Mchakato haukuzingatia mwafaka wa kitaifa, asema mhadhiri UDSM
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Bashiru Ally amesema mchakato wa kutunga Katiba, haukuzingatia umuhimu wa kujenga mwafaka wa kitaifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Mar
‘Mchakato wa Katiba unahitaji mwafaka wa kitaifa’
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Mhadhiri UDSM ataka kumrithi Komba
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
MHADHIRI Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Taasisi ya Taaluma na Maendeleo, Dk. Stephen Maluka, ametangaza nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Nyasa (Mbinga Magharibi) mkoani Ruvuma kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Oktoba mwaka huu.
Dk. Maluka mwenye Shahada ya Uzamivu ya Afya ya Jamii aliyopata nchini Sweden, amejitosa kugombea jimbo hilo ambalo awali lilijulikana kama Mbinga Magharibi na lilikuwa likiongozwa na marehemu Kapteni John...
10 years ago
Habarileo09 Mar
Mhadhiri UDSM atajwa Urais kupitia NCCR
VIJANA wa chama cha NCCR-Mageuzi, wamempendekeza Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk George Kahangwa (46) kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya chama hicho, atakayeshindanishwa na wagombea wengine wa kambi ya upinzani, endapo wataamua kuungana kwa mwavuli wa umoja wao waliouanzisha.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wM7OFxLc22Y/XqgL4-zzbbI/AAAAAAALodo/6XGxxxocihg8etLPcg17VV-hzpBc-NOFACLcBGAsYHQ/s72-c/6-660x400.jpg)
MHADHIRI CHUO KIKUU ASEMA NI VIGUMU SANA KWA MAZINGIRA YA SASA KUZUNGUMZIA MTU ANAYEWEZA AKASIMAMA AKAWA BORA KULIKO RAIS MAGUFULI...
Akizungumzia kuhusu utendaji kazi wa Rais Dk.Magufuli ,Dk.Sebahene amefafanua kuwa ni vigumu kwa sababu wananchi wameona matokeo chanya ya jitihada za Serikali hii ya Awamu ya Tano na kusisitiza kuna jitihada kubwa sana na mambo yanayoonekana ndio ambayo Mtanzania anataka kuyazingatia...
9 years ago
MichuziDkt. Shein Aendelea na Kampeni, asema Ataendeleza Kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa na Kuleta Maendeleo
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1KcUm_-PhfY/U5G1eoWgtuI/AAAAAAAFoCY/MKbhkhzOVjk/s72-c/unnamed+(17).jpg)
MWENYEKITI CCM TAWI LA MOSCOW URUSI ATOA MSIMAMO WAKE JUU YA MCHAKATO WA KATIBA, ASEMA SERIKALI MBILI NDIO SULUHISHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-1KcUm_-PhfY/U5G1eoWgtuI/AAAAAAAFoCY/MKbhkhzOVjk/s1600/unnamed+(17).jpg)
Mwenyekiti tawi la CCM Moscow Ndg Mfungahema Salim amesema muundo wa muungano wa serikali Mbili ndio suluhisho pekee la watanzania, Akizungumza katika kikao cha kamati ya siasa ya tawi kilichofanyika 05.06.2014, bwana Mfungahema alisema muungano wa serikali mbili ndio umetufikisha hapa tulipo na kuna mafanikio makubwa TULIYOYAPATA, pamoja na changamoto chache zinazojitokeza lakini zinarekebishika.
Bwana Mfungahema aliwataka...
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Kichekesho JK kukosoa tume — Mhadhiri
KATIBU wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), Faraja Kristomus, amesema ni kichekesho kwa Rais Jakaya Kikwete kukosoa Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Kristomus alitoa...
11 years ago
Habarileo21 Jun
Kikwete akusudia kuwa mhadhiri
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini, amesema anatarajia kurejea darasani kushika tena chaki, kwa kuwa Mhadhiri kwenye Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Mfumo unachangia matokeo mabovu — Mhadhiri
MHADHIRI wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Bashiru Ally, amesema tatizo la elimu nchini haliko kwenye alama wanazopata wanafunzi bali mfumo uliopo. Bashiru alitoa kauli hiyo alipozungumza na Tanzania...