sherehe za miaka 51 ya Muungano zafana jijini Dar es salaam leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-0WOyVAr7Uno/VTzVcedFLgI/AAAAAAAHTZc/Y1v8QLKh-5A/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akipunga mkono kuwasalimia wananchi wakati alipokuwa akiwasili kwenye Uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es salaam, leo kuhudhuria Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kushoto ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akienelea kuwapungia mkono kwa furaha kuwasalimia wananchi
Rais wa Zanzibar Dkt...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-aFLXxtBusfU/U1uVq_ACAMI/AAAAAAAANYg/KN5NHHIBoVk/s1600/7.jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANA JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GNojRQF30V8/U10kihrEcvI/AAAAAAAFdfI/ES9OikeANeA/s72-c/unnamed+(22).jpg)
sherehe za miaka 50 ya Muungano zafana jijini Beijing, China
![](http://1.bp.blogspot.com/-GNojRQF30V8/U10kihrEcvI/AAAAAAAFdfI/ES9OikeANeA/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SqNS9WD7WDw/U10kjdZHGoI/AAAAAAAFdfM/5r9diyd6t78/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ijz3Wx41alQ/U10kj6Z_QsI/AAAAAAAFdfQ/YrNeEdWlwUw/s1600/unnamed+(24).jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Sherehe za Miaka 50 ya uhai wa Bendi Msondo Ngoma zafana Jijini DarMsondo Ngoma zafana Jijini Dar
Bendi Kongwe ya Muziki wa Dansi hapa nchini iliyodumu kwa miaka 50 toka kuanzishwa kwake mwaka 1964,Msondo Ngoma Music Band imesherehekea Jubilei yake hiyo iliyofanyika Novemba 1,2014 katika viwanja vya TCC Club,Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha mashabiki wake lukuki kutoka sehemu mbali mbali.
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo ya kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
11 years ago
Michuzi26 Apr
11 years ago
Michuzi26 Apr
11 years ago
MichuziSherehe za Kuadhimisha Siku ya Afrika Zafana jijini Dar es Salaam
11 years ago
MichuziSHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA,ZAFANA SANA NCHINI OMAN
Mgeni rasmi katika sherehe hii alikuwa Mheshimiwa Ahmed bin Nassor bin Hamad Al Mahrazi, Waziri wa Utalii wa Oman aliyeongoza ujumbe mzito wa Serikali ya Oman ambao pia ulijumuisha , Mheshimiwa Said bin Saleh...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eRHOmNEnxEk/U1wpBFn_ROI/AAAAAAAFdNY/KPpSzQGGGTM/s72-c/unnamed+(19).jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANA UJERUMANI, PROFESA MUHONGO MGENI RASMI
![](http://3.bp.blogspot.com/-eRHOmNEnxEk/U1wpBFn_ROI/AAAAAAAFdNY/KPpSzQGGGTM/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O0DMTGxay18/U1wpBAJ6VqI/AAAAAAAFdNg/0GCOzNN6YxE/s1600/unnamed+(20).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q58iCw9Vf58/U1wpBPtzSwI/AAAAAAAFdNc/uSoWgqjTlv4/s1600/unnamed+(21).jpg)