Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA MHE GRACE MUJUMA AFUTURISHA WATANZANIA WAISHIO LUSAKA

  BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA MHE GRACE MUJUMA (KATIKATI) AKIWA NA UONGOZI WA WAISLAM WAISHIO ZAMBIA WAKATI WA FUTARI ALIYOANDAA KWA WATANZANIA WAISHIO ZAMBIA NYUMBANI KWAKE JIJINI LUSAKA LEO BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA MHE GRACE MUJUMA (KATIKATI) AKIWA NA UONGOZI WA WAISLAM WAISHIO ZAMBIA. KUTOKEA KUSHOTO JUMA NURU MWAKILISHI WA LAKE PETROLEUM, HUDDY KIANGI AFISA WA UBALOZI, SHEIKH ALI MOHAMED ALLIY KAIMU MUFTI, MHE GRACE MUJUMA BALOZI, SHEIKH ASSADULLAH MWALE GRAND MUFTI NA...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BALOZI GRACE MUJUMA AKARIBISHA WADAU WATAOSHIRIKI MAONESHO YA TANZANIA WEEK LUSAKA

 BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA MHE. GRACE MUJUMA AKIWAKARIBISHA WADAU WALIOKUJA KUSHIRIKI MAONESHO HAYO KUTOKA NGORONGORO CONSERVATION AREA AUTHORITY. KUTOKEA KUSHOTO NI AFISA FEDHA WA UBALOZI HUDDY KIANGI, CAPT. MICHAEL MASOTA, MHE BALOZI GRACE MUJUMA, SALUMU MAYOMBO. MHE BALOZI GRACE MUJUMA AKIZUNGUMZA NA  WADAU WALIOKUJA KUSHIRIKI MAONESHO HAYO KUTOKA NGORONGORO CONSERVATION AREA AUTHORITY. KUTOKEA KUSHOTO NI CAPT. MICHAEL MASOTA, MHE BALOZI GRACE MUJUMA, SALUMU MAYOMBO NA AFISA...

 

10 years ago

Vijimambo

MHE. JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA



MHE. JAJI MOHAMED CHANDE OTHMAN AKIWA NA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA MHE. GRACE J. MUJUMA 
MHE JAJI MKUU AKIONGEA NA WAFANYAKAZI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA WAKIWEMO MHE BALOZI GRACE J. MUJUMA, KAIMU MKUU WA UTAWALA NA KONSULA RICHARD LUPEMBE (HAYUPO PICHANI) NA MWAMBATA FEDHA HUDDY KIANGI WAKIMSIKILIZA KWA MAKINI JAJI MKUU AKIELEZA JAMBO 

JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN ALIKUWA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI ZAMBIA KUANZIA TAREHE 2 HADI 6 MEI 2015 KWA...

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA AKUTANA NA WATANZANIA WAJASIRIAMALI WAISHIO NDOLA ZAMBIA

Balozi wa Tanzania nchini Zambia,Mhe Balozi Grace Mujuma tarehe 2 Julai hadi 6 Julai 2014 alifanya ziara ya kikazi ya siku nne jimbo la Copperbelt mji wa Ndola. Katika ziara hiyo, Mhe Balozi aliambatana na Afisa Ubalozi Richard M. Lupembe. Sambamba na ziara hiyo, tarehe 6 Julai 2014 Mhe Balozi alikutana na kufanya mkutano na Watanzania ambao ni wajasiriamali wadogo wadogo wanaoishi Mjini Ndola Zambia.
Katika mkutano huo, Watanzania walikuwa na mengi ya kumweleza Mhe Balozi kupitia risala...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO

Mwili wa aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Michael Sata ukiwasili katika viwanja vya Bunge la Zambia leo tayari kwa misa Maalum iliyoandaliwa kabla ya mazishi kufanyika hapo kesho.Rais wa Bunge la SADC na Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akiwasili katika viwanja vya Bunge la Zambia tayari kushiriki Misa Maalum ya Kumwombea aliyekuwa Rais wa Zambia Mhe. Michael Chilufya Sata kabla ya maziko yake kufanyika hapo kesho.Aliyekuwa Rais wa Serikali ya Awamu wa Zambia Mhe. Lupia Banda...

 

11 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA BALOZI ZA KIAFRIKA LUSAKA ZAMBIA ZIKIADHIMISHA MIAKA YA 50 YA OAU/AU

Sherehe za siku ya Afrika ambazo huadhimishwa tarehe 25 Mei 2014 ya kila mwaka nchini Zambia. Kwa upande wa Balozi za Afrika zilizopo Zambia sherehe hizi zimefanyika tarehe 27 Mei 2014 nyumbani kwa Balozi wa Nigeria. Katika sherehe hizo Tanzania ilishiriki kikamilifu. Mhe. Grace Mujuma Balozi wa Tanzania nchini Zambia akiangalia na kutoa maelekezo katika banda la Tanzania jinsi ya kupanga vyakula vya Kitanzania ambapo kila nchi zilizoshiriki sherehe hizi zilipika vyakula vinavyoliwa sana...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMLAKA YA BANDARI TANZANIA YAFUNGUA OFISI LUSAKA ZAMBIA

Tarehe 29 Juni 2015, Mamlaka ya Bandari Tanzania imefungua rasmi Ofisi nchini Zambia. Ofisi hizo zimefunguliwa katika Jiji la Lusaka.


Dhumuni kubwa la Mamlaka ya Bandari kufungua ofisi hii Lusaka ni baada ya kuwepo malalamiko kwa upande wa Zambia ambaye ni mteja wake mkubwa ya kuwepo ukiritimba wa utoaji wa mizigo yao. Hivyo Mamlaka ikaona ni vema kuja kufungua ofisi hapa Lusaka.


Sherehe za ufunguzi wa ofisi hii ulihudhuriwa na Mhe Dkt. Charles Tizeba Naibu Waziri wa Uchukuzi na viongozi...

 

11 years ago

Michuzi

DR. THOMAS KASHILILAH ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA

Katibu Wa Bunge La Tanzania Dr. Thomas Kashililah Alikuja Kuhudhuria Mkutano Wa Chama Cha Bunge La Jumuiya Ya Madola Uliojulikana "Programme For The 3rd Commonwealth Parliamentary Association (Cpa) Africa Region Youth Parliament" Uliofanyika Mjini Lusaka Tarehe 24 Hadi 28 Agosti 2014. Katika Safari Hiyo Ya Kikazi Aliongoza Ujumbe Wa Watanzania 10 Ambao Walihudhuria Mkutano Huo. Aidha Katibu Wa Bunge Alipata Fursa Ya Kuutembelea Ubalozi Wa Tanzania Lusaka Na Kuonana Na Mhe. Balozi Grace Joan...

 

11 years ago

Michuzi

MAANDALIZI YA MAONESHO YA TANZANIA WEEK YAPAMBA MOTO LUSAKA, ZAMBIA

MHESHIMIWA BALOZI  WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA MHE GRACE MUJUNA (KATI)  NA MAAFISA WAKE WAKIWA KWENYE MKUTANO WA MAANDALIZI YA MAONESHO YA TANZANIA WEEK. KUTOKEA KUSHOTO HUDDY KIANGIA (AFISA FEDHA WA UBALOZI), MR. MUNATTA (AFISA MAWASILIANO WA UBALOZI), MHE GRACE MUJUMA (BALOZI), JUSTA NYANGE (MKUU WA UTAWALA WA UBALOZI) NA RICHARD LUPEMBE (COUNSELOR WA UBALOZI)

 

11 years ago

Michuzi

MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) 25 -31 JULAI 2014

 Katika kuendelea kusherehekea Muungano wetu na pia kujiunga na wenzetu wa nchi ya Zambia ambao nao mwaka huu wanasherehekea miaka 50 tangu wapate Uhuru (25 Oktoba), Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unapenda kuwajulisha kuwa umeandaa maonesho ya bidhaa zinazozalishwa nchini Tanzania.
Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani