Serikali yataka maoni sheria ya mitandao
Na Jonas Mushi, Dar es Salam
SERIKALI imewataka wananchi kutoa maoni yatakayoiboresha sheria ya makosa ya mitandao ya mwaka 2015 iliyosainiwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete ili yasaidie kuiboresha.
Imesema licha ya sheria hiyo kusainiwa na Rais, bado kuna umuhimu wa kuiboresha katika baadhi ya vipengele vyenye upungufu.
Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, katika mkutano wake na waandishi wa habari...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SSGieiaE-NPnsTsCRQIuuX397KBLUzVlm6Q-vwOb51wykTrwKeg5YTaLeFLfz4RzbSXvYg63D7JWv5VzVVkEx1EDXL2JlC6D/KampunizasimuzaagizwakupelekahudumavijijiniTBCApril212015.jpg?width=650)
SERIKALI YATAKA MAONI YA SHERIA YA MTANDAO
10 years ago
VijimamboKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBAâ€
KITUO cha Sheria na Haki za...
10 years ago
GPLKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA
11 years ago
Habarileo15 Jun
UN yataka sheria za misitu kusimamiwa
KAMATI ya Misitu Duniani (COFO) chini ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) imeshauri kutekelezwa kwa usimamizi wa sheria za misitu kuepuka uharibifu wa mazingira ambao unaendelea kuleta madhara makubwa kwa binadamu na viumbe hai.
10 years ago
Habarileo11 Aug
Sheria ya mitandao kuanza Sept 1
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetangaza kiama kwa watumiaji vibaya na wahalifu wote wa mitandao nchini, kuwa siku zao zinahesabika kwani ifikapo Septemba mosi, mwaka huu, Sheria ya Uhalifu wa Mitandao itaanza kutumika na wengi huenda wakaishia gerezani.
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Umuhimu wa sheria za mitandao kibiashara
5 years ago
Habarileo16 Feb
Bodi yataka dola kusimamia sheria ya ujenzi
MWENYEKITI wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Ujenzi (AQRB), Dk Ambwene Mwakyusa amewaomba makamanda wa polisi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa kusimamia Sheria Namba 4 ya Mwaka 2010 inayohusu masuala ya ujenzi.
11 years ago
Mwananchi01 Apr
LHRC yataka Katiba ije na Sheria ya Ardhi
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Haki-za-Binadamu-620x308.jpg)
SHERIA YA MAKOSA YA MITANDAO YAPINGWA MAHAKAMANI