Umuhimu wa sheria za mitandao kibiashara
Maendeleo ya teknolojia yanafanya uendeshaji wa biashara sasa uweze kufanyika kwa njia ya mitandao. Nina maana mtu anaweza akauza na kununua bidhaa kwa kutumia mtandao na vilevile kutangaza biashara yake pia kupitia njia hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Namna ya kutumia fursa za mikutano kutengeneza mitandao ya kibiashara
10 years ago
Habarileo11 Aug
Sheria ya mitandao kuanza Sept 1
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetangaza kiama kwa watumiaji vibaya na wahalifu wote wa mitandao nchini, kuwa siku zao zinahesabika kwani ifikapo Septemba mosi, mwaka huu, Sheria ya Uhalifu wa Mitandao itaanza kutumika na wengi huenda wakaishia gerezani.
9 years ago
GPLSHERIA YA MAKOSA YA MITANDAO YAPINGWA MAHAKAMANI
9 years ago
Mwananchi05 Sep
Sheria ya Makosa ya Mitandao itawasadia wasanii
10 years ago
Mtanzania09 May
Serikali yataka maoni sheria ya mitandao
Na Jonas Mushi, Dar es Salam
SERIKALI imewataka wananchi kutoa maoni yatakayoiboresha sheria ya makosa ya mitandao ya mwaka 2015 iliyosainiwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete ili yasaidie kuiboresha.
Imesema licha ya sheria hiyo kusainiwa na Rais, bado kuna umuhimu wa kuiboresha katika baadhi ya vipengele vyenye upungufu.
Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, katika mkutano wake na waandishi wa habari...
10 years ago
Vijimambo9 years ago
GPLMAMBO 10 YA KUEPUKA ILI SHERIA YA MITANDAO ISIKUPITIE
10 years ago
Habarileo30 Mar
Sheria kali kung’ata wahalifu wa mitandao
WAHALIFU wa mtandao pamoja na wasambazaji wa picha za utupu na ngono, wasambazaji wa taarifa za uwongo, za kibaguzi na matusi na watu wengine ambao wanafanya udanganyifu unaohusiana na kompyuta wametungiwa sheria kali ambayo itawafanya kwenda jela hadi miaka 10 au kulipa faini isiyopungua Sh milioni 50.