Sheria kali kung’ata wahalifu wa mitandao
WAHALIFU wa mtandao pamoja na wasambazaji wa picha za utupu na ngono, wasambazaji wa taarifa za uwongo, za kibaguzi na matusi na watu wengine ambao wanafanya udanganyifu unaohusiana na kompyuta wametungiwa sheria kali ambayo itawafanya kwenda jela hadi miaka 10 au kulipa faini isiyopungua Sh milioni 50.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Mar
SHERIA: Sheria gharama za uchaguzi kung’ata zaidi
10 years ago
Habarileo17 Jun
Sheria gharama za uchaguzi kung’ata
MSAJILI wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama vya siasa na wagombea nchini kuzingatia Sheria ya Gharama ya Uchaguzi, kwani isipozingatiwa itawaathiri wengi watakaokiuka.
11 years ago
Habarileo23 Feb
Mashine za EFDs ‘kung’ata’ mabasi ya abiria
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) ipo katika mchakato wa kuanzisha mfumo wa mashine za kieletroniki (EFD) katika utoaji wa risiti kwenye mabasi ya abiria, kasino na magari ya mizigo. Pamoja na kuelezea utanuzi wa wigo wa matumizi, pia imesema itapambana na wafanyabiashara wote watakaokataa kutumia mashine hizo kwa lengo la ‘kukwepa kodi’.
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Kukabiliana na tabia ya kung’ata kwa watoto
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Kung’ata kucha hupoteza haiba ya urembo wako
9 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrF8pZfIYP8/VmDW7rxP_bI/AAAAAAAABr8/1DRlCa7pNeA/s72-c/WEB%2B1.jpg)
WAHALIFU MTANDAO WATIKISA ANGA YA WANAUSALAMA MITANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrF8pZfIYP8/VmDW7rxP_bI/AAAAAAAABr8/1DRlCa7pNeA/s200/WEB%2B1.jpg)
Wakati bado mafanikio mbali mbali yakijadiliwa wahalifu mtandao wamegundulika kuja na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OJLyqnDqi7k/U7FOFO04MZI/AAAAAAAFtoo/Fri8ZHJpoVA/s72-c/MMG28847.jpg)
TAARIFA YA MH. RIDHIWANI KIKWETE JUU YA WAHALIFU WA MITANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-OJLyqnDqi7k/U7FOFO04MZI/AAAAAAAFtoo/Fri8ZHJpoVA/s1600/MMG28847.jpg)
Niwaombee salaam Wadogo zangu waliotekwa Nigeria, na wale...
9 years ago
Habarileo01 Jan
Sheria kuzuia kelele yaanza kung’ata
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limeanza kung’ata kwa kutumia kanuni ili kudhibiti uchafuzi wa mazingira kwa kelele na mitetemo. Kwa sasa mtu akitaka kufanya sherehe mtaani, kupiga muziki kwa kelele, kuendesha ngoma za kukesha za nusu uchi (vigodoro) au ‘bai koko’ au kufanya ibada kwa kelele mitaani, atapaswa kulipa Sh milioni 10.
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Wahalifu mtandao ni kutungiwa sheria