Muungano wetu unahitaji meza ya majadiliano na maridhiano
Maoni ya Mhariri
Tahariri
MOblog Tanzania
JUZI Waziri Kivuli wa Muungano na Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni, Mbunge Tundu Lissu aliitaka serikali kutoa maelezo bungeni, kuhusu sababu za kuuawa kwa waasisi wa sita wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar wanaodaiwa kuzikwa katika handaki moja Zanzibar.
Lissu alikuwa akiwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Msemaji huyo wa Kambi Rasmi ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 May
Je Muungano TZ unahitaji mabadiliko?
9 years ago
Mwananchi01 Oct
ACT Wazalendo: Muungano ni maridhiano
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Muungano wetu ni wa hiari au shuruti?
KWA mujibu wa sensa ya idadi ya watu na makazi ya mwaka 2012, vijana ni zaidi ya asilimia 60 ya watu wote takribani milioni 45. Kwa tafsiri ya takwimu hizo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tVt7OqUrwAs/XqWkjjMTtVI/AAAAAAALoTA/1F0yYNUWFb0vob5bvL1wkOrMuozBj8goACLcBGAsYHQ/s72-c/4d70f2eb-b5a3-4d7b-9a0c-c3af4d755cb0.jpg)
MUUNGANO WETU NI FAHARI YETU
![](https://1.bp.blogspot.com/-tVt7OqUrwAs/XqWkjjMTtVI/AAAAAAALoTA/1F0yYNUWFb0vob5bvL1wkOrMuozBj8goACLcBGAsYHQ/s640/4d70f2eb-b5a3-4d7b-9a0c-c3af4d755cb0.jpg)
Na Emmanuel J. Shilatu
Ni miaka 56 imetimia tangu jahazi lililowabeba Watanganyika na Wazanzibar liweke historia ya kung’oa nanga mara baada ya Jamhuri Muungano wa Tanzania kuzaliwa rasmi mnamo April 26,1964. Hii ilitokana na ujasiri, ushupavu na nia ya dhati waliyokuwa nayo waasisi wa Muungano huu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Tanganyika) na Abeid Aman Karume (Zanzibar).
Hatua hiyo ilifikiwa kutokana na mtiririko wa kimazingira na mahusiano ambayo yalishabihiana kama sio kufanana...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
‘Kero zisivunje Muungano wetu’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3PI09fN*DSO9Z08aEPISDquz5H--NWIDT0J6AgLh5ZLVdB35ECX9yqlQk0MWYNmuUFH0If*yup1f5sJUbCcXmsq/750_400_768dc99af4cdacd4db6dbfaef5194a44.jpg?width=650)
MUUNGANO WETU NA WATU WANAOUTAKA NA WASIOUTAKA
10 years ago
Habarileo16 Sep
'Muungano wetu ni zaidi ya thamani ya fedha'
BUNGE la Katiba limeelezwa kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uliasisiwa kutokana na kuwepo faida kubwa ya uchumi wa wananchi na usalama wa nchi.
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Muungano na Utanzania wetu ni kipi kinatangulia-2
11 years ago
Mwananchi11 Jun
KARUGENDO: Muungano, Utanzania wetu ni kipi kilichotangulia?