MAKALA YA JK ALIPOZINDUA TUZO YA MEYA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA JUMUIYA YA SERIKALI ZA MITAA
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/JsHDzKHF1gw/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/JsHDzKHF1gw/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-C01WyXI4eC0/Va4SzIy-HgI/AAAAAAAHqyU/zyb35Ywy6KQ/s72-c/20150629_093519_006.jpg)
MFUKO WA PENSHENI WA LAPF WASHIRIKI KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA SERIKALI ZA MITAA MTWARA
Pia wanachama watapata fursa ya kuangalia taarifa za michango yao, kujiunga LAPF na kupata vitambulisho.
Katika picha ni maafisa wa LAPF wakitoa huduma kwa wanachama waliotembelea banda hilo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-C01WyXI4eC0/Va4SzIy-HgI/AAAAAAAHqyU/zyb35Ywy6KQ/s640/20150629_093519_006.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MEv9xoQYDGo/Va4SzmVY1yI/AAAAAAAHqyc/ybvMUa07kRk/s640/20150629_132249.jpg)
10 years ago
VijimamboJUMUIYA YA WAZAZI YA CCM KATA YA SINZA YAWASHUKURU WANACHAMA WAKE KWA KUKIPA USHINDI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge akiwahutubia wanaccm wa Kata ya Sinza katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kufuatia kukipa ushindi chama hicho kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni.
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Mkutano mkuu wa 31, tuzo za viongozi wa serikali za mitaa (Mayors Award) na miaka 30 ya ALAT kufanyika aprili 8-11, 2015 jijini Dar
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ambaye pia ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi (katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini jana kuhusu Mkutano Mkuu wa 31 wa ALAT utakaokwenda sambamba na Tuzo za Viongozi wa Serikali za Mitaa ‘Mayors Award’ na Miaka 30 ya ALAT, utakaofanyika katika hoteli ya Kunduchi jijijni Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu Mkuu wa ALAT, Habraham Shamumoyo na (kulia) ni Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya NMB ambao ndio...
5 years ago
MichuziPROF KABUDI AONGEA NA VIONGOZI WA JUMUIYA NA TAASISI ZISIZOKUA ZA KISERIKALI, KUJUMUIKA KATIKA MIAKA 30 YA JUMUIYA DMV
10 years ago
Habarileo01 Nov
Meya atabiri CCM kuzoa viti vingi serikali za mitaa
MEYA wa Manispaa ya Ilemela, Henry Matata amekitabiria Chama Cha Mapinduzi (CCM) ushindi katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Desemba 14, mwaka huu baada ya wananchi kubaini viongozi waliowaweka katika uchaguzi uliopita hawawajibiki ipasavyo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h219-HaQ8ck/VHy9XZTCdCI/AAAAAAAG0oc/eHc8pDVNi7k/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
MEYA WA ILALA KATIKA MAADHIMISHO YA Siku ya ukimwi Duniani
![](http://2.bp.blogspot.com/-h219-HaQ8ck/VHy9XZTCdCI/AAAAAAAG0oc/eHc8pDVNi7k/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nJqfjFqv3FU/VHy9XiPOYQI/AAAAAAAG0oY/rUiaEQdhUMI/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RDaybMzfI/VLw55EC4jxI/AAAAAAAG-Og/GasBT-RQtrU/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MNUNUZI WA NYUMBA/KIWANJA JIHADHARI SERIKALI ZA MITAA HAWARUHUSIWI KUSIMAMIA MIKATABA KISHERIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RDaybMzfI/VLw55EC4jxI/AAAAAAAG-Og/GasBT-RQtrU/s1600/images.jpg)
Na Bashir YakubWiki iliyopita niliandika kuhusu Asilimia kumi ambayo serikali za mitaa huwa wanaidai hasa maeneo ya mijini baada ya wahusika kuwa wameuziana nyumba au kiwanja. Nikasema wazi kabisa bila kungata meno kuwa hiyo pesa iitwayo asilimia kumi au pesa nyingine yoyote mtu atakayolipa serikali za mitaa eti kwakuwa amenunua au ameuza eneo lake ni rushwa. Na leo nakumbusha na kusisitiza tena kuwa Watanzana wajue ukitoa pesa ile umetoa ...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10