‘Mchakato wa Katiba unahitaji mwafaka wa kitaifa’
Kumekuwa na hali ya sintofahamu tangu kupatikana kwa Katiba Inayopendekezwa. Hii imetokana na ukweli kwamba, Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba, umepitia misukosuko mingi, ikiwamo kupingwa na makundi mbalimbali ndani ya jamii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Mchakato haukuzingatia mwafaka wa kitaifa, asema mhadhiri UDSM
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
CUF: Uundaji Katiba unahitaji serikali ya kitaifa
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kuunda serikali ya umoja wa kitaifa itakayosimamia na kukamilisha mchakato wa Katiba mpya. Alisema kwa sasa kuna...
10 years ago
Habarileo01 Sep
Mwafaka Katiba mpya waja
MKUTANO wa Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa juu wa vyama vya siasa uliofanyika jana mjini Dodoma umetajwa kuwa na dalili nzuri zinazoashiria mwafaka utapatikana juu ya mchakato wa utengenezaji Katiba mpya. Kikwete alikutana jana na vyama hivyo kupitia Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kinachoongozwa na Mwenyekiti wa UDP, John Cheyo kukiwa na ajenda mbili mojawapo ikihusu mchakato unaoendelea wa kutengeneza Katiba mpya.
11 years ago
Mwananchi22 Jun
JK: Mjadala Bunge la Katiba ni mwafaka
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Utata huu wa upitishaji Katiba unahitaji ufafanuzi
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Jaji Warioba aeleza mwafaka wa Katiba bora
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Vyama vya siasa vyataka mwafaka wa Katiba Mpya
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
KATIBA MPYA: Mwafaka wa aina ya muungano ulihitajika kabla
JAMBO ambalo limekuwa likijadiliwa na wengi katika rasimu ya Katiba mpya ni hoja ya Muungano. Ingawa kwa maoni yangu ningesema yamekuwa mabishano ambayo si wengi wameyajengea hoja, lakini Watanzania wengi...
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHEIKH OMARY AMPONGEZA JK KWA MCHAKATO WA KATIBA AONYA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
Sheikh wa msikiti wa Hidaya katika manispaa ya ...