ACT Wazalendo: Muungano ni maridhiano
Mgombea urais wa ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema suala la Muungano linataka maridhiano na siyo masharti ya kutoka upande wowote unaouunda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PjtcdmWVDDA/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
ACT wataka maridhiano Bunge la Katiba
CHAMA cha Aliance for Change and Transparency (ACT- Tanzania), kimeyataka makundi yanayosigana ndani ya Bunge Maalum la Katiba watafute maridhiano yatakayowezesha kupatikana kwa katiba iliyo bora. ACT-Tanzania imeyataka makundi hayo...
11 years ago
Dewji Blog14 May
Muungano wetu unahitaji meza ya majadiliano na maridhiano
Maoni ya Mhariri
Tahariri
MOblog Tanzania
JUZI Waziri Kivuli wa Muungano na Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni, Mbunge Tundu Lissu aliitaka serikali kutoa maelezo bungeni, kuhusu sababu za kuuawa kwa waasisi wa sita wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar wanaodaiwa kuzikwa katika handaki moja Zanzibar.
Lissu alikuwa akiwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Msemaji huyo wa Kambi Rasmi ya...
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Siku 10 za kampeni za ACT-Wazalendo
9 years ago
Mwananchi04 Oct
ACT Wazalendo kuimarisha kilimo
10 years ago
TheCitizen27 Jul
Act-Wazalendo to go it alone in polls, Zitto says
9 years ago
TheCitizen19 Aug
ACT-Wazalendo yet to get Ikulu candidate
9 years ago
Mtanzania21 Dec
ACT-Wazalendo yalilia maisha ya Wazanzibari
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
HALI ya kisiasa visiwani Zanzibar, imeelezwa kuathiri maisha ya wananchi huku bei za vyakula ikipanda kwa kasi na kufikia asilimia 16 hadi 30.
Licha ya hali hiyo pia mfumko wa bei umepaa na kufikia asilimia 11, tofauti na miaka ya hivi karibuni.
Taarifa iliyotolewa jana na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ilieleza kuwa sekta ya utalii ambayo ni muhimu kwa uchumi wa Zanzibar imeathirika kiasi kikubwa, ambapo hivi sasa hoteli zimekuwa...