MAMLAKA YA BANDARI TANZANIA YAFUNGUA OFISI LUSAKA ZAMBIA
Tarehe 29 Juni 2015, Mamlaka ya Bandari Tanzania imefungua rasmi Ofisi nchini Zambia. Ofisi hizo zimefunguliwa katika Jiji la Lusaka.
Dhumuni kubwa la Mamlaka ya Bandari kufungua ofisi hii Lusaka ni baada ya kuwepo malalamiko kwa upande wa Zambia ambaye ni mteja wake mkubwa ya kuwepo ukiritimba wa utoaji wa mizigo yao. Hivyo Mamlaka ikaona ni vema kuja kufungua ofisi hapa Lusaka.
Sherehe za ufunguzi wa ofisi hii ulihudhuriwa na Mhe Dkt. Charles Tizeba Naibu Waziri wa Uchukuzi na viongozi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SmHfEQvA8lY/VZuDp7byI_I/AAAAAAAHnbk/BjDs7ya1u_I/s72-c/lu.jpg)
ofisi ndogo ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) yazinduliwa mjini Lusaka, zambia
![](http://2.bp.blogspot.com/-SmHfEQvA8lY/VZuDp7byI_I/AAAAAAAHnbk/BjDs7ya1u_I/s640/lu.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-17Tu_-eRlg8/VZuCy1FiZDI/AAAAAAAHnbY/HFV3w_hFdY8/s640/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M2bjPE-MvMg/U812dvQPCpI/AAAAAAAF4iY/jOS87CJ222Y/s72-c/unnamed+(23).jpg)
BALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA MHE GRACE MUJUMA AFUTURISHA WATANZANIA WAISHIO LUSAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-M2bjPE-MvMg/U812dvQPCpI/AAAAAAAF4iY/jOS87CJ222Y/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-i1fsOMLuPks/U812dyqRm6I/AAAAAAAF4ic/lGSiuLgHB60/s1600/unnamed+(24).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rqw3XFfZUqg/U6fnplc1s6I/AAAAAAAFsYo/-ZUK0Z__ehI/s72-c/Untitled.vpng.png)
MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) 25 -31 JULAI 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rqw3XFfZUqg/U6fnplc1s6I/AAAAAAAFsYo/-ZUK0Z__ehI/s1600/Untitled.vpng.png)
Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VUElcJ6_bHU/U4xEzU4tAII/AAAAAAAFnMg/sPCoZZ_zmHU/s72-c/New+Picture+(6).png)
MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) KUANZA 25 -31 JULAI 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-VUElcJ6_bHU/U4xEzU4tAII/AAAAAAAFnMg/sPCoZZ_zmHU/s1600/New+Picture+(6).png)
Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau mbalimbali...
10 years ago
VijimamboMHE. JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA
MHE. JAJI MOHAMED CHANDE OTHMAN AKIWA NA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA MHE. GRACE J. MUJUMA
MHE JAJI MKUU AKIONGEA NA WAFANYAKAZI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA WAKIWEMO MHE BALOZI GRACE J. MUJUMA, KAIMU MKUU WA UTAWALA NA KONSULA RICHARD LUPEMBE (HAYUPO PICHANI) NA MWAMBATA FEDHA HUDDY KIANGI WAKIMSIKILIZA KWA MAKINI JAJI MKUU AKIELEZA JAMBO
JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN ALIKUWA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI ZAMBIA KUANZIA TAREHE 2 HADI 6 MEI 2015 KWA...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7pNmXgu36sQ/U_xOO1LO9jI/AAAAAAAGCeg/iL48VlBEXi0/s72-c/unnamed%2B(88).jpg)
DR. THOMAS KASHILILAH ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA
Katibu Wa Bunge La Tanzania Dr. Thomas Kashililah Alikuja Kuhudhuria Mkutano Wa Chama Cha Bunge La Jumuiya Ya Madola Uliojulikana "Programme For The 3rd Commonwealth Parliamentary Association (Cpa) Africa Region Youth Parliament" Uliofanyika Mjini Lusaka Tarehe 24 Hadi 28 Agosti 2014. Katika Safari Hiyo Ya Kikazi Aliongoza Ujumbe Wa Watanzania 10 Ambao Walihudhuria Mkutano Huo. Aidha Katibu Wa Bunge Alipata Fursa Ya Kuutembelea Ubalozi Wa Tanzania Lusaka Na Kuonana Na Mhe. Balozi Grace Joan...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RFYJUpedE/U8jPBoI-DrI/AAAAAAAF3Pg/N8hzFD3t6H0/s72-c/image.jpeg)
MAANDALIZI YA MAONESHO YA TANZANIA WEEK YAPAMBA MOTO LUSAKA, ZAMBIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RFYJUpedE/U8jPBoI-DrI/AAAAAAAF3Pg/N8hzFD3t6H0/s1600/image.jpeg)
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
10 years ago
MichuziMamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), yajipanga kuikabili Ebola
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania