ALAT wazindua maadhimisho ya miaka 30
JUMUIYA ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ALAT) imezindua rasmi maadhimisho ya m iaka 30 ya jumuiya hiyo, yanayolenga kuweka wazi mafanikio yaliyotokana na Serikali za Mitaa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog14 Dec
ALAT yazindua mchakato wa maadhimisho ya miaka 30
Mwenyeki wa ALAT Taifa na Meya Wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi.
Miaka-30-Ya-ALAT2.doc by moblog
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/JsHDzKHF1gw/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/JsHDzKHF1gw/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Mkutano mkuu wa 31, tuzo za viongozi wa serikali za mitaa (Mayors Award) na miaka 30 ya ALAT kufanyika aprili 8-11, 2015 jijini Dar
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ambaye pia ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi (katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini jana kuhusu Mkutano Mkuu wa 31 wa ALAT utakaokwenda sambamba na Tuzo za Viongozi wa Serikali za Mitaa ‘Mayors Award’ na Miaka 30 ya ALAT, utakaofanyika katika hoteli ya Kunduchi jijijni Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu Mkuu wa ALAT, Habraham Shamumoyo na (kulia) ni Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya NMB ambao ndio...
5 years ago
MichuziMKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA BILIONI 231.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO ALAT YA MTUNUKU TUZO
Akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri hiyo katika kipindi hicho Mkurugenzi Ndug. Aron Kagurumjuli amesema kuwa kwaupande wa miradi ya kisekta imefanikiwa kutekeleza shughuli mbalimbali za kiuchumi, kisiasa, kijamii pamoja na miradi ya Maendeleo kwa...
5 years ago
MichuziMKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA TAKRIBAN BILIONI 242.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO, ALAT YAMPA TUZO.
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imeweka historia katika suala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo na ile ya kimkakati kwa kipindi cha miaka mitano iliyogharimu takribani shilingi bilioni 242.8 fedha zilizotokana na vyanzo vya mapato ya ndani, Serikali kuu na wadau wengine wa maendeleo.
Taarifa hii imetolewa wakati wa uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa shughuli za Serikali kwa kipindi cha miaka mitano katika kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani kilichofanyika leo katika...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rf1dO92wyOiccrawy53D9rietnO2T0fH-GgYln1lBQWZBQPFW6GOavj6mV*4avsHWuOvcU8u5vs0qGsbm23iwdgPlVE0Vv/4.jpg)
MAADHIMISHO YA MIAKA KUMI YA MICHUZIBLOG!
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y3ttVql3MXE/VX5LmSSHAqI/AAAAAAAHfaE/AjbRH1RNvhU/s72-c/DSC_0044.jpg)
MAADHIMISHO YA MIAKA 90 YA SKULI YA NDIJANI, ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-y3ttVql3MXE/VX5LmSSHAqI/AAAAAAAHfaE/AjbRH1RNvhU/s640/DSC_0044.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Xx4_s_6kVRs/VX5LnjQF8AI/AAAAAAAHfaM/ZDaunz6EQU4/s640/DSC_0086.jpg)