BAGAMOYO HISTORICAL MARATHON 2014 YAWA KIVUTIO
Wakimbiaji wakitimua vumbi katika mashindano ya Bagamoyo Historical Marathon, mjini Bagamoyo, Pwani jana. Mashindano hayo yaliandaliwa na Kampuni ya 4Beli.
Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda (katikati) akihutubia wakati akifungunga mashindano ya Bagamoyo Marathon mjini Bagamoyo jana.
Washiriki wa Bagamoyo Marathon 2014 mara baada ya kumaliza mbio hizo ambazo kwa wanariadha wengine walikuwa bado...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi05 Jun
10 years ago
MichuziMashindano ya Bagamoyo Historical Marathon 2015 yazinduliwa mjini Bagamoyo leo
10 years ago
GPLBAGAMOYO HISTORICAL MARATHON LAFANA WILAYANI BAGAMOYO
11 years ago
Daily News22 Mar
Bagamoyo historical marathon launched
Daily News
Daily News
THE government has pledged its full support to all stakeholders who are committed in the developing and promoting of various sports in the country. This commitment was made by the Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Information, Youth, Culture ...
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Bagamoyo Historical Marathon yatimua vumbi!
Wakimbiaji wakitimua vumbi katika mashindano ya Bagamoyo Historical Marathon, mjini Bagamoyo, Pwani. Mashindano hayo yaliandaliwa na Kampuni ya 4Beli.
Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda (katikati) akihutubia wakati akifungua mashindano ya Bagamoyo Marathon mjini Bagamoyo.
Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda (katikati) akimpongeza...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
HYAC kushiriki Bagamoyo Historical Marathon
KLABU ya Holili Youth Athletics (HYAC), ya mkoani Kilimanjaro inatarajiwa kupeleka nyota wake katika mbio za Bagamoyo Historical Marathon 2014 zinazotarajiwa kurindima mjini Bagamoyo, Pwani Jumapili. Kwa mujibu wa taarifa...
10 years ago
GPL‘BAGAMOYO HISTORICAL MARATHON’ KUFANYIKA JUNI 14, 2015
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Ngoma ya asili ya Zanzibar yawa kivutio Oman
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar Bi Hindi Hamadi Khamis katikati akiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Zanzibar wa Abeid Karume akisubiri kuwasili kwa Wajasiriamali, Wasanii na Waandishi wa Habari waliokuwa nchini Oman kwa ajili ya maonyesho ya Tamasha la Utamaduni yaliyofanyika nchini humo. (Picha na Miza Othman Maelezo, Zanzibar).
Na Ali Issa Maelezo-Zanzibar
Wasanii na Wajasiriamali kutoka Zanzibar...
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Sherehe za Muungano zafana, majeshi yawa kivutio
Patricia Kimelemeta na Jonas Mushi, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete jana aliongoza maelfu ya Watanzania kuadhimisha sherehe za miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, huku vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama vikiwa kivutio kikubwa.
Tofauti na ilivyozoelekea miaka yote ambako vikosi vya ulinzi na usalama huwa vinakuwa kundi moja tu vikiwa vimevalia sare maalumu za sherehe, jana kulikuwa na makundi mawili tofauti yakiwa na zana nyingi na za kisasa zinazotumika katika utendaji wa...