LHRC yataka usimamizi taasisi za mikopo
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimetaka kuwepo kwa mamlaka itakayosimamia taasisi mbalimbali za mikopo kutokana na baadhi yake kuwatapeli wananchi, hususani waliojiari katika sekta isiyo rasmi na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Apr
LHRC yataka Katiba ije na Sheria ya Ardhi
11 years ago
Habarileo05 Apr
Taasisi ya Kiislamu yataka serikali 2
TAASISI ya Amani kwa Waislamu ya Islamic Peace Foundation (TIPF) imesema muundo wa serikali unaofaa kwa sasa ni Serikali mbili, kinachotakiwa ni kuongeza juhudi katika kurekebisha kasoro zilizopo na siyo kuongeza mzigo kwa kuwa na serikali tatu.
10 years ago
MichuziTaasisi ya Maendeleo na Usimamizi wa Maji yafanya Mahafali yake ya Sita
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5KxBn45DbjY/XtN0SgSYYLI/AAAAAAALsGo/W05-OZvzmbMBAtQ-zpm7oMv4ZMmfuD_MQCLcBGAsYHQ/s72-c/AAAAA-768x432.jpg)
SERIKALI YATAKA MIKOPO YA TADB KUWA CHACHU KWA WAVUVI KUANZISHA VIWANDA VIDOGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-5KxBn45DbjY/XtN0SgSYYLI/AAAAAAALsGo/W05-OZvzmbMBAtQ-zpm7oMv4ZMmfuD_MQCLcBGAsYHQ/s640/AAAAA-768x432.jpg)
Walioshika mfano wa hundi: Kutoka kushoto, Mkurugenzi Mkuu wa TADB Bw. Japhet Justine, Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega, Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika Zilagula Bw. Joram Yuda na Mratibu wa Dawati la Sekta Binafsi Bw. Steven Michael
……………………………………………………………………………………..
Na. Edward Kondela
Serikali imesema inataka kuona uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo vya wafugaji na wavuvi kupitia mikopo inayotolewa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ili kuyaongezea...
10 years ago
MichuziOFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDESHA MAFUNZO KWA TAASISI WADAU WA USIMAMIZI WA SHERIA
11 years ago
Habarileo25 Jul
‘Kuweni macho na taasisi za mikopo za kitapeli’
WANANCHI wametahadharishwa na utapeli unaofanywa na baadhi ya taasisi hewa hapa nchini zinazodai kutoa mikopo kwa wananchi kwa njia ya simu za mikononi.
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
Taasisi ya UONGOZI yaandaa warsha ya wadau wa Serikali katika usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Johansen Bukwali akisoma hotuba ya ufunguzi wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia kwa niaba ya mgeni rasmi Waziri wa Nchi -TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia katika ukumbi wa hoteli ya NAF Beach mkoani Mtwara.
Mkuu wa Idara ya Utafiti na Sera kutoka Taasisi ya UONGOZI Bw. Dennis Rweyemamu akizungumza kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI Profesa Joseph Semboja wakati wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na...
5 years ago
CCM BlogTAASISI ZA KIFEDHA NCHINI ZATAKIWA KUACHA URASIMU KATIKA MIKOPO
Kauli hiyo imetolewa Machi mosi na Makamu wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Ali Idd wilayani, Kahama mkoani Shinyanga katika ziara yake ya kwanza baada ya kutembelea na kukagua eneo la ujenzi wa viwanda vitatu katika eneo la chapulwa vinavyojengwa na KOM GROUP...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ONKmBxwZgDA/VEplSsuIhNI/AAAAAAAGtL8/kbM6dBIxRfE/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Wanafunzi Taasisi ya Mufunzo Uanasheria kupata mikopo - Dkt. Migiro
![](http://4.bp.blogspot.com/-ONKmBxwZgDA/VEplSsuIhNI/AAAAAAAGtL8/kbM6dBIxRfE/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0mMEAnoULlA/VEplSqlG7bI/AAAAAAAGtME/Jq7sYSjybCY/s1600/unnamed%2B(30).jpg)