Miaka 30 ya Jumuiya ya Serikali za Mitaa ALAT
![](http://img.youtube.com/vi/JsHDzKHF1gw/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/JsHDzKHF1gw/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Mkutano mkuu wa 31, tuzo za viongozi wa serikali za mitaa (Mayors Award) na miaka 30 ya ALAT kufanyika aprili 8-11, 2015 jijini Dar
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ambaye pia ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi (katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini jana kuhusu Mkutano Mkuu wa 31 wa ALAT utakaokwenda sambamba na Tuzo za Viongozi wa Serikali za Mitaa ‘Mayors Award’ na Miaka 30 ya ALAT, utakaofanyika katika hoteli ya Kunduchi jijijni Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu Mkuu wa ALAT, Habraham Shamumoyo na (kulia) ni Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya NMB ambao ndio...
10 years ago
GPL29 Apr
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
ALAT:Â Tutapigania Serikali za Mitaa
JUMUIYA ya Tawala za Mitaa (ALAT), imesema haitasita kuendelea kupigania Serikali za Mitaa zitambuliwe katika Katiba mpya iliyopo kwenye mchakato wa kuandaliwa. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Mwenyekiti...
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
Mwenyekiti Jumuiya ya wazazi (CCM) Singida amewahimiza wanaCCM kushiriki uchaguzi wa serikali ya mitaa
Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi (CCM) mkoa wa Singida, Yusuph Mwandami (wa kwanza kushoto) akiingia kwenye viwanja vya shule ya msingi kijiji cha Manguamitogho manispaa ya Singida, kwa ajili ya kuhutubia wana CCM na wananchi wa manispaa ya Singida kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya wazazi kimkoa.Wa pili kushoto ni mchumi wa manispaa ya Singida, Mollel.
Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi (CCM) mkoa wa Singida, Yusuph Mwandami, akipanda mti ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya...
10 years ago
VijimamboJUMUIYA YA WAZAZI YA CCM KATA YA SINZA YAWASHUKURU WANACHAMA WAKE KWA KUKIPA USHINDI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge akiwahutubia wanaccm wa Kata ya Sinza katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kufuatia kukipa ushindi chama hicho kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qqFxjgi9sKQ/U8kYyK3L9hI/AAAAAAAF3YY/uYKNkkaYlUo/s72-c/MMGM8382.jpg)
TAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-qqFxjgi9sKQ/U8kYyK3L9hI/AAAAAAAF3YY/uYKNkkaYlUo/s1600/MMGM8382.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nhubQhZpWwc/U8kYyb0ubPI/AAAAAAAF3Yc/vWolIRDUZ5Q/s1600/MMGM8396.jpg)
5 years ago
MichuziPROF KABUDI AONGEA NA VIONGOZI WA JUMUIYA NA TAASISI ZISIZOKUA ZA KISERIKALI, KUJUMUIKA KATIKA MIAKA 30 YA JUMUIYA DMV
10 years ago
Habarileo15 Dec
ALAT wazindua maadhimisho ya miaka 30
JUMUIYA ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ALAT) imezindua rasmi maadhimisho ya m iaka 30 ya jumuiya hiyo, yanayolenga kuweka wazi mafanikio yaliyotokana na Serikali za Mitaa.