Wahalifu mtandao ni kutungiwa sheria
Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, imesema inaandaa sheria mpya ya usalama na uwezeshaji wa mitambo ya kuweka kumbukumbu ili kudhibiti matukio ya uhalifu wa mtandao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo01 Sep
Sheria ya Mtandao itawalinda dhidi ya wahalifu - Mbarawa
WAKATI Sheria ya Makosa ya Mtandao inaanza kutumika leo, Serikali imewahakikishia wananchi kuwa sheria hiyo haina lengo la kuwaogopesha wala kuwanyima uhuru wa kuwasiliana, bali itawalinda dhidi ya wahalifu wa mitandao.
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-7zcd18w1Ps4/U5HKvaCct9I/AAAAAAAAAo8/Nup8BKQ7i9M/s72-c/123.jpg)
WAHALIFU MTANDAO WAITIKISA KOLOMBIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7zcd18w1Ps4/U5HKvaCct9I/AAAAAAAAAo8/Nup8BKQ7i9M/s1600/123.jpg)
Mwaka 2011 Kolombia ilikua Nchi ya kwanza kuanzisha sera ya usalama mitandao katika ukanda wan chi za latini amerika kupitia baraza la taifa la nchini humo linaloshughulikia maswala ya sera za uchumi na...
9 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrF8pZfIYP8/VmDW7rxP_bI/AAAAAAAABr8/1DRlCa7pNeA/s72-c/WEB%2B1.jpg)
WAHALIFU MTANDAO WATIKISA ANGA YA WANAUSALAMA MITANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrF8pZfIYP8/VmDW7rxP_bI/AAAAAAAABr8/1DRlCa7pNeA/s200/WEB%2B1.jpg)
Wakati bado mafanikio mbali mbali yakijadiliwa wahalifu mtandao wamegundulika kuja na...
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-j1sXTU2SQCA/U67F8cJ7EJI/AAAAAAAAAzg/8EAWsu7HrBU/s72-c/Facebook.jpg)
FACEBOOK YAPINGA KUWASILISHA TAARIFA ZA WAHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-j1sXTU2SQCA/U67F8cJ7EJI/AAAAAAAAAzg/8EAWsu7HrBU/s1600/Facebook.jpg)
Mtandano wa kijamii wa Facebook ulitakiwa kuwasilisha taarifa za wateja wake ambao walihusishwa na uhalifu mtandao wa kujipatia pesa kinyume na sharia kupitia mtandao wa kijamii wa facebook.
Mtandao huo wa kijamii wa Facebook umekata rufaa dhidi ya amri hiyo ya mahakama ambapo ilitakiwa kuwasilisha taarifa za watu takriban 400 waliouhusika...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/CCovpYpU0QE/default.jpg)
10 years ago
YkileoWAHALIFU MTANDAO WATEGEMEWA KUELEKEZA NGUVU ZAO BARANI AFRIKA
Ime ripotiwa na Mtandao wa "MGAFRICA" kuhusiana na kilichojiri katika mkutano uliokamilika jijini Johannesburg, Afrika kusini wa maswala ya usalama mitandao ambapo Bara la Afrika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3NiB4LFE7cX360DI7ZyKtaY7SSa1ZZif39SPUm02vc0-aJsp3UstH8YU5HRLIJOR7i88lgE4hzx7vXRjit-EO4ZaGCYvnFY9/nigeria.jpg?width=650)
MTANDAO WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NCHINI NIGERIA WAINGILIWA NA WAHALIFU
Mtandao wa tume ya uchaguzi nchini Nigeria. Huku mamilioni ya raia wa Nigeria wakipiga kura kumchagua rais mpya,tovuti ya tume ya uchaguzi nchini Nigeria imeingiliwa na wahalifu wa mtandaoni. Kundi linalojiita Jeshi la mtandaoni la Nigeria limeweka ujumbe katika tovuti hiyo likiionya tume ya uchaguzi ya Nigeria dhidi ya kufanya udanganyifu katika uchaguzi huo. kufikia sasa haijulikani iwapo wahalifu hao wameingia zaidi ya...
10 years ago
MichuziWAHALIFU MTANDAO WATEGEMEWA KUELEKEZA NGUVU ZAO BARANI AFRIKA - WATAALAMU
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania