MTU WA KWANZA KUTENGENEZA NA KUTUMIA SIMU, UZITO KILO 2, INACHAJIWA SAA 12
![](https://img.youtube.com/vi/TX9M3oofOyI/default.jpg)
Anaitwa Martin Cooper, amezaliwa December 26, 1928, huko Schaumburg Illinois Chicago, USA, Elimu yake ni PhD in Electrical Engineering, anafahamika kama Baba wa simu za mkononi.Ni mtu wa kwanza kutengeneza na kutumia simu ya mkononi isyotumia waya (wireless) katika kampuni ya simu na vifaa vya umeme ya Motorola huko Schaumburg Illinois Chicago US. 1973, yeye ndiye chanzo cha kutokea kwa simu hizi akishirikiana na engineer mwenzie John F. Mitchell.Simu ya kwanza ilikuwa na uzito wa Kg 2,...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jQh0cxvzu1U/VgDvLBSjn3I/AAAAAAAH6u4/NwdOSC5lfpU/s72-c/unnamed.jpg)
SYMBION POWER YAWA YA KWANZA KUTUMIA GESI KUTOKA MTWARA KUZALISHA UMEME KWA KUTUMIA BOMBA JIPYA LA KM 487 MJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-jQh0cxvzu1U/VgDvLBSjn3I/AAAAAAAH6u4/NwdOSC5lfpU/s640/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jWgo50MeQJ8/VgDvE8wshEI/AAAAAAAH6uw/iWjd6cs7wpI/s1600/No%2BAttachName.bmp)
Kwa zaidi ya Mwaka mmoja sasa ; Mitambo hii yenye uwezo wa kuzalisha kiasi cha Megawati 120 haikuweza kufanya uzalishaji wowote kutokana na ukosefu wa gesi asilia kama chanzo cha nishati Tanzania
“Kwa mara nyingine Symbion...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Namna ya kutumia fursa za mikutano kutengeneza mitandao ya kibiashara
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
VBertolt Meyer : Mtu anayeweza kutengeneza muziki kwa ubongo wake
10 years ago
Vijimambo29 May
Kwa mara ya kwanza tangu atoke jela, Francis Cheka apima uzito kuzichapa na Mthailand kesho!
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/cheka-3.jpg)
BONDIA Francis Cheka wa Tanzania na Kiatchai Singwancha kutoka Thailand wamepima uzito leo kwenye ukumbi wa Green Grill uliopo maeneo ya Victoria jijini Dar es Salaam tayari kwa pambano lao linalosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Masumbwi.Pambano hilo litapigwa kesho usiku kwenye ukumbi wa PTA Manispaa ya Temeke.
Cheka na Singwancha watazichapa kwenye pambano hilo la raundi 10 lisilo na ubingwa wowote, lakini ni mabondia hao wawili wanatafuta kulinda heshima.
Singwancha alitua Dar jana...
10 years ago
Bongo516 Sep
Nisher ataja pesa aliyolipwa kama director kwenye video ya kwanza kutengeneza
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Gari linaloweza kujiegesha kwa kutumia saa
10 years ago
Bongo506 Feb
Baghdad: Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80 (Picha)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8rWi5tGEW_U/Xunji5Nzk3I/AAAAAAALuMk/7jAuBtkdKno-6ICZlahKoeTZDmev7EyMwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200617-WA0067.jpg)
KILO YA UFUTA YANUNULIWA KWA BEI YA JUU YA SH.2,172 KWA KILO-NDIKILO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8rWi5tGEW_U/Xunji5Nzk3I/AAAAAAALuMk/7jAuBtkdKno-6ICZlahKoeTZDmev7EyMwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200617-WA0067.jpg)
Tani zilizokwenda sokoni zimenunuliwa kupitia mfumo wa sanduku (box) kwa wateja watatu waliojitokeza tofauti na matarajio ya wengi kuwa tani nyingi zingenunuliwa kupitia mfumo wa kielektronik wa TMX ambapo amejitokeza mteja mmoja kwa mkoa wa Pwani kwa bei ya sh.1,952 ukilinganisha na minada...