Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Namna ya kutumia fursa za mikutano kutengeneza mitandao ya kibiashara

Ulishawahi kwenda kwenye semina, warsha au mikutano ya wafanyabiashara? Kwenye matukio kama hayo kuna nyakati zinatokea za mapumziko au muda kabla ya kuanza. Wewe kama mfanyabiashara unapaswa kutumia kikamilifu fursa hizi ili kutanua mtandao wa biashara yako. Hii ni nafasi, hupaswi kuipoteza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WANAWAKE KUFUNDISHWA NAMNA YA KUTUMIA FURSA

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Trumark, Agness Mgongo, akiwa katika studio za Global Tv Online kwa ajili ya mahojiano. Zulekha Samwix wa Trumark akisubiri mahojiano  na Global TV. ...Wakipozi…

 

10 years ago

Dewji Blog

Shamim Mwasha atoa mada namna kutumia mitandao ya kijamii kwa manufaa kwenye semina ya taasisi ya Manjano

Mkurugenzi Mtendaji 8020 Fashion na  Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Shamim Mwasha akitoa mada kwenye Semina ya kuwawezesha  wanawake kuwa wajasiriamali kupitia vipodozi vya Luv Touch Manjano iliyoandaliwa na Manjano Foundation kwa lengo la kuwajengea udhubutu wanawake  kufanya biashara pia namna ya kujiwekea akiba na kutumiza malengo yao. Anayeshuhudia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Ltd. Mkurugenzi wa Manjano Foundation, Mama Shekhar Nasser.

Washiriki wakimsikiliza...

 

10 years ago

Michuzi

MKURUGENZI MTENDAJI WA 8020 FASHIONS SHAMIM MWASHA ATOA MADA NAMNA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA MANUFAA KWENYE SEMINA YATAASISI YA MANJANO

Mkurugenzi Mtendaji   8020 Fashion na  Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Shamim Mwasha Akitoa Mada kwenye Semina ya Kuwawezesha  Wanawake Kuwa Wajasiriamali kupitia Vipodoz Vya Luv Touch Manjano Iliyoandaliwa na Manjano Foundation Kwa Lengo la Kuwajengea Udhubutu Wanawake  Kufanya biashara pia namna ya Kujiwekea Akiba na Kutumiza Malengo yao.Anayeshuhudia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear illusions Ltd. Mkurugenzi wa Manjano Foundation Mama Shekhar NasserWashiriki wakimsikiliza Kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa sheria za mitandao kibiashara

Maendeleo ya teknolojia yanafanya uendeshaji wa biashara sasa uweze kufanyika kwa njia ya mitandao. Nina maana mtu anaweza akauza na kununua bidhaa kwa kutumia mtandao na vilevile kutangaza biashara yake pia kupitia njia hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Namna bora ya kutengeneza neno la siri mtandaoni-2

Kama nilivyoeleza katika makala yangu wiki moja iliyopita, neno la siri au nywila, ni miongoni mwa mambo ya msingi na lazima kuwa nalo kwa mtumiaji wa mawasiliano katika mitandao.

 

11 years ago

Mwananchi

Huduma za mazishi na fursa za kibiashara

“Karibu sana mama. Hapa kwetu tunatoa huduma za faraja.”Ni kauli ya ukaribisho niliyoisikia mara baada ya kuingia kwenye duka la majeneza linalomilikiwa na kampuni ya Corona ambayo ni maarufu kwa huduma za mazishi.

 

9 years ago

Mwananchi

Wanasayansi watakiwa kutumia ujuzi kibiashara

Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) na Chuo cha Fizikia cha Uingereza, wameanzisha mpango wa kuwawezesha wanasayansi na wahandisi katika nchi za Afrika Mashariki, kutumia ujuzi wao kibiashara.

 

10 years ago

Michuzi

ARSENAL FC YATEMBELEA PSPF KWA LENGO LA KUSAKA FURSA ZA MAHUSIANO YA KIBIASHARA.

 Mkurugenzi wa Mahusiano ya kimaendeleo wa Klabu ya Arsenal Bw. Sam Stone (Kulia) akimkabidhi jezi ya timu hiyo Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Adam Mayingu. Kushoto ni Bw. Daniel Willey, Meneja wa Mahusiano ya Kimaendeleo ya Arsenal. Maafisa hao wapo nchini kwa lengo la kukutana na wadau mbalimbali ili kufungua mahusiano ya kibiashara, katika mpango huo makocha wa timu hiyo na baadhi ya nyota waliowahi kuchezea timu hiyo watapata fursa kutembelea Tanzania. Klabu ya Arsenal...

 

10 years ago

Vijimambo

ARSENAL FC YATEMBELEA PSPF KWA LENGO LA KUSAKA FURSA ZA MAHUSIANO YA KIBIASHARA

Mkurugenzi wa Mahusiano ya kimaendeleo wa Klabu ya Arsenal Bw. Sam Stone (Kulia) akimkabidhi jezi ya timu hiyo Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Adam Mayingu. Kushoto ni Bw. Daniel Willey, Meneja wa Mahusiano ya Kimaendeleo ya Arsenal. Maafisa hao wapo nchini kwa lengo la kukutana na wadau mbalimbali ili kufungua mahusiano ya kibiashara, katika mpango huo makocha wa timu hiyo na baadhi ya nyota waliowahi kuchezea timu hiyo watapata fursa kutembelea Tanzania. Klabu ya Arsenal...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani