Sheria ya Mtandao itawalinda dhidi ya wahalifu - Mbarawa
WAKATI Sheria ya Makosa ya Mtandao inaanza kutumika leo, Serikali imewahakikishia wananchi kuwa sheria hiyo haina lengo la kuwaogopesha wala kuwanyima uhuru wa kuwasiliana, bali itawalinda dhidi ya wahalifu wa mitandao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Wahalifu mtandao ni kutungiwa sheria
Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, imesema inaandaa sheria mpya ya usalama na uwezeshaji wa mitambo ya kuweka kumbukumbu ili kudhibiti matukio ya uhalifu wa mtandao.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lRXOY8TlRVY/VeTNKwVJ5LI/AAAAAAAH1a4/ZxoSpmwSA3M/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA PROF. MAKAME M. MBARAWA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KWA WAANDISHI WA HABARI YA KUTANGAZA RASMI KUANZA KUTUMIKA KWA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO NA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI ZA MWAKA 2015 KWENYE UKUMBI WA MIKUTA
Ndugu Wandishi wa Habari,
Mabibi na Mabwana,Napenda nichukue fursa hii kuwashukuru nyote hasa waandishi wa habari kwa kutenga muda wenu na kujumuika nasi kwa lengo la kutangaza rasmi kuanza kutumika kwa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 ambayo ilitangazwa kwenye gazeti la Serikali la tarehe 14/08/2015 na kupewa Na. 328. Pia Sheria ya Miamala ya Kielektroniki, 2015 ambayo ilitangazwa kwenye Gazeti la Serikali la tarehe hiyo hiyo na kupewa Na.329.
Ndugu Wananchi,Teknolojia ya Habari na...
Mabibi na Mabwana,Napenda nichukue fursa hii kuwashukuru nyote hasa waandishi wa habari kwa kutenga muda wenu na kujumuika nasi kwa lengo la kutangaza rasmi kuanza kutumika kwa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 ambayo ilitangazwa kwenye gazeti la Serikali la tarehe 14/08/2015 na kupewa Na. 328. Pia Sheria ya Miamala ya Kielektroniki, 2015 ambayo ilitangazwa kwenye Gazeti la Serikali la tarehe hiyo hiyo na kupewa Na.329.
Ndugu Wananchi,Teknolojia ya Habari na...
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-7zcd18w1Ps4/U5HKvaCct9I/AAAAAAAAAo8/Nup8BKQ7i9M/s72-c/123.jpg)
WAHALIFU MTANDAO WAITIKISA KOLOMBIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7zcd18w1Ps4/U5HKvaCct9I/AAAAAAAAAo8/Nup8BKQ7i9M/s1600/123.jpg)
Mwaka 2011 Kolombia ilikua Nchi ya kwanza kuanzisha sera ya usalama mitandao katika ukanda wan chi za latini amerika kupitia baraza la taifa la nchini humo linaloshughulikia maswala ya sera za uchumi na...
9 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrF8pZfIYP8/VmDW7rxP_bI/AAAAAAAABr8/1DRlCa7pNeA/s72-c/WEB%2B1.jpg)
WAHALIFU MTANDAO WATIKISA ANGA YA WANAUSALAMA MITANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrF8pZfIYP8/VmDW7rxP_bI/AAAAAAAABr8/1DRlCa7pNeA/s200/WEB%2B1.jpg)
Wakati bado mafanikio mbali mbali yakijadiliwa wahalifu mtandao wamegundulika kuja na...
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-j1sXTU2SQCA/U67F8cJ7EJI/AAAAAAAAAzg/8EAWsu7HrBU/s72-c/Facebook.jpg)
FACEBOOK YAPINGA KUWASILISHA TAARIFA ZA WAHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-j1sXTU2SQCA/U67F8cJ7EJI/AAAAAAAAAzg/8EAWsu7HrBU/s1600/Facebook.jpg)
Mtandano wa kijamii wa Facebook ulitakiwa kuwasilisha taarifa za wateja wake ambao walihusishwa na uhalifu mtandao wa kujipatia pesa kinyume na sharia kupitia mtandao wa kijamii wa facebook.
Mtandao huo wa kijamii wa Facebook umekata rufaa dhidi ya amri hiyo ya mahakama ambapo ilitakiwa kuwasilisha taarifa za watu takriban 400 waliouhusika...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/CCovpYpU0QE/default.jpg)
10 years ago
YkileoWAHALIFU MTANDAO WATEGEMEWA KUELEKEZA NGUVU ZAO BARANI AFRIKA
Ime ripotiwa na Mtandao wa "MGAFRICA" kuhusiana na kilichojiri katika mkutano uliokamilika jijini Johannesburg, Afrika kusini wa maswala ya usalama mitandao ambapo Bara la Afrika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3NiB4LFE7cX360DI7ZyKtaY7SSa1ZZif39SPUm02vc0-aJsp3UstH8YU5HRLIJOR7i88lgE4hzx7vXRjit-EO4ZaGCYvnFY9/nigeria.jpg?width=650)
MTANDAO WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NCHINI NIGERIA WAINGILIWA NA WAHALIFU
Mtandao wa tume ya uchaguzi nchini Nigeria. Huku mamilioni ya raia wa Nigeria wakipiga kura kumchagua rais mpya,tovuti ya tume ya uchaguzi nchini Nigeria imeingiliwa na wahalifu wa mtandaoni. Kundi linalojiita Jeshi la mtandaoni la Nigeria limeweka ujumbe katika tovuti hiyo likiionya tume ya uchaguzi ya Nigeria dhidi ya kufanya udanganyifu katika uchaguzi huo. kufikia sasa haijulikani iwapo wahalifu hao wameingia zaidi ya...
10 years ago
MichuziWAHALIFU MTANDAO WATEGEMEWA KUELEKEZA NGUVU ZAO BARANI AFRIKA - WATAALAMU
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania