Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muungano wetu unahitaji meza ya majadiliano na maridhiano

Maoni ya Mhariri

Tahariri

MOblog Tanzania

JUZI Waziri Kivuli wa Muungano na Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni, Mbunge Tundu Lissu aliitaka serikali kutoa maelezo bungeni, kuhusu sababu za kuuawa kwa waasisi wa sita wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar wanaodaiwa kuzikwa katika handaki moja Zanzibar.

Lissu alikuwa akiwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Msemaji huyo wa Kambi Rasmi ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Je Muungano TZ unahitaji mabadiliko?

Sherehe za mwaka huu pia zilifanyika wakati Tanzania imo katika mchakato wa kupata katiba mpya.

 

9 years ago

Mwananchi

ACT Wazalendo: Muungano ni maridhiano

Mgombea urais wa ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema suala la Muungano linataka maridhiano na siyo masharti ya kutoka upande wowote unaouunda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muungano wetu ni wa hiari au shuruti?

KWA mujibu wa sensa ya idadi ya watu na makazi ya mwaka 2012, vijana ni zaidi ya asilimia 60 ya watu wote takribani milioni 45. Kwa tafsiri ya takwimu hizo...

 

5 years ago

Michuzi

MUUNGANO WETU NI FAHARI YETU


Na Emmanuel J. Shilatu
Ni miaka 56 imetimia tangu jahazi lililowabeba Watanganyika na Wazanzibar liweke historia ya kung’oa nanga mara baada ya Jamhuri Muungano wa Tanzania kuzaliwa rasmi mnamo April 26,1964. Hii ilitokana na ujasiri, ushupavu na nia ya dhati waliyokuwa nayo waasisi wa Muungano huu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Tanganyika) na Abeid Aman Karume (Zanzibar).
Hatua hiyo ilifikiwa kutokana na mtiririko wa kimazingira na mahusiano ambayo yalishabihiana kama sio kufanana...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Kero zisivunje Muungano wetu’

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar, Juma Ali Khatibu amesema kero za Muungano haziwezi kuwa sababu ya kuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaliwa mwaka 1964.

 

10 years ago

GPL

MUUNGANO WETU NA WATU WANAOUTAKA NA WASIOUTAKA

Richard Manyota KWENYE kaya yetu mwishoni mwa wiki iliyopita pameadhimishwa sherehe za miaka 51 za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kwangu mimi sherehe hizo pamoja na historia yake nimezitazama kama za watu wanaoutaka na wasioutaka muungano. Hayati baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere na Hayati Amani Abeid Karume Kielelezo: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, katika kauli zake amenukuliwa akisema muungano...

 

10 years ago

Habarileo

'Muungano wetu ni zaidi ya thamani ya fedha'

BUNGE la Katiba limeelezwa kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uliasisiwa kutokana na kuwepo faida kubwa ya uchumi wa wananchi na usalama wa nchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Muungano na Utanzania wetu ni kipi kinatangulia-2

Kama tulivyoona wiki iliyopita, yapo maswali ya kujiuliza kuhusu dhana hizi mbili, lakini mfano mwingine ni kwamba mtu aliyeelimika ni yule anayetambua kwamba wapendanao ni kivuli cha upendo.

 

11 years ago

Mwananchi

KARUGENDO: Muungano, Utanzania wetu ni kipi kilichotangulia?

Ninaandika makala haya nikiwa Tanganyika! Nisieleweke vibaya. Mimi siko kwenye mabishano ya serikali mbili au tatu. Mambo ya Muungano, ama Tanganyika na ya Visiwani simo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani