA KANISA LA TAG JIJINI MBEYA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ezUrP0cqrn8/U8LZVK4CFfI/AAAAAAAF154/M8PXMpr_AH0/s1600/mby1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sTCiMKiRHD0/U8LdQIDiPxI/AAAAAAAF16g/ZKITATvAbqU/s1600/mby2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2XQFG5zGjDA/U8LZUMUsFCI/AAAAAAAF150/kFPiSDzx7Ik/s1600/mby3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pCvi2R47bPM/U8Lazas_tII/AAAAAAAF16M/TWEsqn0Yj7w/s1600/mby4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mw9lj_B4tck/U8LbDvZaHKI/AAAAAAAF16U/VNhOaJTZD-Y/s1600/mby5.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s72-c/New+Picture.png)
sherehe za miaka hamsini ya Jamhuri ya Muungano waTanzania kwa muda wa siku mbili kuanzia tarehe 25 hadi 26 Aprili, 2014 nchini Ujerumani
![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s1600/New+Picture.png)
Kama mnavyofahamu kuwa siku ya tarehe 26 Aprili, 2014 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka hamsini (50), kwa lugha nyingine ni “Golden Jubilee”.
Katika kuadhimisha sherehe hii kubwa na muhimu, Ubalozi umeamua kuandaa Kongamano la Biashara (Investment Forum) kwa siku ya tarehe 25 Aprili, 2014 pamoja na siku ya terehe 26 Aprili, 2014 kuwa siku ya mdahalo (Scholars' day) mjini Berlin, Ujerumani.
Madhumuni makubwa ya Kongamano hili ni kuwatangazia na kuwaonyesha...
11 years ago
MichuziDKT. SHEIN MGENI RASMI KATIKA HAFLA YA CHAKULA CHA MCHANA KWA WAPIGANAJI WALIOFANIKISHA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MAPINDUZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-BlnF7IRNDdk/UwjUfV6WhyI/AAAAAAAFOtw/a2LeefdQO6w/s1600/TA1A4980.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania