Mashine za EFDs ‘kung’ata’ mabasi ya abiria
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) ipo katika mchakato wa kuanzisha mfumo wa mashine za kieletroniki (EFD) katika utoaji wa risiti kwenye mabasi ya abiria, kasino na magari ya mizigo. Pamoja na kuelezea utanuzi wa wigo wa matumizi, pia imesema itapambana na wafanyabiashara wote watakaokataa kutumia mashine hizo kwa lengo la ‘kukwepa kodi’.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania12 Sep
Mashine za EFDs kujadiliwa kimataifa
![Mashine za EFD](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/EFD.jpg)
Mashine za EFD
RUTH MNKENI NA RAPHAEL NOLESCUS (TUDARCO), DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema Mkutano Mkuu wa Kodi utasaidia kujadili changamoto za mashine za kielektroniki za EFDs na jinsi ya kuzitatua.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade, alisema mkutano huo unaojumuisha nchi mbalimbali una lengo la kujadili namna ya kuimarisha taasisi za kodi nchi za Afrika.
Alisema mashine za EFDs zipo kwa mujibu wa sheria,...
10 years ago
Habarileo17 Jun
Sheria gharama za uchaguzi kung’ata
MSAJILI wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama vya siasa na wagombea nchini kuzingatia Sheria ya Gharama ya Uchaguzi, kwani isipozingatiwa itawaathiri wengi watakaokiuka.
10 years ago
Habarileo30 Mar
Sheria kali kung’ata wahalifu wa mitandao
WAHALIFU wa mtandao pamoja na wasambazaji wa picha za utupu na ngono, wasambazaji wa taarifa za uwongo, za kibaguzi na matusi na watu wengine ambao wanafanya udanganyifu unaohusiana na kompyuta wametungiwa sheria kali ambayo itawafanya kwenda jela hadi miaka 10 au kulipa faini isiyopungua Sh milioni 50.
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Kukabiliana na tabia ya kung’ata kwa watoto
11 years ago
Habarileo10 Apr
TRA yakanusha kusitishwa kwa mashine za EFDs
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema uvumi wa kusitishwa kwa matumizi ya mashine za kielektroniki za kodi (EFD) hayana ukweli wowote. Hayo yalisemwa jana na Kaimu Mkurugenzi wa Elimu TRA, Julius Mjenga wakati akizungumza na waandishi wa habari.
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Kung’ata kucha hupoteza haiba ya urembo wako
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Waziri Kigoda: Mfumo mashine EFDs ni mbovu, unakandamiza
11 years ago
Michuzi14 Feb
TRA YAWATAKA WAFANYABIASHARA KUFUNGUA MADUKA YAO NA KUACHA KUENDELEA KUGOMEA MASHINE ZA EFDS
![DSCF2699](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/fP6Nvu4doNvksvn8R6TfVg2KxvZ1hjRuubH0OaLbZAfs0UKpk4iTdpYgbV3_jtKMaSPEi3ipY9eQd-jbC9vod-S2nXmSVd-I-beBpcHIUJz8nXuEjr6S5aP9Fc_1YQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2699.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2695](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/9wXJMgcTT1gL2Dh9Q64z5LzpX8xPKjhMLT21mzOU13J3oI9GzaOrAN5zbGIDnMb7J6q7HMXYr2VkgDo0DF1KtNid4OVOc0VLoJKe_vtoW6dI-DItEAui1XIZFAldpw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2695.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2697](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/wofDhjDluKornfCBlzzW9uqlD7Hnf809mhcZNXo69GmfPeDHnqTWaMk6qvuPZqwM-HTbl9vqSKadKzzcUsk9lEyydcO-RhbVBIzK8l4-bfq6nqvwQTd2i5WHT6aXnw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2697.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2713](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/xFfK6G9Fisk13uJDlxE6qQ7tFz2zsqS-nT_yI2BznCXMOjnD6bfeeKPPymc7FEK5k05F0OjNc9vszEpcM0UqSRPD97xGJ3K0Lt_pTxhzijuRya1e_m_IxzfJQRqDZQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2713.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2700](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/YjQ5X6jvCRJUnJBlzyiWVgO_fthElxH0R980xoYTA8_yyLm8xyWizczd-qFOpDDmjkvq_Z6lWMTX508SCnTrNxJ71DkS0S1Tpc4Zdk2Eu_CjcjfSTZPR2RK_viydWA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2700.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2706](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Iiss-_jgQlgCR_W1sUPVe4AV_put2_zLgy86WdpXNTqKMnwh2tUA813PHoMN3cUuFT9uMU5XYJut0pMAxC2e8dk_nRQX0jVlzCSBTjYgdHoXgS7lX-Mv_7agy5WMEA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2706.jpg?w=627&h=470)
10 years ago
Mwananchi27 Mar
SHERIA: Sheria gharama za uchaguzi kung’ata zaidi