Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HYAC kushiriki Bagamoyo Historical Marathon

KLABU ya Holili Youth Athletics (HYAC), ya mkoani Kilimanjaro inatarajiwa kupeleka nyota wake katika mbio za Bagamoyo Historical Marathon 2014 zinazotarajiwa kurindima mjini Bagamoyo, Pwani Jumapili. Kwa mujibu wa taarifa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mashindano ya Bagamoyo Historical Marathon 2015 yazinduliwa mjini Bagamoyo leo

Mkurugenzi wa kampuni ya 4Beli, Gilbert Herman (kulia) akihutubia wakati uzinduzi wa mashindano ya Mbio Ndefu ya Bagamoyo Historical Marathon 2015 yanatarajiwa kutimua vumbi Juni 14 mwaka huu mjini Bagamoyo Mkoani Pwani. Uzinduzi huo ulifanyika Bagamoyo, Pwani leo. Wengine kutoka kushoto ni, Kaimu Ofisa Michezo Wlaya ya Bagamoyo, Hamisi Kimenya, Mwenyekiti wa Riadha Tanzania Mkoa wa Pwani, Joseph Luhende na Mkurugenzi Msaidizi Ukaguzi na Uhakiki wa Ubora wa Hudumaza Afya kutoka Wizara ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Arusha, HYAC zang’ara Bagamoyo Marathon

WANARIADHA Ismail Juma na Jackline Sakilu wametwaa taji la mbio za kihistoria za Bagamayo Half Marathon 2014 zilizofanyika mjini Bagamoyo mwishoni mwa wiki. Juma kutoka Arusha alishinda kwa wanaume kilomita...

 

10 years ago

GPL

BAGAMOYO HISTORICAL MARATHON LAFANA WILAYANI BAGAMOYO

Washiriki wa mbio wakiwa katika viwanja vya Shule ya Msingi Mbaruku ya Bagamoyo wakisubiri kupewa zawadi. Mgeni rasmi katika tamasha hilo, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,  Dk. Shukuru Kawambwa akiwa na baadhi ya washiriki wa michezo.…

 

11 years ago

Daily News

Bagamoyo historical marathon launched


Daily News
Bagamoyo historical marathon launched
Daily News
THE government has pledged its full support to all stakeholders who are committed in the developing and promoting of various sports in the country. This commitment was made by the Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Information, Youth, Culture ...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Dewji Blog

Bagamoyo Historical Marathon yatimua vumbi!

01

Wakimbiaji wakitimua vumbi katika mashindano ya Bagamoyo Historical Marathon, mjini Bagamoyo, Pwani. Mashindano hayo yaliandaliwa na Kampuni ya 4Beli.

02

Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda (katikati) akihutubia wakati akifungua mashindano ya Bagamoyo Marathon mjini Bagamoyo.

03

Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda (katikati) akimpongeza...

 

11 years ago

Michuzi

BAGAMOYO HISTORICAL MARATHON 2014 YAWA KIVUTIO

 Wakimbiaji wakitimua vumbi katika mashindano ya Bagamoyo Historical Marathon, mjini Bagamoyo, Pwani  jana. Mashindano hayo yaliandaliwa na Kampuni ya 4Beli.  Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda (katikati) akihutubia wakati akifungunga mashindano ya Bagamoyo Marathon mjini Bagamoyo jana. Washiriki wa Bagamoyo  Marathon 2014  mara baada ya kumaliza mbio hizo ambazo kwa wanariadha wengine walikuwa bado...

 

10 years ago

GPL

‘BAGAMOYO HISTORICAL MARATHON’ KUFANYIKA JUNI 14, 2015

Meneja wa huduma wa kampuni ya Vision Investment, Dorah Raymond (kushoto) na muandaaji wa tamasha, Dominic Mosha (katikati) akiwa na Fatma Mfundo (kulia). Meza kuu ikisikiliza maswali kutoka kwa wanahabari (hawapo pichani).…

 

11 years ago

Tanzania Daima

HYAC kushiriki riadha Mapinduzi Zanzibar

CHAMA cha Riadha Zanzibar (ZAAA), kimeialika Klabu ya Riadha ya Holili (HYAC), yenye maskani yake Rombo, mkoani Kilimanjaro, kushiriki michezo ya maadhimisho ya miaka 50 ya mapinduzi ya visiwa hivyo....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani