MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) 25 -31 JULAI 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rqw3XFfZUqg/U6fnplc1s6I/AAAAAAAFsYo/-ZUK0Z__ehI/s72-c/Untitled.vpng.png)
Katika kuendelea kusherehekea Muungano wetu na pia kujiunga na wenzetu wa nchi ya Zambia ambao nao mwaka huu wanasherehekea miaka 50 tangu wapate Uhuru (25 Oktoba), Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unapenda kuwajulisha kuwa umeandaa maonesho ya bidhaa zinazozalishwa nchini Tanzania.
Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VUElcJ6_bHU/U4xEzU4tAII/AAAAAAAFnMg/sPCoZZ_zmHU/s72-c/New+Picture+(6).png)
MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) KUANZA 25 -31 JULAI 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-VUElcJ6_bHU/U4xEzU4tAII/AAAAAAAFnMg/sPCoZZ_zmHU/s1600/New+Picture+(6).png)
Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau mbalimbali...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RFYJUpedE/U8jPBoI-DrI/AAAAAAAF3Pg/N8hzFD3t6H0/s72-c/image.jpeg)
MAANDALIZI YA MAONESHO YA TANZANIA WEEK YAPAMBA MOTO LUSAKA, ZAMBIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RFYJUpedE/U8jPBoI-DrI/AAAAAAAF3Pg/N8hzFD3t6H0/s1600/image.jpeg)
10 years ago
VijimamboMHE. JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA
MHE. JAJI MOHAMED CHANDE OTHMAN AKIWA NA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA MHE. GRACE J. MUJUMA
MHE JAJI MKUU AKIONGEA NA WAFANYAKAZI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA WAKIWEMO MHE BALOZI GRACE J. MUJUMA, KAIMU MKUU WA UTAWALA NA KONSULA RICHARD LUPEMBE (HAYUPO PICHANI) NA MWAMBATA FEDHA HUDDY KIANGI WAKIMSIKILIZA KWA MAKINI JAJI MKUU AKIELEZA JAMBO
JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN ALIKUWA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI ZAMBIA KUANZIA TAREHE 2 HADI 6 MEI 2015 KWA...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7pNmXgu36sQ/U_xOO1LO9jI/AAAAAAAGCeg/iL48VlBEXi0/s72-c/unnamed%2B(88).jpg)
DR. THOMAS KASHILILAH ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TI-bT-bDh5A/U9Fo7QyB5bI/AAAAAAAF52A/_bi-jESJrME/s72-c/unnamed+(1).jpg)
BALOZI GRACE MUJUMA AKARIBISHA WADAU WATAOSHIRIKI MAONESHO YA TANZANIA WEEK LUSAKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TI-bT-bDh5A/U9Fo7QyB5bI/AAAAAAAF52A/_bi-jESJrME/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xx8Zvom6Kfk/U9Fo7sZHoeI/AAAAAAAF518/hlLwbtmw2bU/s1600/unnamed+(2).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M2bjPE-MvMg/U812dvQPCpI/AAAAAAAF4iY/jOS87CJ222Y/s72-c/unnamed+(23).jpg)
BALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA MHE GRACE MUJUMA AFUTURISHA WATANZANIA WAISHIO LUSAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-M2bjPE-MvMg/U812dvQPCpI/AAAAAAAF4iY/jOS87CJ222Y/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-i1fsOMLuPks/U812dyqRm6I/AAAAAAAF4ic/lGSiuLgHB60/s1600/unnamed+(24).jpg)
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
10 years ago
VijimamboMAMLAKA YA BANDARI TANZANIA YAFUNGUA OFISI LUSAKA ZAMBIA
Dhumuni kubwa la Mamlaka ya Bandari kufungua ofisi hii Lusaka ni baada ya kuwepo malalamiko kwa upande wa Zambia ambaye ni mteja wake mkubwa ya kuwepo ukiritimba wa utoaji wa mizigo yao. Hivyo Mamlaka ikaona ni vema kuja kufungua ofisi hapa Lusaka.
Sherehe za ufunguzi wa ofisi hii ulihudhuriwa na Mhe Dkt. Charles Tizeba Naibu Waziri wa Uchukuzi na viongozi...
10 years ago
VijimamboMHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN, JAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA UBALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WASHINGTON DC 19/11/2014