Taasisi ya UONGOZI yaandaa warsha ya wadau wa Serikali katika usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Johansen Bukwali akisoma hotuba ya ufunguzi wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia kwa niaba ya mgeni rasmi Waziri wa Nchi -TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia katika ukumbi wa hoteli ya NAF Beach mkoani Mtwara.
Mkuu wa Idara ya Utafiti na Sera kutoka Taasisi ya UONGOZI Bw. Dennis Rweyemamu akizungumza kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI Profesa Joseph Semboja wakati wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi01 Oct
TAASISI YA UONGOZI YAANDAA WARSHA YA NAFASI YA WADAU WA NGAZI YA MKOA, WILAYA NA HALMASHAURI KATIKA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA MAFUTA NA GESI ASILIA
10 years ago
Dewji Blog06 May
Balozi Sefue azindua timu ya wataalam wa serikali wa kufanya mazungumzo katika mikataba ya gesi asilia na mafuta
Afisa Mtendaji Mkuu wa UONGOZI Institute...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b8bK2UAAHgs/VUsWwt7jYQI/AAAAAAAHV0o/WIeSq-jwVto/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue azindua timu ya wataalam wa serikali wa kufanya mazungumzo katika mikataba ya gesi asilia na mafuta
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-eOpWTgt6Pkg/VSwL8oS-M-I/AAAAAAABrt4/jDmuF7Zo0nc/s72-c/picha%2B(smz).jpg)
Maafisa waandamizi wakiwa China katika mafunzo ya muda mfupi ya maendeleo ya mafuta na gesi asilia.
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOpWTgt6Pkg/VSwL8oS-M-I/AAAAAAABrt4/jDmuF7Zo0nc/s640/picha%2B(smz).jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/CH2.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Em7E6qBDNio/VY0csDkUXCI/AAAAAAAHkLY/USHfJ0pGEJk/s72-c/IMG_3103.jpg)
SOLUTION BLOCKS YAANDAA MIKUTANO ILI KUKUTANISHA NGO’S,TAASISI ZA KIRAIA NA TAASISI ZA SERIKALI KWA KILA MWENZI.
KAMPUNI ya Solution BLOCKS ikishirikiana na kampuni ya Anglo Gold Ashanti waandaa mkutano wa Alhamisi ya kila mwezi ili kushirikisha taasisi mbalimbali za serikali na zisizo za kiserikali kuzungumzia kuchangia katika maendeleo katika jamii.
Hayo yamesemwa na Makamo wa Rais wa Sustainability Aglo Gold Ashanti, Simon Shayo katika ufunguzi wa mkutano ambao umejulikana kwa jina la THURSDAY TALK uliofanyika katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4vD_nUhc8WI/U1qP4mb39vI/AAAAAAAFdCM/tEd9c8kGBhg/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Viongozi wa Dini Mikoa ya Lindi na Mtwara kuhudhuria mafunzo ya gesi asilia na mafuta nchini Thailand
Jumla ya Viongozi 19 wa Dini kutoka Mikoa ya Lindi na Mtwara wanatarajia kwenda nchini Thailand kuanzia tarehe 26 Aprili mwaka huu kwa ajili ya ziara ya mafunzo katika masuala ya gesi asilia na mafuta.
Ziara hiyo inatokana na juhudi za serikali katika kuhakisha elimu kuhusu masuala ya gesi asilia na mafuta inatolewa kwa wananchi wa kada mbalimbali ili waweze kufahamu mchakato mzima wa upatikanaji wa gesi asilia na mafuta, faida zake katika nyanja za ...
10 years ago
MichuziSTAMICO YAJIIMARISHA KATIKA KULETA MABADILIKO YA USIMAMIZI WA RASILIMALI YA MADINI