Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTU WA KWANZA KUTENGENEZA NA KUTUMIA SIMU, UZITO KILO 2, INACHAJIWA SAA 12


Anaitwa Martin Cooper, amezaliwa December 26, 1928, huko Schaumburg Illinois Chicago, USA, Elimu yake ni PhD in Electrical Engineering, anafahamika kama Baba wa simu za mkononi.Ni mtu wa kwanza kutengeneza na kutumia simu ya mkononi isyotumia waya (wireless) katika kampuni ya simu na vifaa vya umeme ya Motorola huko Schaumburg Illinois Chicago US. 1973, yeye ndiye chanzo cha kutokea kwa simu hizi akishirikiana na engineer mwenzie John F. Mitchell.Simu ya kwanza ilikuwa na uzito wa Kg 2,...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SYMBION POWER YAWA YA KWANZA KUTUMIA GESI KUTOKA MTWARA KUZALISHA UMEME KWA KUTUMIA BOMBA JIPYA LA KM 487 MJINI DAR ES SALAAM

  DAR ES SALAAM, Tanzania. Tarehe 21 Septemba 2015 -- Symbion Power yenye tawi lake maeneo ya Ubungo leo imetangaza kuwa imefanikiwa katika majaribio ya kutumia gesi asilia katika mitambo yake . Gesi inapatikana  Ghuba ya  Mnazi iliyo karibu na Mtwara Kusini mwa Tanzania. 
Kwa zaidi ya Mwaka mmoja sasa ; Mitambo hii yenye uwezo wa kuzalisha kiasi cha Megawati 120 haikuweza kufanya uzalishaji wowote kutokana na ukosefu wa gesi asilia kama chanzo cha nishati Tanzania


“Kwa mara nyingine Symbion...

 

9 years ago

Mwananchi

Namna ya kutumia fursa za mikutano kutengeneza mitandao ya kibiashara

Ulishawahi kwenda kwenye semina, warsha au mikutano ya wafanyabiashara? Kwenye matukio kama hayo kuna nyakati zinatokea za mapumziko au muda kabla ya kuanza. Wewe kama mfanyabiashara unapaswa kutumia kikamilifu fursa hizi ili kutanua mtandao wa biashara yako. Hii ni nafasi, hupaswi kuipoteza.

 

5 years ago

BBCSwahili

VBertolt Meyer : Mtu anayeweza kutengeneza muziki kwa ubongo wake

Mwanamuziki wa muziki wa elektroniki Bertolt Meyer ameiambia BBC Radio 5 Live jinsi anavyoweza kuunganisha mkono wake bandia na mishipa na kucheza muziki kwa kuufikiria muziki huo

 

10 years ago

Vijimambo

Kwa mara ya kwanza tangu atoke jela, Francis Cheka apima uzito kuzichapa na Mthailand kesho!


BONDIA Francis Cheka wa Tanzania na Kiatchai Singwancha kutoka Thailand wamepima uzito leo kwenye ukumbi wa Green Grill uliopo maeneo ya Victoria jijini Dar es Salaam tayari kwa pambano lao linalosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Masumbwi.Pambano hilo litapigwa kesho usiku kwenye ukumbi wa PTA Manispaa ya Temeke.
Cheka na Singwancha watazichapa kwenye pambano hilo la raundi 10 lisilo na ubingwa wowote, lakini ni mabondia hao wawili wanatafuta kulinda heshima. 
Singwancha alitua Dar jana...

 

10 years ago

Bongo5

Nisher ataja pesa aliyolipwa kama director kwenye video ya kwanza kutengeneza

Kila kitu kikubwa huanzia kwenye hatua ya chini, kama ni msanii basi lazima utakuta wakati anaanza alifanya show nyingi za bure, kama ni producer wa muziki basi utakuta ametenegezea wasanii wengi mastaa nyimbo bure ili ajitangaze. Safari ya director wa video Nisher kutoka Arusha pia ilianzia katika hatua za kufanya video bure hadi sasa amefikia […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Gari linaloweza kujiegesha kwa kutumia saa

Kamupuni ya magari ya BMW, imetangaza kuzindia kifaa ambacho kinaweza kuyawezesha magari ya kampuni hio kujiegesha yenyewe kwa kubonyeza tu kifaa hicho.

 

10 years ago

Bongo5

Baghdad: Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80 (Picha)

Rapper na mtangazaji wa kituo cha EFM, Baghdad amepunguza takriban nusu ya uzito wake. Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80! Baghdad enzi akiwa mnene Baghdad alivyo sasa “Yaweza kukuchukua muda kuelewa ka ukielewa ukasindwa kuamini haswa utakapostaajabu kuona picha mbili za mtu mmoja. Nilikuwa na kilo 150 now 80, size […]

 

5 years ago

Michuzi

KILO YA UFUTA YANUNULIWA KWA BEI YA JUU YA SH.2,172 KWA KILO-NDIKILO

 Na Mwamvua Mwinyi, PwaniMKOA wa Pwani ,umefanya mnada wa kwanza wa zao la kibiashara la ufuta ,na kufanikiwa kuu tani 1,231 kati ya tani 3,118 zilizokwenda sokoni kwa bei ya juu ya sh.2,172 kwa kilo moja.
Tani zilizokwenda sokoni zimenunuliwa kupitia mfumo wa sanduku (box) kwa wateja watatu waliojitokeza tofauti na matarajio ya wengi kuwa tani nyingi zingenunuliwa kupitia mfumo wa kielektronik wa TMX ambapo amejitokeza mteja mmoja kwa mkoa wa Pwani kwa bei ya sh.1,952 ukilinganisha na minada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani