Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je Muungano TZ unahitaji mabadiliko?

Sherehe za mwaka huu pia zilifanyika wakati Tanzania imo katika mchakato wa kupata katiba mpya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Muungano wetu unahitaji meza ya majadiliano na maridhiano

Maoni ya Mhariri

Tahariri

MOblog Tanzania

JUZI Waziri Kivuli wa Muungano na Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni, Mbunge Tundu Lissu aliitaka serikali kutoa maelezo bungeni, kuhusu sababu za kuuawa kwa waasisi wa sita wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar wanaodaiwa kuzikwa katika handaki moja Zanzibar.

Lissu alikuwa akiwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Msemaji huyo wa Kambi Rasmi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Miaka 50 ya Muungano inatosha kufanya mabadiliko’

Arusha. Wakati Muungano unatimiza miaka 50 mwaka huu, licha ya kuwa na mafanikio kadhaa una changamoto nyingi ambazo zimeufanya uonekane kuwa unapitia katika kipindi kigumu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mabadiliko boraa ndiyo wanainchi wanayohitaji na sio bora mabadiliko-Dkt Magufuli

 Baadhi ya Wakazi wa mji wa Musoma waliojitokeza kwa wingi wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa  akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mkendo,Dkt Magufuli aliwaambia wananchi hao ifikapo oktoba 25 wajitokeze kwa wingi wakampigie kura kwani anataka kuwatumikia Watanzania kwa kuwaletea maendeleo.   Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano...

 

10 years ago

Mwananchi

Usajili wa pikipiki, bajaji unahitaji umakini

Hatua ya Serikali ya kuweka mfumo mpya wa usajili wa namba za pikipiki na bajaji ni ya kupongeza ingawa imekuja ikiwa imechelewa. 

 

11 years ago

Mwananchi

Mchezo wa netiboli unahitaji mashindano mengi

>Wiki iliyopita Michuano ya Netiboli ya Kombe la Taifa ilifikia tamati jijini Dar es Salaam kwa mkoa wa kimichezo wa Temeke kutwaa ubingwa baada ya kuifunga Morogoro kwenye fainali iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

UWANJA WA NDEGE WA JNIA UNAHITAJI MABORESHO

 Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,( JNIA,) Moses Malaki amesema uwanja wake umechakaa kiasi cha kukosa sifa za kuwa uwanja wa ndege wa kisasa Afrika na dunia.  Kauli ya Malaki imekuja baada ya ripoti ya Mtandao wa Sleeping in Airport iliyofanya utafiti wake wa 2014 na kusema  JNIA inashika nafasi ya nne kwa viwanja duni Afrika.  “Huo ni ukweli usiopingika, kwa sababu uwanja ulijengwa zamani na miundombinu yake haikidhi mahitaji ya...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mchakato wa Katiba unahitaji mwafaka wa kitaifa’

Kumekuwa na hali ya sintofahamu tangu kupatikana kwa Katiba Inayopendekezwa. Hii imetokana na ukweli kwamba, Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba, umepitia misukosuko mingi, ikiwamo kupingwa na makundi mbalimbali ndani ya jamii.

 

10 years ago

GPL

JE UMECHOSHWA NA UNAHITAJI TALAKA ? FUATA HATUA HIZI

Na Bashir Yakub Kuomba talaka si dhambi. Kama lingekuwa dhambi sheria isingeruhusu jambo hilo kwakuwa si kawaida ya sheria  kuhamasishi madhambi.  Ni kwasababu hii nasema kuwa atakayeona amebanwa basi aombe talaka. Si kosa hata kidogo kufanya hivyo isipokuwa ndivyo tunavyoelekezwa  na sheria zetu tunazozipenda na kuziheshimu sana. 1.   KUVUNJIKA  KWA  NDOA. Kuvunjika kwa ndoa kwa mujibu wa sheria zetu za...

 

10 years ago

Mwananchi

Utata huu wa upitishaji Katiba unahitaji ufafanuzi

Pamoja na Bunge la Katiba kupitisha ‘Katiba Inayopendekezwa’, utata mkubwa umezidi kugubika kura mbili zilizowezesha kupitisha Katiba hiyo. Utata huo unatokana na kura za wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) upande wa Zanzibar, wajumbe waliokuwa Hijja nchini Saudi Arabia na zile za baadhi ya wajumbe wanaodaiwa kuhamishwa kinyemela ili wapige kura kama wajumbe wa kundi linalotoka Bara au Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani