VBertolt Meyer : Mtu anayeweza kutengeneza muziki kwa ubongo wake
Mwanamuziki wa muziki wa elektroniki Bertolt Meyer ameiambia BBC Radio 5 Live jinsi anavyoweza kuunganisha mkono wake bandia na mishipa na kucheza muziki kwa kuufikiria muziki huo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
MHADHIRI CHUO KIKUU ASEMA NI VIGUMU SANA KWA MAZINGIRA YA SASA KUZUNGUMZIA MTU ANAYEWEZA AKASIMAMA AKAWA BORA KULIKO RAIS MAGUFULI...
Akizungumzia kuhusu utendaji kazi wa Rais Dk.Magufuli ,Dk.Sebahene amefafanua kuwa ni vigumu kwa sababu wananchi wameona matokeo chanya ya jitihada za Serikali hii ya Awamu ya Tano na kusisitiza kuna jitihada kubwa sana na mambo yanayoonekana ndio ambayo Mtanzania anataka kuyazingatia...
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Minyoo yaondolewa kwenye ubongo wa mtu
11 years ago
Mwananchi29 Aug
Ubongo wa mtu una seli 100 bilioni za mawasiliano
11 years ago
Mwananchi22 Aug
UBONGO: Njia zinazohamasisha mtu awe na uwezo mkubwa kiakili
5 years ago
CCM Blog
MTU WA KWANZA KUTENGENEZA NA KUTUMIA SIMU, UZITO KILO 2, INACHAJIWA SAA 12

10 years ago
Bongo Movies29 May
Shamsa Ford: Usimuhukumu Mtu kwa Muonekano Wake
Usimjudge mtu kwa muonekano... MUONEKANO HUDANGANYA!!!! muonekano unaweza kufanya UKAMUHESHIMU mtu kumbe akawa mshenzi tu.. na muonekano huohuo unaweza ukafanya UKAMDHARAU mtu kumbe ni mtu wa maana.... wangapi wana haiba za upole na ustaarabu lakini ukiambiwa matendo yao ya nyuma unaweza ukabaki mdomo wazi... kuna wangapi wanaonekana ni WATU wenye roho kwenye jamii na wanaopenda kusaidia lakini nyuma ya pazia kwa watu wanaoishi nao kila siku roho zao zina kutu na manyanyaso... ila kwa...
10 years ago
CloudsFM14 Jan
TUNDA MAN ABADILISHA MUZIKI WAKE KWA KUPIGA BAND
Msanii wa Bongo Fleva,Tunda Man ameamua kuubadilisha muziki wake na kufungua bendi yake na kutumbuiza live kwenye majukwaa ili kuwateka zaidi mashabiki wake.
Tunda Man amekuwa akipiga sana project zake binafsi hali ambayo baadhi ya mashabiki wa kundi la Tip Top kuhisi labda kajitoa kwenye kundi hilo.
10 years ago
Bongo527 Oct
Adele akiri kuwa mtoto wake si shabiki wa muziki wake