Taasisi ya Maendeleo na Usimamizi wa Maji yafanya Mahafali yake ya Sita
Mkuu wa Taasisi ya Maendeleo na Usimamizi wa Maji (WDMI) Dkt. Shija Kazumba (kushoto) akimkaribisha Mgeni rasmi katika maafali ya sita ya Taasisi hiyo. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel ambaye pia ni mgeni rasmi wa mahafali hayo.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akipokea risala ya wahitimu iliyosomwa na kuwasilishwa kwa mgeni rasmi na Bw. Magembe Maduhu.
Naibu Katibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziCHUO CHA MAENDELEO YA UTALII ZANZIBAR CHAFANYA MAHAFALI YAKE YA SITA
9 years ago
Michuzi28 Aug
MAKALLA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU TATU YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA UJENZI WA MAJI JIJINI DAR
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC_0070.jpg)
![IMG_2809](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_2809.jpg)
11 years ago
MichuziMAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI (MUWSA) YAFANYA TATHMINI YA UTENDAJI KAZI KATIKA SIKU 360
11 years ago
GPLLILIANI KIBO HIGH SCHOOL YA GOBA, DAR, YAFANYA MAHAFALI
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
LHRC yataka usimamizi taasisi za mikopo
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimetaka kuwepo kwa mamlaka itakayosimamia taasisi mbalimbali za mikopo kutokana na baadhi yake kuwatapeli wananchi, hususani waliojiari katika sekta isiyo rasmi na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pBGKj6SvguM/VhBszB1QNtI/AAAAAAAH8rU/hwcE9vd6jNY/s72-c/New%2BPicture.png)
MAHAFALI YA SITA YA BODI YA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI
Hayo yalisemwa na Dk. Hamis Mwinimvua Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha akimwakilisha Mgeni Rasmi Waziri wa Fedha Mheshimiwa Saada Mkuya Salum kwenye sherehe za mahafali ya sita ya wataalam wa ununuzi na ugavi...
9 years ago
Dewji Blog04 Oct
Mahafali ya sita ya bodi ya wataalam wa ununuzi na ugavi yafana
Mwenyekiti wa Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi Dr. Sr Hellen Bandiho akifungua rasmi kusanyiko la mahafali.
Wataalam wa Ununuzi na Ugavi nchini wameaswa kutekeleza majukumu yao kwa weledi na kuzingatia miiko na maadili inayoongoza taaluma yao ili kuleta tija kwenye matumizi ya fedha za watanzania. Aidha Bodi imeagizwa kusimamia kwa ukaribu zaidi mienendo ya wanataaluma waliosajiliwa. Hayo yalisemwa na Dk. Hamis Mwinimvua Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha akimwakilisha Mgeni Rasmi Waziri...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YGUUX0xzl0g/VhzwdKLx3zI/AAAAAAAH_wQ/HpFuke2d4fk/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-10-13%2Bat%2B1.34.03%2BPM.png)
BRIGHT ANGEL HIGH SCHOOL YAFANYA MAHAFALI YA SABA YA KIDATO CHA NNE MWISHONI MWA WIKI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-YGUUX0xzl0g/VhzwdKLx3zI/AAAAAAAH_wQ/HpFuke2d4fk/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-13%2Bat%2B1.34.03%2BPM.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y1WYeJSCLoo/VhzwWBPtB3I/AAAAAAAH_v0/2uN5cmX74Uc/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-13%2Bat%2B1.16.13%2BPM.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lsJBfT58Yxg/VhzwVtHrS6I/AAAAAAAH_vw/tZ3aXm8NflE/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-13%2Bat%2B1.21.18%2BPM.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u8HD1m9Od3E/XooBpfSZMaI/AAAAAAALmGo/CIdY--IlzE4OVBwmRt9aaGbLa9rgQRVtACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200404-WA0062.jpg)
ALAT wapongeza usimamizi wa miradi ya maendeleo Makete
Na Amiri kilagalila,Njombe
Wajumbe wa jumuiya ya tawala za serikali za mitaa (ALAT) mkoa wa Njombe,wametembelea na kuona maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi ya uthibiti ubora wa shule wilayani humo ambalo Ujenzi wake umekamilika.
Wakiongozwa na mwenyekiti wa ALAT mkoa wa Njombe Mhe,Hanana Mfikwa,wajumbe hao wamepokea taarifa ya ujenzi wa jengo hilo kutoka kwa mthibiti mkuu ubora wa shule wilaya ya Makete Bw, John Kapinga ambae amesema April 2019 serikali ilitoa fedha za kitanzania kiasi...