Serikali ya ACT-Wazalendo kuanzisha wakala wa maji vijijini
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema Rais wa awamu ya tano atakayetokana na chama hicho ataanzisha mfuko wa wakala wa maji vijijini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya majisafi na salama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Sep
ACT Wazalendo kuanzisha benki kwa watu wa Kigoma
10 years ago
Habarileo20 Sep
ACT-Wazalendo kukomesha kero ya maji
CHAMA cha ACT- Wazalendo kimejipanga kutatua kero ya maji kwa wananchi vijijini ili kuwakomboa kinamama wanaopata shida ya kutafuta maji kwa kuanzisha Mamlaka ya Maji Vijijini.
10 years ago
Habarileo15 Oct
Zitto:ACT Wazalendo ina majibu kero ya maji
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema serikali itakayotokana na Chama hicho baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu itaanzisha mfuko wa wakala wa maji vijijini kwa ajili ya kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji safi na salama kwa uhakika.
10 years ago
Mwananchi30 Aug
ACT-Wazalendo wazindua kampeni, Mghwira aahidi serikali ya umoja
11 years ago
Michuzi30 Apr
10 years ago
StarTV05 Dec
Uhaba wa madaktari Vijijini, AJUCO Songea kuanzisha Chuo.
Na Adam Nindi,
Songea.
Chuo Kikuu Kishiriki cha Mtakatifu Agustino AJUCO kilichopo Peramiho Songea Vijijini mkoani Ruvuma kimedhamiria kuondoa changamoto ya kukosa madaktari vijijini kwa kuanzisha Chuo cha Udaktari ambacho wahitimu wake watafanya kazi vijijini.
Mkuu wa Chuo hicho Padri Faustine Kamugisha amesema asilimia 80 ya watanzania wanaoishi vijijini hawana madaktari wakati asilimia 35 ya wananchi wanaoishi mijini ndio wanapata huduma za Madaktari.
Padri Kamugisha amesema Baraza...
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
10 years ago
TheCitizen27 Jul
Act-Wazalendo to go it alone in polls, Zitto says
10 years ago
Mwananchi01 Oct
ACT Wazalendo: Muungano ni maridhiano