Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ya ACT-Wazalendo kuanzisha wakala wa maji vijijini

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema Rais wa awamu ya tano atakayetokana na chama hicho ataanzisha mfuko wa wakala wa maji vijijini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya majisafi na salama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

ACT Wazalendo kuanzisha benki kwa watu wa Kigoma

Chama cha ACT Wazalendo kimesema kitashawishi uanzishaji wa Benki ya Kijamii ya Watu wa Kigoma (Kigoma Community Bank) ili kuwawezesha wafanyabiashara, wakulima na vikundi vya ujasiriamali kupata mikopo kwa urahisi na riba nafuu.

 

10 years ago

Habarileo

ACT-Wazalendo kukomesha kero ya maji

CHAMA cha ACT- Wazalendo kimejipanga kutatua kero ya maji kwa wananchi vijijini ili kuwakomboa kinamama wanaopata shida ya kutafuta maji kwa kuanzisha Mamlaka ya Maji Vijijini.

 

10 years ago

Habarileo

Zitto:ACT Wazalendo ina majibu kero ya maji

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema serikali itakayotokana na Chama hicho baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu itaanzisha mfuko wa wakala wa maji vijijini kwa ajili ya kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji safi na salama kwa uhakika.

 

10 years ago

Mwananchi

ACT-Wazalendo wazindua kampeni, Mghwira aahidi serikali ya umoja

Chama cha ACT-Wazalendo wazindua rasmi kampeni zao kuelekea Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba mwaka huu.  Katika uzinduzi huo, mgombea wa Urais wa chama hich, Anna Mghwira ameahidi kuunda serikali ya umoja wa kitaifa endapo atashinda urais.

 

10 years ago

StarTV

Uhaba wa madaktari Vijijini, AJUCO Songea kuanzisha Chuo.

Na Adam Nindi,

Songea.

 

Chuo Kikuu Kishiriki cha Mtakatifu Agustino AJUCO kilichopo Peramiho Songea Vijijini mkoani Ruvuma kimedhamiria kuondoa changamoto ya kukosa madaktari vijijini kwa kuanzisha Chuo cha Udaktari ambacho wahitimu wake watafanya kazi vijijini.

 

Mkuu wa Chuo hicho Padri Faustine Kamugisha amesema asilimia 80 ya watanzania wanaoishi vijijini hawana madaktari wakati asilimia 35 ya wananchi wanaoishi mijini ndio wanapata huduma za Madaktari.

 

Padri Kamugisha amesema Baraza...

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO‏

 Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu.   Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, ambapo alipinga Msajili wa Vyama Siasa Nchini, Jaji Francis Mtungi kubadilisha jina la chama cha ACT-Tanzania na kuwa ACT-Wazalendo bila ya kufuata utaratibu. Kulia ni Katibu Muenezi wa chama hicho, Fredy Kisena na Katibu Mkuu wa chama...

 

10 years ago

TheCitizen

Act-Wazalendo to go it alone in polls, Zitto says

Dar es Salaam. Opposition ACT-Wazalendo yesterday declared it will go into the October General Election alone, thus ending any chance that the party will join the coalition Ukawa that brings together other main opposition parties.

 

10 years ago

Mwananchi

ACT Wazalendo: Muungano ni maridhiano

Mgombea urais wa ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema suala la Muungano linataka maridhiano na siyo masharti ya kutoka upande wowote unaouunda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani