SHEREHE ZA NYERERE DAY ZAFANA SANA JIJINI LUSAKA, ZAMBIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vs8wDvuVEGo/VDwbOC2aElI/AAAAAAAGp6Y/bHi51b_Lveo/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
TAREHE 12/10/2014, UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA UKISHIRIKIANA NA UONGOZI WA WATANZANIA WANAOISHI NA KUFANYA KAZI, BIASHARA NA KUSOMA NCHINI ZAMBIA ULIANDAA MICHEZO MBALIMBALI, CHAKULA NA VINYWAJI KATIKA KUSHEREHEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA KIFO CHA BABA WA TAIFA HAYATI MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE (NYERERE DAY) INAYOANGUKIA TAREHE 14/10 KILA MWAKA. KATIKA MAADHIMISHO HAYO MICHEZO YA KUVUTA KAMBA, KUFUKUZA KUKU KWA AKINA MAMA, DRAFT, BAO NA MPIRA WA MIGUU ILIFANYIKA ILI KUMUENZI...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Sherehe za Miaka 50 ya uhai wa Bendi Msondo Ngoma zafana Jijini DarMsondo Ngoma zafana Jijini Dar
Bendi Kongwe ya Muziki wa Dansi hapa nchini iliyodumu kwa miaka 50 toka kuanzishwa kwake mwaka 1964,Msondo Ngoma Music Band imesherehekea Jubilei yake hiyo iliyofanyika Novemba 1,2014 katika viwanja vya TCC Club,Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha mashabiki wake lukuki kutoka sehemu mbali mbali.
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo ya kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cTTy3jB8nC4/VFYMCXRwthI/AAAAAAAGvDk/Hsw_ah9u5Hw/s72-c/7.jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA BENDI YA MSONDO NGOMA ZAFANA SANA
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo za kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
11 years ago
MichuziSHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA,ZAFANA SANA NCHINI OMAN
Mgeni rasmi katika sherehe hii alikuwa Mheshimiwa Ahmed bin Nassor bin Hamad Al Mahrazi, Waziri wa Utalii wa Oman aliyeongoza ujumbe mzito wa Serikali ya Oman ambao pia ulijumuisha , Mheshimiwa Said bin Saleh...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lDrqR7hWQGE/U4XC42m8-PI/AAAAAAAFlts/Tx5To_87oPk/s72-c/New+Picture.png)
SHEREHE ZA BALOZI ZA KIAFRIKA LUSAKA ZAMBIA ZIKIADHIMISHA MIAKA YA 50 YA OAU/AU
![](http://3.bp.blogspot.com/-lDrqR7hWQGE/U4XC42m8-PI/AAAAAAAFlts/Tx5To_87oPk/s1600/New+Picture.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xsHSeePCor0/VM5N6RwA_-I/AAAAAAADW_0/hjfrSW1WNSA/s72-c/so2.jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUZALIWA CCM ZAFANA SANA MJINI SONGEA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-xsHSeePCor0/VM5N6RwA_-I/AAAAAAADW_0/hjfrSW1WNSA/s1600/so2.jpg)
Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya MrishoKikwete akilakiwa na maelfu ya wananchi wakati akiingia katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo kuongoza kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-HGAc64MB_yI/VM5N8YqB5hI/AAAAAAADXAU/lWvoZVoD5Os/s1600/so5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KGp-sO0ry8c/VM5N8yyyxCI/AAAAAAADXAc/Rm5oFjDfJ9A/s1600/so6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-J9ovzJrKufw/VO8mkJTitaI/AAAAAAAHGDE/HpvmffgRWGg/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
JK amtembelea Rais Mstaafu Kaunda wa Zambia jijini Lusaka
![](http://3.bp.blogspot.com/-J9ovzJrKufw/VO8mkJTitaI/AAAAAAAHGDE/HpvmffgRWGg/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IZ7KfYXOvkY/VO8moot-bgI/AAAAAAAHGDg/9KIJ4IK6HYA/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-e-DEfSteOAc/VO8mmdQOpxI/AAAAAAAHGDM/rHfniICHqtY/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M2bjPE-MvMg/U812dvQPCpI/AAAAAAAF4iY/jOS87CJ222Y/s72-c/unnamed+(23).jpg)
BALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA MHE GRACE MUJUMA AFUTURISHA WATANZANIA WAISHIO LUSAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-M2bjPE-MvMg/U812dvQPCpI/AAAAAAAF4iY/jOS87CJ222Y/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-i1fsOMLuPks/U812dyqRm6I/AAAAAAAF4ic/lGSiuLgHB60/s1600/unnamed+(24).jpg)
11 years ago
Michuzi14 Feb
TWIGA STARS YALALA 2-1 KWA ZAMBIA LEO JIJINI LUSAKA
Hadi dakika 45 za kwanza zinamalizika katika mechi hiyo iliyochezeshwa na mwamuzi Salma Mukansanga timu hizo zilikuwa suluhu.
Wenyeji ndiyo walianza kupata bao lililofungwa na Hellen Mubanga dakika ya 75. Mfungaji huyo aliyeingia kipindi cha pili nchini alimalizia wavuni...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BODUJftsYyw/VFK5XuL3mkI/AAAAAAAGuSI/4tgeCwa5QOA/s72-c/A_B_sata.jpg)
RAIS SATA WA ZAMBIA KUZIKWA NOVEMBA 11, 2014 JIJINI LUSAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-BODUJftsYyw/VFK5XuL3mkI/AAAAAAAGuSI/4tgeCwa5QOA/s1600/A_B_sata.jpg)
Mwili wa Rais Sata unategemewa kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda, Lusaka, siku ya Jumamosi tarehe 1 Novemba 2014. Mara baada ya mwili kupokelewa utapelekwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kimataifa wa Mulungushi ambapo watu...