MHADHIRI CHUO KIKUU ASEMA NI VIGUMU SANA KWA MAZINGIRA YA SASA KUZUNGUMZIA MTU ANAYEWEZA AKASIMAMA AKAWA BORA KULIKO RAIS MAGUFULI...
![](https://1.bp.blogspot.com/-wM7OFxLc22Y/XqgL4-zzbbI/AAAAAAALodo/6XGxxxocihg8etLPcg17VV-hzpBc-NOFACLcBGAsYHQ/s72-c/6-660x400.jpg)
MHADHARI wa Chuo Kikuu Saint John jijini Dodoma Dk.Alfred Sebahene amesema kwamba ni vigumu sana katika mazingira tuliyonayo kwa sasa kuzungumzia mtu anaweza kusimama akawa bora kuliko Rais Dk.John Magufuli.
Akizungumzia kuhusu utendaji kazi wa Rais Dk.Magufuli ,Dk.Sebahene amefafanua kuwa ni vigumu kwa sababu wananchi wameona matokeo chanya ya jitihada za Serikali hii ya Awamu ya Tano na kusisitiza kuna jitihada kubwa sana na mambo yanayoonekana ndio ambayo Mtanzania anataka kuyazingatia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi02 Jul
10 years ago
Michuzi24 Feb
Mhadhiri wa chuo kikuu Mzumbe awataka maafisa ugavi na manunuzi nchini kuzingatia ubora na viwango
![TA1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/TA1.jpg)
![TA2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/TA2.jpg)
10 years ago
MichuziChuo Kikuu cha Uhio chaendesha mafunzo kwa vijana kuwa viongozi bora
Chuo Kikuu cha Uhio nchini Marekani kinaendesha mafunzo kwa vijana ya kuwa viongozi bora katika nchi zilizopo katika jangwa la Sahara.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Katibu wa Kwanza wa Mawasiliano ya Umma wa Ubalozi wa Marekani nchini,Marissa Maurer amesema kuwa program ya kutoa mafunzo kwa viongozi vijana imaeazishwa na Chuo Kikuu Cha Uhio nchini Marekani ambapo fedha inayoendesha mafunzo ni ya serikali ya watu Marekani...
11 years ago
MichuziBONANZA LA CHUO KIKUU DODOMA LAFAFANA SANA,PPF YATOA UDHAMINI
Timu zilizoshiriki zilikuwa nane,timu kutoka School saba na timu kutoka Utawala moja.Pamoja na mpira wa Pete na Miguu kulikuwepo mashindano ya kuvuta kamba na kukimbiza kuku,Katika siku ya kufunga...
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
VBertolt Meyer : Mtu anayeweza kutengeneza muziki kwa ubongo wake
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LhmxyhvgnX8/VIRZcSF3ZCI/AAAAAAAA-oM/Ww-VuC0Hpcc/s72-c/HUNDI.jpg)
Mahafali ya tano ya chuo kikuu cha St. John's mjini Dodoma yafana sana leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-LhmxyhvgnX8/VIRZcSF3ZCI/AAAAAAAA-oM/Ww-VuC0Hpcc/s1600/HUNDI.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aloSPf7LvDY/VIRZZx-wdiI/AAAAAAAA-n4/tNZhcR6xau8/s1600/WAHITIM.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S7ZOH3sdfXc/VIRZbmTb1aI/AAAAAAAA-oA/B6OBbXlA4v4/s1600/WAHTM.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-94tGk6KE4gM/VIRZb7nRsLI/AAAAAAAA-oE/xLr6U6BXT3U/s1600/WAHITIMU.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hVwjZdXVIqo/VIRZelKPiVI/AAAAAAAA-og/fIBB0YLc_LU/s1600/WAAAANDAISHI.jpg)
10 years ago
Bongo505 Sep
Young Killer asema video ya ‘Umebadilika’ itakuwa bora kuliko zote alizowahi kufanya
9 years ago
StarTV09 Oct
Lowassa asema hana shaka na elimu ya bure mpaka chuo kikuu.
Mgombea wa Urais kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA,anayewakilisha pia vyama vya siasa vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Edward Lowasa, amesema hana shaka juu ya mpango wake wa kutoa elimu ya bure kuanzia gazi ya awali hadi chuo kikuu, kwakuwa rasilimali zilizopo nchini ninajitosheleza kuwahudumia wananchi.
Lowasa amewekea mkazo mpango wake huo katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Sinoni Mkoani Arusha, ambapo amesema ikiwa atachaguliwa kuwa...
9 years ago
Dewji Blog22 Aug
Wasichana 22 waliokuwa katika mazingira magumu wahitimu Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana (Mb)akimpongeza Bi. Jane Malyi kiongozi wa wahitimu wa mafunzo ya ujasiriamali na urembo mara baada ya kutoa neno fupi kwa niaba ya wahitimu wa mafunzo hayo katika chuo Kikuu Huria cha Tanzania, jijini Dar es salaam
Na erasto Ching’oro
Wasichana 22 kutoka mazingira hatarishi wamehitimu mafunzo ya ujasiriamali, mawasiliano, ususi wa nywele na urembo katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es...