LHRC yataka Katiba ije na Sheria ya Ardhi
Wananchi wa Kijiji cha Msangamkuu Mtwara vijijini mkoani hapa wameitaka Serikali kuunda Sheria ya Ardhi inayoweka wazi suala nzima la umiliki wa rasilimali hiyo kwa lengo la kupunguza migogoro katika jamii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Katiba ije na sheria ya Bunge kuidhinisha mikataba yote
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
LHRC yataka usimamizi taasisi za mikopo
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimetaka kuwepo kwa mamlaka itakayosimamia taasisi mbalimbali za mikopo kutokana na baadhi yake kuwatapeli wananchi, hususani waliojiari katika sekta isiyo rasmi na...
10 years ago
StarTV30 Mar
LHRC yakosoa sheria ya uanzishwaji tume ya maadili ya watumishi umma.
Na Neema Ndetto,
Dar es Salaam,
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC kimekosoa sheria ya uanzishwaji wa Tume ya Maadili kwa Watumishi kwa madai kuwa imelenga kuwalinda watumishi wanaoendelea kufuja mali za umma.
Kimewataka watanzania kuvisoma kwa umakini vifungu vya Katiba inayopendekezwa vinavyozungumzia uwajibikaji ili waweze kuvitumia kuwawajibisha viongozi wao.
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimebainisha hayo jijini Dar es Salaam wakati kikizungumzia mwenendo na...
10 years ago
Habarileo29 Aug
TPSF yataka urasimu katika ardhi kuondolewa
TAASISI ya Sekta Binafsi nchini (TPSF) imeshauri Serikali kuboresha mazingira ya usimamizi wa ardhi na utoaji wa vibali vya ujenzi kuepuka urasimu unaorudisha nyuma juhudi za kuvutia uwekezaji. Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF, Godfrey Simbeye alisema hayo jana wakati wa warsha ya kujadili ripoti ya Mshauri Mwelekezi kuhusu uboreshaji utoaji wa vibali vya ujenzi nchini.
10 years ago
GPLKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU (LHRC) CHAENDELEA KUIPINGA ADHABU YA KIFO
11 years ago
Habarileo15 Jun
UN yataka sheria za misitu kusimamiwa
KAMATI ya Misitu Duniani (COFO) chini ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) imeshauri kutekelezwa kwa usimamizi wa sheria za misitu kuepuka uharibifu wa mazingira ambao unaendelea kuleta madhara makubwa kwa binadamu na viumbe hai.
10 years ago
Daily News19 Aug
LHRC wants changes to Katiba review law
Daily News
Daily News
THE Legal and Human Rights Centre (LHRC) has urged the Attorney General (AG) to consider amending all ambiguous sections in the Constitutional Review Act, especially the one pertaining to presidential powers. Speaking to journalists, LHRC Director of ...
Activists say JK has powers to call off Constitutional AssemblyIPPmedia
all 2
10 years ago
Mtanzania09 May
Serikali yataka maoni sheria ya mitandao
Na Jonas Mushi, Dar es Salam
SERIKALI imewataka wananchi kutoa maoni yatakayoiboresha sheria ya makosa ya mitandao ya mwaka 2015 iliyosainiwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete ili yasaidie kuiboresha.
Imesema licha ya sheria hiyo kusainiwa na Rais, bado kuna umuhimu wa kuiboresha katika baadhi ya vipengele vyenye upungufu.
Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, katika mkutano wake na waandishi wa habari...